Kwa documentary ya Pele hii iliyotoka nitakuwa mpuuzi kuendelea kumlinganisha na watoto wadogo kina Messi

Kumbe hakuna jipya chini ya jua ambavyo hatumjui jamaa huyu ,na vizazi vijavyo havitawajua kina Ronaldinho Gaucho, mbaya Zaid documtary hizo hazikutunzwa vema

Pele ni kiboko!! Kumbe kina Messi wanafanya kukopi na kupesti tu!!! Halafu wanafanya hivyo bila acknowledgement!!! Hiyo kwenye taaluma ni kosa kubwa!!
 

Pele keshachaguliwa na FIFA kwa kutumia makocha wa Taifa duniani kuwa NI MCHEZAJI BORA WA KARNE YA 20. Maradona pia alicheza karne ya ishirini lakini alipigwa chini. Ndiyo ni mchezaji mzuri, lakini PELE ni HABARI NYINGINE!! Si uangalie hiyo documentary!! Hawa wengine kumbe wanakopi na kupesti toka kwa PELE!! Na mtaalamu mkubwa wa kupesti nimeona ni Ronadinho!!
 
Kipindi hio hakuna offside
Heavy boots, heavy football, shocking pitches, and players that actually tried to hurt you, not just tackle.
Those under 30 have no idea what it took to be a great. They just look at todays stars, playing touch football, and use the word 'great' or 'greatest' far too easy.
 
Ukiona hadi wazungu na ubaguzi wao lakini wanakwambia hakuna kama Pele,basi jua hakuwa mtu wa kawaida[emoji123][emoji174]

Wazungu kumpraise black hua ni kazi sana , ataenziwa kwenye soka miaka yote na nasikia asili yake ni pale gwanseri
 
Kwangu atabaki kua mchezaji bora asiye na sifa ya kulinganishwa na wachezaji kama Maradona. Messi, Ronaldo, Ronaldino, wala Cristiano wachezaji wa leo.
Na haya ni maoni yako....Tumshukuru Mungu.
 
Nilimchukia Messi kwa sababu ya shafii dauda! Dauda ni h
Ovyo kabisa ana unazi na ujuaji wa kijinga sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…