Kwa fashion hii ya miaka ya iliyopita unaonaje ikarejea tena?

Kwa fashion hii ya miaka ya iliyopita unaonaje ikarejea tena?

teetotaller

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2014
Posts
307
Reaction score
204
Habari za mihangaiko ya hapa na pale kutafuta chochote kitu wana JF!

Unaonaje fashion hii ikarudi tena miaka hii?
FB_IMG_1485976202288.jpg
 
Hapana..sio kwa suruali hiyo mjomba,afadhali hayo mashati
Kipindi fulani hayo mashati si yalikuwepo!!waliyaitaga mashati ya bushoke
 
Hii staili ni ya zamani kwa wengine lakini kwa wasukuma hayo masuruali mapana chini bado yapo kwenye chati mpaka sasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
ni ufujaji tu huo!! yan iyo suruali moja apo alovaa mimi nazitoa kama tano ivi au sita
 
Tunaanzia wapi kuvaa hizi mapigo ya kaleee kama sampuli za watu tulionao ni design hii??
c36f4b321d46c3c47467500b5f5879fe.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Huwezi amini ukianzisha biashara ya hayo mavazi unaweza kufanikiwa sana. Binadamu hatueleweki, chacha na viatu vya laizoni vinaweza kuuzwa bei ya juu na watu wakanunua. Hata hivyo maandiko yanasema hakuna kipya, mambo yanajirudia tu.
 
Waliovaa hivi walionekana kuwa nao ni akina Dangote
 
Back
Top Bottom