Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemjibu vizuri sana kuwa “Mbowe hana chakuwasaidia baraza kuu lilishafanya yake”. So huyu mbwiga atapata tabu.Watakiwa wamekutuma kuwatetea sio Bure, waambie tulishamalizana napo na mbowe hana Cha kuwasaidia. Baraza kuu lilishafanya yake
kwa ujinga wako hujui hata ruzuku ya vyama vya siasa nchi hii inalipwaje by the way ruzuku inachukuliwa na hao malaya wachukue uwapeleke kwenye chama chako ukawape uwanachama na kisha muwasimamishe kugombea dhid ya wagombea wa chadema jinga wewe.Ila ruzuku inayotokana na ubunge wao mnaitaka😅😅😅njaa mbaya
Sasa utafanya nini? Maana siku hizi kuna kauli unaambiwa anzisha chama chako.Kitendo cha CDM kuwasamehe hao wahuni kutaharibu haiba yao na kitaigharimu sana cdm. Mtaji wa CDM ni watu, hao viongozi wenye tamaa ya fedha ni sehemu ndogo sana ya ubora wa CDM. Tuko sisi wafuasi wa CDM ambao hatutakuwa nao pindi wakichukua hatua hizo. Tulivumilia kwa shingo upande ujio wa Lowassa, ila sio hili.
Itakuwa huelewi ruzuku inatolewa kwa utaratibu gani.Ila ruzuku inayotokana na ubunge wao mnaitaka[emoji28][emoji28][emoji28]njaa mbaya
Ni option ya serikali kwa chadema ili wapate ruzuku?Kama kuna maridhiano basi na kina Mdee wajumlishwe kwenye hayo maridhiano
Again huu ndio upumbavu mwingine, why hujisomei kupata facts?,ubunge wao umetokana na KURA walizopata CDM kwenye uchafunzi ule, shirikisha ubongo wako pls na usiwe mvivu wa kutafuta facts
Itakuwa huelewi ruzuku inatolewa kwa utaratibu gani.
Inatokana na idadi ya kura za Chadema ilizopata katika uchaguzi.
uvccm na sukuma gang mmepata mental stroke na bado, 2025 laxima makopo yawahusu.Maana hii kweli chadema walipata kura zile?
Kama sio why mpokee pesa ambazo mnajua kabisa ni zao la uovu?
pesa zimepokewa kutokana na maridhiano yanayoendelea lakin pia tumefanya hivyo kuwakomesha uvccm na sukuma gang kama wewe ili mkondeane wa ujinga na dhurma mlizofanya 2020 kwenye uchaguz.Kama mliibiwa kura kwanin mpokee pesa za kura za uongo?
Nyie ni sehemu ya project?