Mafanikio 07
Member
- Jun 18, 2019
- 57
- 37
Habari wakuu!
Kila siku Kuna habari mpya nchi Tanzania kutokana na Taifa linaenda kuingia katika uchaguzi wa viongozi.
Mnamo 20/07/2020 uchaguzi kwa WATIA NIA ya kugombea upande wa chama Tawala ulianza na mpaka hivi Sasa unaendelea, lakin Jana mida ya saa 1 nimepata kuona kapost Fulani inaeleza jinsi mchanganuo wa kupata Wagombea utavyokuwa unaelekea.
Ukweli ni utaratibu kwa CCM kuwa na machujio tofauti Ila Cha kujiuliza kwa Nini mtu akishachaguliwa na wanachama mwisho wa siku mnaenda kumkata mbele wakati mliweka uchaguzi huru kwanini mnaingilia maamuzi ya wanachama!he hakutokuwa na harufu ya Bias?kwanini kusiwepo na mwenendo wa kutoa vigezo labda Kama elimu,na sifa zengine hatuoni kuwa tunachukua maamuzi ya watu??
Mwisho niseme tu, CCM ijitathmini katika hili huu ni ukandamizwaji wa katiba.
Mwisho niwapongeze washindi wa swali katika majimbo pia kuwapa pole walioshindwa.
#TuijengeTanzania.
Kila siku Kuna habari mpya nchi Tanzania kutokana na Taifa linaenda kuingia katika uchaguzi wa viongozi.
Mnamo 20/07/2020 uchaguzi kwa WATIA NIA ya kugombea upande wa chama Tawala ulianza na mpaka hivi Sasa unaendelea, lakin Jana mida ya saa 1 nimepata kuona kapost Fulani inaeleza jinsi mchanganuo wa kupata Wagombea utavyokuwa unaelekea.
Ukweli ni utaratibu kwa CCM kuwa na machujio tofauti Ila Cha kujiuliza kwa Nini mtu akishachaguliwa na wanachama mwisho wa siku mnaenda kumkata mbele wakati mliweka uchaguzi huru kwanini mnaingilia maamuzi ya wanachama!he hakutokuwa na harufu ya Bias?kwanini kusiwepo na mwenendo wa kutoa vigezo labda Kama elimu,na sifa zengine hatuoni kuwa tunachukua maamuzi ya watu??
Mwisho niseme tu, CCM ijitathmini katika hili huu ni ukandamizwaji wa katiba.
Mwisho niwapongeze washindi wa swali katika majimbo pia kuwapa pole walioshindwa.
#TuijengeTanzania.