Huyu dogo achoshangaza , anafokea watu wanaolipwa pesa mingi Sana kwa mwezi anahic wako sawa kumbe ni mbingu na ardhi.
Kikubwa huyu dogo hajui chochote kwenye hii career ya urefarii ulishaona wapi refa Makini akagawa kadi kila tukio, halafu sehemu ya kutoa kadi hatoi
Mm ningekuwa mchezaji ningetoa mhanga mechi za kufungiwa na mshahara wangu wa mwezi mmoja , namtega ili anifokee then Tia ngumi za kutosha ndan ya dakika 2 awe amebadilika rangi.
Imagine angekuwa nafoka enzi za akina Haruna Moshi boban au athuman iddi chuji huyu dogo angekuwa alishashika adabu
Tff wapeni semina marefa wenu mara kwa Mara wanatia aibu Sana
Kayoko Kama upo humu badilika acha hiyo kitu inakuondolea credibility Sana, kingine usifikiri wewe ni refa mzuri mno , HAMNA KITU ni vile tu una connection.
Kikubwa huyu dogo hajui chochote kwenye hii career ya urefarii ulishaona wapi refa Makini akagawa kadi kila tukio, halafu sehemu ya kutoa kadi hatoi
Mm ningekuwa mchezaji ningetoa mhanga mechi za kufungiwa na mshahara wangu wa mwezi mmoja , namtega ili anifokee then Tia ngumi za kutosha ndan ya dakika 2 awe amebadilika rangi.
Imagine angekuwa nafoka enzi za akina Haruna Moshi boban au athuman iddi chuji huyu dogo angekuwa alishashika adabu
Tff wapeni semina marefa wenu mara kwa Mara wanatia aibu Sana
Kayoko Kama upo humu badilika acha hiyo kitu inakuondolea credibility Sana, kingine usifikiri wewe ni refa mzuri mno , HAMNA KITU ni vile tu una connection.