Ni ukweli ulio wazi kuwa Alikiba amekuwa na mchango mkubwa wa Diamond kuchukiwa na kuonekana mbaya!
Alikiba ndio aliye anza maneno kwenye media na cha kushangaza zaidi Alikiba alionekana kutotaka suluhu kabisa maana hili swala la kukosewa na Diamond kisa nyimbo lilikuwa lina malizwa kirafiki kabisa lakini sasa its too late maana sidhani kama itawezekana!
Alikiba ana nufaika sana na huu mvutano na Fella alisha sema kama kuna tatizo Alikiba aje waongee wamalize lakini sioni dalili!
Nina hakika Alikiba akisema watu waache kumgombanisha na kumtukana Diamond lazima wata acha kabisa!
Huu mzozo hauna manufaa yeyote kimziki...
mkuu unachoongea ukweli kabisa ukianzia na mafanikio makubwa kabisa aliyopata ya tuzo za kili, hii imetokana na mizozo hii, ukiangalia nyuma alikuwa msanii mzuri sawa lakini hakuwahi hata kupata tuzo tatu kwa usiku mmoja, wakati mwenzake mwaka 2010 kaanza tu mziki alipata tuzo 3 na kuweka karekodi kake na kuwa nominated kama upcoming artist tuzo za MTVMAMA, ye mpaka leo miaka zaidi ya kumi hawamjui kama upcorming artist...
Ila hii imeharibu saana utabaka kwa mashabiki.. Nakumbuka kunashow na spora alihojiwa mwaka jana spora aliniboa alionyesha sana kumfagilia diamond wakati anaehojiwa ni alikiba bila kujali upo upande gani lazima uone amekosea,,, lakini upande wa attitude ya alikiba nao ulikuwa na matatizo kidogo kwa maneno kama
""mi sikuwepo kimuziki huwezi kunifananisha na diamond, afu muda mwingine kizuri kikikosekana kibaya kinaonekana kizuri pia""
"" mimi ni mwanamuziki wa muda mrefu huwezi kunifananisha na diamond mfansnishe na wakina abdukiba, ommydimpoz""
"" kwa sasa msanii mkali ni abdukiba""
afu na masuala ya kufuta kiti ni kujikweza sijawahi kumsikia diamond, ommy, barnaba akiongea maneno kama hayo kwamba yeye ndio mkali wa bongo flavour, na kujiita king sio shida ila kufuta kiti inamaana waliopo mpaka tanzania ipo kwenye ramani ya mziki duniani walikuwa wanacheza fichamafichama????????????
Na kama kweli king unaweza kwenda kuperform jukwaa moja na mwananchi ws kswaida we unalipwa 15m yeye 60m?? au ndio bei sikuhizi maharagwe 10000 afu nyama 500 hahahahaha
Ila ninaamini tu wengiwetu tunachuki na team si wasanii so njiapekee ni kumuattack mkubwa wao