God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,033
Kwani wadada hawanaga uvaaji wao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee unaandika vitu viiingi hata sijui unavitoa wapi. Pombe/bangi vinaongeza confidence, wanywe/wavute/wasinywe/wasivute haibadili hio fact.Ulimaanisha nini ulipomlaumu kwamba ameshikilia chupa ya konyagi? uliposema "no wonder kashikilia chupa ya konyagi"
-Mimi nimesema "elimu" inawapa confidence kwa sababu facts kutoka kwenye post na kwenye picha yenyewe, zinaonyesha kwamba kijana ame-graduate, na wenzake wanasherehekea graduation, i.e. wanasherehekea kuhitimu mafunzo/chuo, kwa maana hiyo wamepata "elimu" na ndio maana nika-argue kwamba "elimu" imewasaidia kuongeza confidence na guts
-Haya wewe unasema bangi ndio inewapa confidence ya kuvaa hizo nguo, unao ushahidi unaoonyesha kwamba walivuta bangi ndio wakavaa hizo nguo?
-Una ushahidi gani kwamba hiyo chupa aliyoishika ndio imemfanya akavaa hizo nguo? au hata ushahidi kwamba alikunywa hiyo konyagi kabla hajavaa hizo nguo?
Aisee unaandika vitu viiingi hata sijui unavitoa wapi. Pombe/bangi vinaongeza confidence, wanywe/wavute/wasinywe/wasivute haibadili hio fact.
Seems like unawajua hao vijana personally.Tafadhali siko hapa ku-discuss false courage ya vilevi...
Kuhusu fact...
Ni fact kwamba hivyo vitu vinamfanya mtumiaji apungukiwe uwezo wa kujizuia, lakini "sio fact" kwamba ndio vimewaongezea confidence hawa vijana! Goodbye!
Seems like unawajua hao vijana personally.
Mimi nimekulia arusha, currently naishi Arusha. Sisemi kwamba kuvaa ivyo ni sahihi au sio sahihi. Ninachoamini ni kwamba kila mtu anatakiwa kuishi maisha yake halisi na kufanya kile anachokipenda. Sometimes mavazi fulani yanaweza kuanzishwa yakawa sehemu ya utamaduni na modifications fulani fulani kuwepo ili kuboresha utamaduni huo. Cha msingi ni kuwa original, na kuishi maisha tunayoyapenda. Fake people have an image to maintain, really people just don't care. Think big....[emoji4]Trauza chupa
Na wewe shikilia kopo la carolite uongeze confidenceMara nyingi bangi na pombe zinaleta sana confidence no wonder mmoja hapo kashikilia chupa ya konyagi.
Huyo namfahamu ana chuki za kiasili na mkoa wa Arusha hana mathara yoyote ni mvimba macho wa kawaida tu.Ulimaanisha nini ulipomlaumu kwamba ameshikilia chupa ya konyagi? uliposema "no wonder kashikilia chupa ya konyagi"
-Mimi nimesema "elimu" inawapa confidence kwa sababu facts kutoka kwenye post na kwenye picha yenyewe, zinaonyesha kwamba kijana ame-graduate, na wenzake wanasherehekea graduation, i.e. wanasherehekea kuhitimu mafunzo/chuo, kwa maana hiyo wamepata "elimu" na ndio maana nika-argue kwamba "elimu" imewasaidia kuongeza confidence na guts
-Haya wewe unasema bangi ndio inewapa confidence ya kuvaa hizo nguo, unao ushahidi unaoonyesha kwamba walivuta bangi ndio wakavaa hizo nguo?
-Una ushahidi gani kwamba hiyo chupa aliyoishika ndio imemfanya akavaa hizo nguo? au hata ushahidi kwamba alikunywa hiyo konyagi kabla hajavaa hizo nguo?
"ARUSHA kuna uvaaji mzuri sana kulinganisha na der esalam"…. Salama jabiri![]()
Ndio mwisho wa upeo wako hapo.Na wewe shikilia kopo la carolite uongeze confidence
[emoji817]
Wewe unanifahamia wapi? Chuki na watu wa arusha?! Pathetic...nina marafiki na ndugu wengi arusha. Fyi nafanya biashara na watu wa Arusha sana ukitoa wa Dar.Huyo namfahamu ana chuki za kiasili na mkoa wa Arusha hana mathara yoyote ni mvimba macho wa kawaida tu.
[emoji817]
Ahahaha story ya banyokaa![]()
[emoji817]
Sema nini, yeyote aliye dis humu najua habari imemfikia. Haina kunyuraa! Bushori ndio nembo, all Star ndo logo. Afu tunakimbizaga tu, hatuangalii makunyanzi ya raia usoni.Huyo namfahamu ana chuki za kiasili na mkoa wa Arusha hana mathara yoyote ni mvimba macho wa kawaida tu.
[emoji817]
Ujinga uko wapi na wewe mjuaji?! Au ulitaka wajipodoea ka dada zako!?bab lai kama mambo upendi si basi aisee....hauja lazimishwa...wanaishi wapendavyosasa mkuu mbona unasifia upumbavu eti?kuvaa hivyo ni unaona ni unjanja kweli?
tuongee ukweli hv mtoto wako akija kwako amevaa hivyo utafurahi kweli?
mimi nimezaliwa moshi lakini nimekulia arusha lakini upumbavu kama huo sijawahi kuhushabikia,kijana yoyote wa arusha aliyepata elimu hawafanyi ujinga huo.
Ndo maana mjanja....kumbe kitu cha ara.... Ebu kula[emoji109] [emoji109] [emoji109] ....watupishe hukoI miss home sweet home.
Kuvaa skin,travolta/Snickers, kisweta flank na skaf.
Kama nipo mbele vile...
Daaaah!
Huku Dsm hadi msimu wa mvua...thou nowdays hata baibui navaa na snickers.
It's all about fashiooooon [emoji108]