sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Mhusika kajisevu sevu ana fungu la Bilioni 1.3 kalitenga kuendeleza huko kwao
Options ni mbili
A. Kuwachukua wanaofaulu vizuri form 4 Kuwasomesha chuoni mpaka wanapomaliza degree. sharti ni kusomea kozi za sheria, Engineering, udaktari, ufamasia na uhasibu.
2. Kuwapa mikopo isio na riba kuanzia milioni 10 hadi 50, kigezo mtu awe na uzoefu kwenye biashara na muhimu zaidi nidhamu ya pesa.
Options ni mbili
A. Kuwachukua wanaofaulu vizuri form 4 Kuwasomesha chuoni mpaka wanapomaliza degree. sharti ni kusomea kozi za sheria, Engineering, udaktari, ufamasia na uhasibu.
2. Kuwapa mikopo isio na riba kuanzia milioni 10 hadi 50, kigezo mtu awe na uzoefu kwenye biashara na muhimu zaidi nidhamu ya pesa.