Kwa Dar hii ni kituko ila kwa Arusha hii ni zaidi ya fashion

Duuuuuuuu hii swaga za kishamba sana mikoti yaajabuajabu tu hiyo graduuu et hahahahahaha ndio maana tutaendelea kuwala mademu zenu tu nyie wanaume wa mikoan
 
Jaribuni kutofautisha halo ya hewa katika mazingira au mikoa, koz dar joto arusha baridi makoti na mizura vinahusika
 
Huu ni ushamba tu makes to kama wachunga ng'ombe.
 
Duuuuuuuu hii swaga za kishamba sana mikoti yaajabuajabu tu hiyo graduuu et hahahahahaha ndio maana tutaendelea kuwala mademu zenu tu nyie wanaume wa mikoan
Kweli wewe ni jinga plus.... una-reflect ujinga mwingi unaozunguka community unayoishi. Sasa huoni hao ni vijana wadogo kabisa......miaka 16, 15, 14? Unaongelea mademu kwani wamekwambia wao wanawaza mademu? Hao vijana wapo katika wakati wao kutafuta identify inayowafaa......ni mambo ya vijana walio huru haya wewe ulizoea kukaa kibarazani huwezi elewa.....kingine huko unapoishi bila shaka huwa hupati nafasi ya ku-socualize na jamii toka nchi nyingine sivyo? Kwahiyo unadhani ulofa uliopo mtaani kwako ndiyo inavyopaswa kuwa.....fungua macho mkuu......hii dunia is about being really with yourself.....kutafuta identify inayoendana na wewe.......Don't give a f**k bout what people (people like you) say.
 
Jk alisema angependa akaishi Kyle badala ya kuishi wapi?
 
Hizo ni bangi mkuu huwez kwenda kwenye graduu na mivaz hiyo maana hata dress cord za sehemu hawaelew inaonyesha njinsigan mlivyo mamburura ww pa1 na hao under20 unao watetea
Vijana weng wa AR wanao vaa hivo ni bang,viroba na kaz zao ni kule machimbon na hapo hawakos mabeto,,na masime acha kutetea upuuz ushaona wap graduation watu wanavaa hivo?
 
Hata ww utakuwa cha Arusha unapiga
 
Hao WASHAMBA wewe wa wapi? Pole sana
 
na wako against sana na watu wanao act uzungu
 
Aisee mapigo ya sistaaa nimekubali ile laana na hizo dreadlocks hapo kichwani ni kwere ningekua Chuga ningempeleka kwa fasi ya morombo nikamlishe nyama

Babaetu hizi picha unazitoa wapi ?
Ninjaa si unajua Chugga ni yechu yechu hawa wapo watengwaa wanatema punchlines kama Tupac Shakur




[emoji817]
 
Kitu nawakubali machalii wa Arusha. Ni usafi wapo smart sana na wanajipenda kupita maelezo kwa styles zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…