Kwa Dar wapi kuna Chimbo la magari kali kwa bei chee

Kwa Dar wapi kuna Chimbo la magari kali kwa bei chee

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
1,380
Reaction score
1,686
Life kama linaanza kuwa sawa kwa upande wangu.

Hivyo nahitaji niwe na kagari kamoja hivi ka kwenda nako harusini.

Je kwa Dar wapi naweza pata gari kali kwa bei Chee.

Budget yangu ni kama 5mil mpaka 7mil.

Nb* USED pia sitaki iSt
 
sio
Wezi wale atauziwa gari ina mauza uza, huwa wanachomoa spare wanafunga mbovu
kweli hizo huwa ni hisia tu jamaa wapo smart sana nimenunua kwao misimu karibia mitatu ya mwez wa 12 na gari zote zimenyooka acheni kutisha watu waje kwenu muwabamize
 
Back
Top Bottom