Kwa flyover ya Tanzania kufurika hivi, kosa la nani kiutalaam

Kweli nimekubali. Wabongo hamna hata shukrani hata chembe. Miaka yoote tangu darisalama iwepo mlishaona wapi flyova?
 
napita sana hii.njia juzijuzi hapa ilinyesha mvua kidogo tu ila maeneo yote ya vingunguti barabarani yalijaa maji nilifatilia kuona maji yanakwama wapi nikagundua nihapo kwa mfugale.
leo naona maji yamesogea kabisa,kwakua mwandisi hajamaliza vifaa vyake site hope atarekebisha wajapan hawana shida huwenda wachoraji ramanndo walimpoteza mjenzi.
 
Hivi dar kuna flyovers ? Acheni utani ivyo vidaraja kuviita flyovers ni kujiaibisha tu.
 

Kwa kawaida kwa nature ya terrain kama ni flat terrain mara nyingi drain slope inakuwa ndogo sana. Kwa maana hiyo kama mvua itanyesha kwa wingi sana kwa muda mfupi lazima uone maji yakituama na baada ya muda maji yale yataflow na kuondoka barabarani na hii inatokea sana kwenye flat terrain hasa kiasi cha mvua kinakuwa kikubwa zaidi kwa muda mfupi. Angalia hata France during the time when river Seine water level raised, hii haikuwa Africa wa Tz lakini kutokana na Paris nature yake ni flat terrain basi kwa muda ule watu walitembea kwenye maji. Hii huwezi kuikuta kwenye mountainous terrain kama Kilimajaro, au Mwanza.
MK254 fikiria nje ya box na si kila picha unairusha, yawezekana iko kwenye mitandao lakini si kwa maudhui yako ya kuponda, baada ya nusu saa maji hayo yalikauka kwa hiyo sioni shida hapo ni kawaida sana.

Angalia hii ilitokea France Paris

 
Sasa hapo kuna flyover? Eneo lenye maji sio flyover hiyo barabara ilikua toka siku nyingi na drainage systems zake hizo, kama maji yametuama juu ya flyover ndio utuletee umbea wako.
 
Mpuuzi tu huyo, wala usijisumbue kumwelezea kinagaubaga, he has his missions.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo mafuriko ni changamoto ya KAWAIDA tu. Isitoshe mkandarasi bado hajamaliza KAZI.
 
Engineer MFU galley flyover swimming pool[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]

Jr[emoji769]
 

Kuwa serious kidogo
Mvua ya lisaa limoja?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kiukweli tazara maji yalikua yanasimama hata kabla ya barabara za juu. labda wapanue mitaro maana maji uwa mengi kuliko upana wa mitaro. hili ni muhimu kuzingatia hata wanapojenga uwanja wa ndege mpya napo maji ya mvua yalikua yanajaa pale . wasipozingatia litakua nalo tatizo

kitochi
 
Aibu tupu, ukisema unaambiwa wewe msaliti kwa nchi yako

Uzalendo kwa tafsiri ya awamu hii ni kusifu na kuabudu hata ujinga unatekelezwa na hawa watawala
Aibu kabisa Mkuu..
Na mbwembwe zote zile za uzinduzi kumbe ni ovyo kabisa.
 
acha kutuaminisha uongo kuwa ukweli wa kitaifa,ukiwa mkweli na kuweka facts zako ni bora kuliko kupindisha ukweli,Drainage systems yetu ndani ya jiji letu la Dar imekufa,na utaalamu wa wataalamu wetu hawa unazua maswali mengi bila majibu ya ukweli,mfano why ile barabara yetu kuu kutoka Dar hadi Tunduma ,kile kipande kilichojengwa vizuri tu kati ya nje kidogo ya Mbeya hadi karibu na Mafinga why wameweka matuta makubwa kwenye Freeway?
 
Nina wasiwasi upembuzi yakinifu ulifanywa na Polepole.
 
Mother nature always wins so its no big deal. Kama mvua haijanyesha kubwa na iwe hivi sasa hapo ndo inaeza kuwa ishu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…