God Fearing Person
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 767
- 2,570
Sijajua imekaaje kumuondoa MTU Kama Makamba ambaye ndo MTU pekee mwenye utulivu, akili, ufahamu ndani ya CCM.
Naomba CCM mjitafakari Sana.
Naomba CCM mjitafakari Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetumwa....
We wajua ya nje wao wanajua ya ndani. Hii si WYSIWYGSijajua imekaaje kumuondoa MTU Kama Makamba ambaye ndo MTU pekee mwenye utulivu , akili , ufahamu ndani ya ccm.
Naomba ccm mjitafakari Sana.
Huna Kumbukumbu; kwenye; kura za UNEC CCM hazikutoshaSijajua imekaaje kumuondoa MTU Kama Makamba ambaye ndo MTU pekee mwenye utulivu , akili , ufahamu ndani ya ccm.
Naomba ccm mjitafakari Sana.
AiseeeeSijajua imekaaje kumuondoa MTU Kama Makamba ambaye ndo MTU pekee mwenye utulivu, akili, ufahamu ndani ya CCM.
Naomba CCM mjitafakari Sana.
Ogopa sana watu wa ivyo...kama wewe ni mkristo, kaangalie tofauti ya Yuda na Petro, Yuda alikua mkimya mnoo kuzidi harakati za Petro. Ila tazama mipango yake.......alikuja kumuuza "Bwana wake" pamoja na wema wake na ukuu wake kwao na wanadamuSema kweli Makamba anaweza asiwe mchapa kazi kiivo lakini huyu Mwana ni Mtulivu sana hili pekee linampa sifa njema.
Utulivu siyo takwa la kisheria ila uchapakazi ndiyo takwa kwa kiongozi yoyote.Sema kweli Makamba anaweza asiwe mchapa kazi kiivo lakini huyu Mwana ni Mtulivu sana hili pekee linampa sifa njema.
Utulivu unafaa nini ikiwa mja si mchapakazi?Sema kweli Makamba anaweza asiwe mchapa kazi kiivo lakini huyu Mwana ni Mtulivu sana hili pekee linampa sifa njema.
Kabisa mkuu..sijui wanataka watu wa aina gan huko CCMSema kweli Makamba anaweza asiwe mchapa kazi kiivo lakini huyu Mwana ni Mtulivu sana hili pekee linampa sifa njema.
Kikubwa utulivu mkuu, kuhusu utu sijui na ndio maana sijataka kulizungumzia kabisa.Ogopa sana watu wa ivyo...kama wewe ni mkristo, kaangalie tofauti ya Yuda na Petro, Yuda alikua mkimya mnoo kuzidi harakati za Petro. Ila tazama mipango yake.......alikuja kumuuza "Bwana wake" pamoja na wema wake na ukuu wake kwao na wanadamu
Kupindua nji au meza?Kashiriki kutaka kupindua meza!kwako Britannica!
Hana tija kabisaSijajua imekaaje kumuondoa MTU Kama Makamba ambaye ndo MTU pekee mwenye utulivu, akili, ufahamu ndani ya CCM.
Naomba CCM mjitafakari Sana.
Huyu ambaye wizara ya mambo ya nje anaiegeuza kuwa wizara ya uwekezaji ndo unamwita ana utulivu?Sijajua imekaaje kumuondoa MTU Kama Makamba ambaye ndo MTU pekee mwenye utulivu, akili, ufahamu ndani ya CCM.
Naomba CCM mjitafakari Sana.
Ni hasara tu, je kuna faida gani kua na waziri mzembe mropokaji na mwenye mihemko?Utulivu unafaa nini ikiwa mja si mchapakazi?
Kuna faida gani kuwa na waziri mtulivu asiye mchapakazi?
Kamsalimie babako,,mkajua hii nchi ya ukoo, mama kazi nzuriSijajua imekaaje kumuondoa MTU Kama Makamba ambaye ndo MTU pekee mwenye utulivu, akili, ufahamu ndani ya CCM.
Naomba CCM mjitafakari Sana.