Kwa gesi asilia tuliyonayo, Tanzania si ya kulalamikia mafuta

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,246
Reaction score
123,145
Ukweli tuuseme, kwenye hili la Gas, mwendazake aliturudisha nyuma sana kwenda kuifuta mikataba ya utafutaji na uzalishaji Gas. Ni kama Tumeanza upya kipindi hiki.

Tanzania kwa Gas tuliyonayo, tunaweza kuitumia kuzalisha umeme kwa wingi, tunaweza kuitumia na kuibadilisha ikawa nishayti zingine kama Diesel na Petroli za magari.

Kwa ufupi Gas yetu tunaweza kuanza kuitumia hata kuzalisha umeme na kuwa na umeme mwingi sana na wa uhakika saa zote Tanzania nzima ambao tunaweza kuutumia kama nishati ya usafiri bila matatizo yoyote, kuanzia treni mpaka mabasi mpaka malori yakawa ya umeme, seuse vigari vyetu vya misele.

Imeme tunao, madini ya kuzalisha vitunza nishati (batteries)mtunayo ya kututosha miaka 600 ijayo kama hatutayauza nje.

Tunangoja nini kuwekeza huko na kuhangaika kuteseka kila kukicha?

Watanzania tu wajinga sana kupita kiasi.

Tuanze na mradi mmoja tu kwa makusudi kabisa, mabasi ya mwendo kazi yote sasa hivi yawe ya umeme tu.

Tukitoka hapo tuhamie magari yote ya mjini, ya mizigo na daladala ziwe za umeme tu.

Kampuni zije hapahapa kuytengeneza viwanda vya mabasi, magari na batteries.

Tukiwaambia wachina leo, kesho wanahamia hapa kuyafanya hayo.

Tunangoja nini na "bureaucracy" zetu za kijinga?

Tuwaambie Dubai tu, tuone watavyofanyia Gas tuliyonayyo. Hatuna akili.
 
Unaposema "tunangoja nini" unamaanisha sisi wananchi, serikali, au nani?
 
Kwani Gesi bado ipo?
Mwendazake alituambia Gesi ya Mtwara ilishauzwa yote wakati wa awamu ya Nne, na kwa hasira ndiyo maana akaanzisha mradi wa umeme kwa kutumia maji. (Hydroelectric power plant) Technologia ya kitambo sana.
 
Nayo mtaenda kuuzia warabu
 
We don't know what our priorities are. Kila awamu inakuja na mambo yake hence continuity inakosemana.
 
Waislamu wanaficha mafuta Tanzania kutesa watu wa chini, lkn wanaoumia ni Waislamu pia, hata hiyo gesi Waislamu pia wameigawa kwa kukosa patriotism …
 
Nikisema hamna akili mnakataa, CCM hamna akili mnawaza kushinda chaguzi tu! Tena kushinda Kwa hila! Serikali ya CCM imejaza Wahuni
Wahuni siyo Watu, πŸ˜‚πŸ˜‚ Doto kaachiwa jumba bovu πŸ˜€πŸ˜€πŸ”₯🌟
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…