Kwa dini ya kiislamu usafi kwa mwanadamu umezingatiwa sana lakini unapaswa uwe na imani ya dini

Kwa dini ya kiislamu usafi kwa mwanadamu umezingatiwa sana lakini unapaswa uwe na imani ya dini

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Just imagine mtu anaenda chooni kukojoa halafu hajisafishi tupu yake ya mbele unafikiri nini kitatokea? Hapo lazima atapata ma toilet disease tu kama UTI, Cystis, Urethritis na mengine neyo na pia atanuka nguo zake na mwili wake.

Just imagine mtu hususani wanawake wanaenda chooni wanakojoa Bila kufuata utaratibu, wanakojoa kojoa tu halafu akimaliza hawajisafishi wengi wanatoa harufu kwenye tupu zake. Niliwahi kukutana kimwili na binti mmoja aisee baada kufanya naye mpenzi nilihisi kinyaa na kutaka kuzimia baada ya kusikia halafu ya mkojo kwenye tupu yake ya mbele nilijuta sana, na pia niliwahi kukutana na binti mmoja anayefuata madili ya kiislamu lakini hana imani nilijuta aisee.

Mwanaume wakati wa kukojoa unapaswa uchuchumae chini uvue nguo na ukojoe vizuri then usafishe tupu yako, ila watu wengine hawafanyi hivi hali inayopelekea kupata magonjwa mengi ya toilet disease.

Utakuta mtu mtanashati lakini unasumbuliwa na ugonjwa wa UTI, hamuoni aibu ukiumwa matoilet disease kama UTI? Wewe ni mchafu tu.

Kwa suala la usafi dini ya kiislamu nawapa 👊👊👊👊 sio kama imani nyingine. Sasa sijui kama imani nyingine hawashauri hivi au ndio ukaidi wa waumini wao!
 
Sasa mkuu usafi wa kujizuia kuzini huna Ila upo busy kutukana wale unaodhani hawana usafi wa mwili. Mwisho wa siku wote ni wachafu hivyo, ingependeza kama ungeanza kupambana na uchafu wako kwanza kabla ya kuwakosoa wengine
 
Just imagine mtu anaenda chooni kukojoa halafu hajisafishi tupu yake ya mbele unafikiri nini kitatokea? Hapo lazima atapata ma toilet disease tu kama UTI, Cystis, Urethritis na mengine neyo na pia atanuka nguo zake na mwili wake.

Just imagine mtu hususani wanawake wanaenda chooni wanakojoa Bila kufuata utaratibu, wanakojoa kojoa tu halafu akimaliza hawajisafishi wengi wanatoa harufu kwenye tupu zake. Niliwahi kukutana kimwili na binti mmoja aisee baada kufanya naye mpenzi nilihisi kinyaa na kutaka kuzimia baada ya kusikia halafu ya mkojo kwenye tupu yake ya mbele nilijuta sana, na pia niliwahi kukutana na binti mmoja anayefuata madili ya kiislamu lakini hana imani nilijuta aisee.

Mwanaume wakati wa kukojoa unapaswa uchuchumae chini uvue nguo na ukojoe vizuri then usafishe tupu yako, ila watu wengine hawafanyi hivi hali inayopelekea kupata magonjwa mengi ya toilet disease.

Utakuta mtu mtanashati lakini unasumbuliwa na ugonjwa wa UTI, hamuoni aibu ukiumwa matoilet disease kama UTI? Wewe ni mchafu tu.

Kwa suala la usafi dini ya kiislamu nawapa 👊👊👊👊 sio kama imani nyingine. Sasa sijui kama imani nyingine hawashauri hivi au ndio ukaidi wa waumini wao!
Dogo Uislam ulikuja duniani mwaka 650 uliikuta Dunia ilishsataarabika
Uislam ulikuja kukopy kuedit na kupaste vya watangulizi

Usivimbe bichwa dogo na kadini Kako wanaotawala hii Dunia kwa maarifa siyo waislamu
 
Mafundisho ya ukristo yamewapita mbali mafundisho ya uislam

Ukristo unaamin usafi wa rohoni
Waislamu wao wanahubiri usafi wa nguo na mwili ambao kimsingi haiuwezi kuwa kama wenzao

Logic unausafisha mwili alafu huo mwili ukifa unaoza unapotea

Alafu roho ndo inaenda kuhukumiwaa bila ushahidi
 
Usafi hauna Dini acha kukariri, lazima uelewe always good spirit kamwe haziwezi kuambatana na mtu mchafu. Ndio maana Dini nyingi mavazi yao uwakilishwa kwa rangi nyeupe wakimaanisha usafi wa akili, mwili na roho.
 
Just imagine mtu anaenda chooni kukojoa halafu hajisafishi tupu yake ya mbele unafikiri nini kitatokea? Hapo lazima atapata ma toilet disease tu kama UTI, Cystis, Urethritis na mengine neyo na pia atanuka nguo zake na mwili wake.

Just imagine mtu hususani wanawake wanaenda chooni wanakojoa Bila kufuata utaratibu, wanakojoa kojoa tu halafu akimaliza hawajisafishi wengi wanatoa harufu kwenye tupu zake. Niliwahi kukutana kimwili na binti mmoja aisee baada kufanya naye mpenzi nilihisi kinyaa na kutaka kuzimia baada ya kusikia halafu ya mkojo kwenye tupu yake ya mbele nilijuta sana, na pia niliwahi kukutana na binti mmoja anayefuata madili ya kiislamu lakini hana imani nilijuta aisee.

Mwanaume wakati wa kukojoa unapaswa uchuchumae chini uvue nguo na ukojoe vizuri then usafishe tupu yako, ila watu wengine hawafanyi hivi hali inayopelekea kupata magonjwa mengi ya toilet disease.

Utakuta mtu mtanashati lakini unasumbuliwa na ugonjwa wa UTI, hamuoni aibu ukiumwa matoilet disease kama UTI? Wewe ni mchafu tu.

Kwa suala la usafi dini ya kiislamu nawapa 👊👊👊👊 sio kama imani nyingine. Sasa sijui kama imani nyingine hawashauri hivi au ndio ukaidi wa waumini wao!

Hamnaga dini ya kiislama, unachoongelea ni desturi na tamaduni za kiarabu. Unayoiita dini ya kiislam, siyo imani, ni utaratibu wa maisha wa watu wa mashariki ya kati. Kwa hiyo unachofanya ni ulinganishi wa tamaduni za kiarabu na waswali. Ni vitu viwili tofauti.
 
Just imagine mtu anaenda chooni kukojoa halafu hajisafishi tupu yake ya mbele unafikiri nini kitatokea? Hapo lazima atapata ma toilet disease tu kama UTI, Cystis, Urethritis na mengine neyo na pia atanuka nguo zake na mwili wake.

Just imagine mtu hususani wanawake wanaenda chooni wanakojoa Bila kufuata utaratibu, wanakojoa kojoa tu halafu akimaliza hawajisafishi wengi wanatoa harufu kwenye tupu zake. Niliwahi kukutana kimwili na binti mmoja aisee baada kufanya naye mpenzi nilihisi kinyaa na kutaka kuzimia baada ya kusikia halafu ya mkojo kwenye tupu yake ya mbele nilijuta sana, na pia niliwahi kukutana na binti mmoja anayefuata madili ya kiislamu lakini hana imani nilijuta aisee.

Mwanaume wakati wa kukojoa unapaswa uchuchumae chini uvue nguo na ukojoe vizuri then usafishe tupu yako, ila watu wengine hawafanyi hivi hali inayopelekea kupata magonjwa mengi ya toilet disease.

Utakuta mtu mtanashati lakini unasumbuliwa na ugonjwa wa UTI, hamuoni aibu ukiumwa matoilet disease kama UTI? Wewe ni mchafu tu.

Kwa suala la usafi dini ya kiislamu nawapa 👊👊👊👊 sio kama imani nyingine. Sasa sijui kama imani nyingine hawashauri hivi au ndio ukaidi wa waumini wao!
Em tuletee diagnosis register book ya hospital angalau mbili tuangalie frequencies ya wanaoumwa hyo unayoita toilet disease wanatoka wapi.

Unauelewa mdogo sana kuhusu magonjwa hayo na Community hygiene.
 
Ewe Bin Mwamedi acha Ujinga na Upumbavu sijui kwanini mna alergy na shule

NAKUPA ILMU HAPA

Wazungu wanatumia Toilet Papers na tissues na hawana UTI sugu iliyoko Tanzania

Wadada wa Kenya na South Africa wanatumia Toilet papers na Tissues na hawalalamiki U.T.I kama Wabongo

Ndio maana Westerners wakija TZ wanatembea na Tissue mifukoni na katika vibegi vyao

Utumiaji wa maji bila kujikausha kau na vyoo vichafu vya maji ndio vimeleta U.T.I sugu

Waswahili waishio uswahilini wengi wao wakiwa ni Waislam ndio wanaoongoza kupata na kusambaza U.T.I mpaka kwa Wanaume zao
 
Sasa mleta uzi siku hizi kwenye vyoo vya kulipia kuna sinki za kukojolea wanaume,na wapo wanakojoa kwenye sinki huku ana kopo la maji akimaliza anasafisha kule mbele ili matone ya mkojo yasiishie kwenye boxer,ni kweli mkojo ni najisi. Ila swali langu,kukojoa kwenye sinki za kukojolea lakini umesafisha kichwa kule mbele hapo si unakuwa hauna najisi? Au kokojoa kwenye zile sinki haifai?
 
Just imagine mtu anaenda chooni kukojoa halafu hajisafishi tupu yake ya mbele unafikiri nini kitatokea? Hapo lazima atapata ma toilet disease tu kama UTI, Cystis, Urethritis na mengine neyo na pia atanuka nguo zake na mwili wake.

Just imagine mtu hususani wanawake wanaenda chooni wanakojoa Bila kufuata utaratibu, wanakojoa kojoa tu halafu akimaliza hawajisafishi wengi wanatoa harufu kwenye tupu zake. Niliwahi kukutana kimwili na binti mmoja aisee baada kufanya naye mpenzi nilihisi kinyaa na kutaka kuzimia baada ya kusikia halafu ya mkojo kwenye tupu yake ya mbele nilijuta sana, na pia niliwahi kukutana na binti mmoja anayefuata madili ya kiislamu lakini hana imani nilijuta aisee.

Mwanaume wakati wa kukojoa unapaswa uchuchumae chini uvue nguo na ukojoe vizuri then usafishe tupu yako, ila watu wengine hawafanyi hivi hali inayopelekea kupata magonjwa mengi ya toilet disease.

Utakuta mtu mtanashati lakini unasumbuliwa na ugonjwa wa UTI, hamuoni aibu ukiumwa matoilet disease kama UTI? Wewe ni mchafu tu.

Kwa suala la usafi dini ya kiislamu nawapa 👊👊👊👊 sio kama imani nyingine. Sasa sijui kama imani nyingine hawashauri hivi au ndio ukaidi wa waumini wao!
Sisi Wakristo tunazingatia sana usafi wa roho kuliko wa mwili.
 
Just imagine mtu anaenda chooni kukojoa halafu hajisafishi tupu yake ya mbele unafikiri nini kitatokea? Hapo lazima atapata ma toilet disease tu kama UTI, Cystis, Urethritis na mengine neyo na pia atanuka nguo zake na mwili wake.

Just imagine mtu hususani wanawake wanaenda chooni wanakojoa Bila kufuata utaratibu, wanakojoa kojoa tu halafu akimaliza hawajisafishi wengi wanatoa harufu kwenye tupu zake. Niliwahi kukutana kimwili na binti mmoja aisee baada kufanya naye mpenzi nilihisi kinyaa na kutaka kuzimia baada ya kusikia halafu ya mkojo kwenye tupu yake ya mbele nilijuta sana, na pia niliwahi kukutana na binti mmoja anayefuata madili ya kiislamu lakini hana imani nilijuta aisee.

Mwanaume wakati wa kukojoa unapaswa uchuchumae chini uvue nguo na ukojoe vizuri then usafishe tupu yako, ila watu wengine hawafanyi hivi hali inayopelekea kupata magonjwa mengi ya toilet disease.

Utakuta mtu mtanashati lakini unasumbuliwa na ugonjwa wa UTI, hamuoni aibu ukiumwa matoilet disease kama UTI? Wewe ni mchafu tu.

Kwa suala la usafi dini ya kiislamu nawapa 👊👊👊👊 sio kama imani nyingine. Sasa sijui kama imani nyingine hawashauri hivi au ndio ukaidi wa waumini wao!
Wewe ni lay person, hukwenda shule unaongozwa na imani za dini. Mwili una mechanisms zake za kuregulate kila kitu. Umeandika kama ambaye hujapitia shule.

Nawaona waislamu anatembea na maji kwenye chupa ya lita moja, akikojoa anaosha dhakari hata bila sabuni, huo ndio usafi?Let ue be scientific, Kukojoa mara moja kunaleta magonjwa gani? chemical Contents za mkojo ni zipi? zina uchafu gani/infectious agents zipi kama huna acquired venereal diseases and the like?

Unaleta UNSCIENTIFIC REASONING!

Risk factors for UTI​

UTIs are common in women. Many women experience more than one UTI during their lifetimes.

Risk factors for UTIs that are specific to women include:

  • Female anatomy. Women have a shorter urethra than men do. As a result, there's less distance for bacteria to travel to reach the bladder.
  • Sexual activity. Being sexually active tends to lead to more UTIs. Having a new sexual partner also increases risk.
  • Certain types of birth control. Using diaphragms for birth control may increase the risk of UTIs. Using spermicidal agents also can increase risk.
  • Menopause. After menopause, a decline in circulating estrogen causes changes in the urinary tract. The changes can increase the risk of UTIs.
Other risk factors for UTIs include:

  • Urinary tract problems. Babies born with problems with their urinary tracts may have trouble urinating. Urine can back up in the urethra, which can cause UTIs.
  • Blockages in the urinary tract. Kidney stones or an enlarged prostate can trap urine in the bladder. As a result, risk of UTIs is higher.
  • A suppressed immune system. Diabetes and other diseases can impair the immune system — the body's defense against germs. This can increase the risk of UTIs.
  • Catheter use. People who can't urinate on their own often must use a tube, called a catheter, to urinate. Using a catheter increases the risk of UTIs. Catheters may be used by people who are in the hospital. They may also be used by people who have neurological problems that make it difficult to control urination or who are paralyzed.
  • A recent urinary procedure. Urinary surgery or an exam of your urinary tract that involves medical instruments can both increase the risk of developing a UTI.
 
Mwanaume nikojoe nimechuchumaa hii kitu hapana.

Huu ni utamaduni wa waarabu na ndugu zangu waislamu sababu muda mwingi wamevaa kanzu ni ngumu ukiwa na kanzu kukojoa umesimama.

Shika kubwa sana na waislam ni kudhani kuwa wanacho amini ni dini, kumbe ni desturi za waarabu. Wee tangu lini mwanaume akojoe akiwa amechuchuma, kama siyo ujinga huo wanaofundisha msikitini ni nini?
 
K
Shika kubwa sana na waislam ni kudhani kuwa wanacho amini ni dini, kumbe ni desturi za waarabu. Wee tangu lini mwanaume akojoe akiwa amechuchuma, kama siyo ujinga huo wanaofundisha msikitini ni nini?
wahiyo kuchucuma ni desturi ya waarabu? Kwa akili zako kisoda
 
Oga! Omo K
Wewe ni lay person, hukwenda shule unaongozwa na imani za dini. Mwili una mechanisms zake za kuregulate kila kitu. Umeandika kama ambaye hujapitia shule.

Nawaona waislamu anatembea na maji kwenye chupa ya lita moja, akikojoa anaosha dhakari hata bila sabuni, huo ndio usafi?Let ue be scientific, Kukojoa mara moja kunaleta magonjwa gani? chemical Contents za mkojo ni zipi? zina uchafu gani/infectious agents zipi kama huna acquired venereal diseases and the like?

Unaleta UNSCIENTIFIC REASONING!

Risk factors for UTI​

UTIs are common in women. Many women experience more than one UTI during their lifetimes.

Risk factors for UTIs that are specific to women include:

  • Female anatomy. Women have a shorter urethra than men do. As a result, there's less distance for bacteria to travel to reach the bladder.
  • Sexual activity. Being sexually active tends to lead to more UTIs. Having a new sexual partner also increases risk.
  • Certain types of birth control. Using diaphragms for birth control may increase the risk of UTIs. Using spermicidal agents also can increase risk.
  • Menopause. After menopause, a decline in circulating estrogen causes changes in the urinary tract. The changes can increase the risk of UTIs.
Other risk factors for UTIs include:

  • Urinary tract problems. Babies born with problems with their urinary tracts may have trouble urinating. Urine can back up in the urethra, which can cause UTIs.
  • Blockages in the urinary tract. Kidney stones or an enlarged prostate can trap urine in the bladder. As a result, risk of UTIs is higher.
  • A suppressed immune system. Diabetes and other diseases can impair the immune system — the body's defense against germs. This can increase the risk of UTIs.
  • Catheter use. People who can't urinate on their own often must use a tube, called a catheter, to urinate. Using a catheter increases the risk of UTIs. Catheters may be used by people who are in the hospital. They may also be used by people who have neurological problems that make it difficult to control urination or who are paralyzed.
  • A recent urinary procedure. Urinary surgery or an exam of your urinary tract that involves medical instruments can both increase the risk of developing a UTI.
Una tofauti Kati ya risk factors na causes
 
K

wahiyo kuchucuma ni desturi ya waarabu? Kwa akili zako kisoda

Fanya utafiti ujue hili ewe mfuasi wa desturi za waarabu. Kifupi ni kwa sababu ya hiyo tabia mbovu ya wanaume kuvaa magauni, ndiyo maana mnaelezwa kojoeni kama dada zenu.
 
Oga! Omo K

Una tofauti Kati ya risk factors na causes
waabie waarabu wawajengee mashule , hospitali and the like siyo misaada ya kujenga misikiti kwa wingi na mabwawa ya kutawazia ,,,tell them to balance the story
 
Ewe Bin Mwamedi acha Ujinga na Upumbavu sijui kwanini mna alergy na shule

NAKUPA ILMU HAPA

Wazungu wanatumia Toilet Papers na tissues na hawana UTI sugu iliyoko Tanzania

Wadada wa Kenya na South Africa wanatumia Toilet papers na Tissues na hawalalamiki U.T.I kama Wabongo

Ndio maana Westerners wakija TZ wanatembea na Tissue mifukoni na katika vibegi vyao

Utumiaji wa maji bila kujikausha kau na vyoo vichafu vya maji ndio vimeleta U.T.I sugu

Waswahili waishio uswahilini wengi wao wakiwa ni Waislam ndio wanaoongoza kupata na kusambaza U.T.I mpaka kwa Wanaume zao
Nimezunguka duniani na nina uzoefu wa maeneo yote hayo uliyoyataja, wakenya now wameanza kustaarabika na wengi wanatumia maji
Wasouth wengi hawatumii maji chooni na hilo linawafanya wengi wao k zao zinanuka na wanasumbuliwa sana na bacterial diseseas ila ni wazuri kwenye kujifunza ukiwaelekeza wanabadilika
Haya pata elimu kuhusu ubora wa kutumia maji tofauti na toilet paper ,hiyo ni research ya wamarekani
 

Attachments

  • Screenshot_20240624-191633_Chrome.jpg
    Screenshot_20240624-191633_Chrome.jpg
    398.5 KB · Views: 5
Back
Top Bottom