[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]@ Beach kidimbwi flyover...Ndo kwanza mvua zinaanza.Miradi ya Magufuli ni ya hovyo kabisa.
Viwango vya ubora havizingatiwi, yeye siasa mbele quality and standards will come after.
Kwenye Hostel za Chuo Kikuu mabweni yalipotoka nyufa akamleta engineer wake wa Kinyakyusa, akatuletea msamiati EXPANSION JOINT.
Sasa flyover imekuwa Beach, nadhani sasa itaitwa Beach Kidimbwi Flyover
Lile boat lake la MV Dar es Salaam, safari ya kwenda Bagamoyo ilichukua zaidi ya masaa nane na ilikula mafuta mengi sana, kwa aibu akawapa wanajeshi
Acha chuki na jpm wewe huyu ndio rais bora everMiradi ya Magufuli ni ya hovyo kabisa.
Viwango vya ubora havizingatiwi, yeye siasa mbele quality and standards will come after.
Kwenye Hostel za Chuo Kikuu mabweni yalipotoka nyufa akamleta engineer wake wa Kinyakyusa, akatuletea msamiati EXPANSION JOINT.
Sasa flyover imekuwa Beach, nadhani sasa itaitwa Beach Kidimbwi Flyover
Lile boat lake la MV Dar es Salaam, safari ya kwenda Bagamoyo ilichukua zaidi ya masaa nane na ilikula mafuta mengi sana, kwa aibu akawapa wanajeshi
Aibu kabisa Mkuu..
Na mbwembwe zote zile za uzinduzi kumbe ni ovyo kabisa.
Hapo msimu wa mvua bado, ilikua tu kionjo cha siku moja, wajiandae haswa ninavyojua mvua ya Dar.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]@ Beach kidimbwi flyover...Ndo kwanza mvua zinaanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sawa. Mie naongeza kuwa hawa wahandisi wetu wanaojenga huwa hawaulizi kabisa wanachi wenyeji kuhusu eneo husika na tabia zake za mafuriko. Hawaulizi namna mkondo wa maji unavopita sehemu inayihusika. Wanaangalia yale ya vitabuni tu. Pale tazara panajulikana miaka yote kwa maji kutuama. Wangejua wangepandisha barabara za chini au wangejenga draunage kubwa zaidi.Hahaha..........Umenikumbusha mbali wakati hili daraja likijengwa tuliambiwa liko modern na bora kuliko yale tuliyo nayo Kenya. Nilijaribu kuelezea wabongo hiyo ni excitement too lakini wapi.
Kwa swala la uhandisi, mara nyingi vitu zikijengwa Afrika hujengwa tu vizuri ila kinachokosekana ni miundombinu ya kusupport hicho kilichojengwa. Kwa mfano unapojenga Daraja kama hili, unafunika ardhi nyingi kwa saruji na lami na kuzuia maji ya mvua kupenyeza kwa hivo unaachilia maji mengi kubaki kwa surface ya ardhi. Suluhisho la hili ni kujenga drains kubwa zaidi ambazo majiji mengi ya Africa hayana. Halafu kingine kando ya drainage system isiyoweza kusupport hiyo infrastructure, majiji mengi ya Afrika ni machafu na hayatilii maanani utupaji wa taka mahali kunakofaa - makaratasi mengi huingia kwa hizo drain na kuzifanya ziwe ndogo zaidi. Ndio maana kila kukijengwa barabara kubwa kwenye majiji ya Afrika, kunatokea na hii shida ya flooding. Ile nashukuru serikali ya kenya kwa kuban makaratasi ya nylon maanake yalichangia sana kublock drains mjini. Mwaka uliopita kulikuwa na mvua nyingi na hakukuwa na flooding yoyote Nairobi kama inavyokua miaka mingine.
NmekuheshimuHahaha..........Umenikumbusha mbali wakati hili daraja likijengwa tuliambiwa liko modern na bora kuliko yale tuliyo nayo Kenya. Nilijaribu kuelezea wabongo hiyo ni excitement too lakini wapi.
Kwa swala la uhandisi, mara nyingi vitu zikijengwa Afrika hujengwa tu vizuri ila kinachokosekana ni miundombinu ya kusupport hicho kilichojengwa. Kwa mfano unapojenga Daraja kama hili, unafunika ardhi nyingi kwa saruji na lami na kuzuia maji ya mvua kupenyeza kwa hivo unaachilia maji mengi kubaki kwa surface ya ardhi. Suluhisho la hili ni kujenga drains kubwa zaidi ambazo majiji mengi ya Africa hayana. Halafu kingine kando ya drainage system isiyoweza kusupport hiyo infrastructure, majiji mengi ya Afrika ni machafu na hayatilii maanani utupaji wa taka mahali kunakofaa - makaratasi mengi huingia kwa hizo drain na kuzifanya ziwe ndogo zaidi. Ndio maana kila kukijengwa barabara kubwa kwenye majiji ya Afrika, kunatokea na hii shida ya flooding. Ile nashukuru serikali ya kenya kwa kuban makaratasi ya nylon maanake yalichangia sana kublock drains mjini. Mwaka uliopita kulikuwa na mvua nyingi na hakukuwa na flooding yoyote Nairobi kama inavyokua miaka mingine.
Neno usaliti hua ni kauli mbiu yenu chademaAibu tupu, ukisema unaambiwa wewe msaliti kwa nchi yako
Uzalendo kwa tafsiri ya awamu hii ni kusifu na kuabudu hata ujinga unatekelezwa na hawa watawala