Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Just imagine mtu anaenda chooni kukojoa halafu hajisafishi tupu yake ya mbele unafikiri nini kitatokea? Hapo lazima atapata ma toilet disease tu kama UTI, Cystis, Urethritis na mengine neyo na pia atanuka nguo zake na mwili wake.
Just imagine mtu hususani wanawake wanaenda chooni wanakojoa Bila kufuata utaratibu, wanakojoa kojoa tu halafu akimaliza hawajisafishi wengi wanatoa harufu kwenye tupu zake. Niliwahi kukutana kimwili na binti mmoja aisee baada kufanya naye mpenzi nilihisi kinyaa na kutaka kuzimia baada ya kusikia halafu ya mkojo kwenye tupu yake ya mbele nilijuta sana, na pia niliwahi kukutana na binti mmoja anayefuata madili ya kiislamu lakini hana imani nilijuta aisee.
Mwanaume wakati wa kukojoa unapaswa uchuchumae chini uvue nguo na ukojoe vizuri then usafishe tupu yako, ila watu wengine hawafanyi hivi hali inayopelekea kupata magonjwa mengi ya toilet disease.
Utakuta mtu mtanashati lakini unasumbuliwa na ugonjwa wa UTI, hamuoni aibu ukiumwa matoilet disease kama UTI? Wewe ni mchafu tu.
Kwa suala la usafi dini ya kiislamu nawapa 👊👊👊👊 sio kama imani nyingine. Sasa sijui kama imani nyingine hawashauri hivi au ndio ukaidi wa waumini wao!
Just imagine mtu hususani wanawake wanaenda chooni wanakojoa Bila kufuata utaratibu, wanakojoa kojoa tu halafu akimaliza hawajisafishi wengi wanatoa harufu kwenye tupu zake. Niliwahi kukutana kimwili na binti mmoja aisee baada kufanya naye mpenzi nilihisi kinyaa na kutaka kuzimia baada ya kusikia halafu ya mkojo kwenye tupu yake ya mbele nilijuta sana, na pia niliwahi kukutana na binti mmoja anayefuata madili ya kiislamu lakini hana imani nilijuta aisee.
Mwanaume wakati wa kukojoa unapaswa uchuchumae chini uvue nguo na ukojoe vizuri then usafishe tupu yako, ila watu wengine hawafanyi hivi hali inayopelekea kupata magonjwa mengi ya toilet disease.
Utakuta mtu mtanashati lakini unasumbuliwa na ugonjwa wa UTI, hamuoni aibu ukiumwa matoilet disease kama UTI? Wewe ni mchafu tu.
Kwa suala la usafi dini ya kiislamu nawapa 👊👊👊👊 sio kama imani nyingine. Sasa sijui kama imani nyingine hawashauri hivi au ndio ukaidi wa waumini wao!