Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
muwekee kinyonga kichwani kwa uoga atashtuka sana na mishipa yote itaachiaSawa mtaalamu ko tiba Ya moja Kwa moja hakuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
muwekee kinyonga kichwani kwa uoga atashtuka sana na mishipa yote itaachiaSawa mtaalamu ko tiba Ya moja Kwa moja hakuna
Nenda hospital kubwa ulio karibu nayo omba kuonana na speech therapist. Kuna mmambo ya kuzingatia kwanza angalia uwezo wa kusikia, pili angalia place and manner of articulation such as young teeth and palate kwa kifupi inawezekana akaqa kachelewa Ku amili lugha au ana sound production problemKuhusu ububu mkuu nafkiri kihospitali sijawai kusikia mtu katibiwa na kupona. Na pia sijui kama hata cause yake inajulikana kitabibu. Kwasabbu unakuta mtu mwingine anatoa anatoa sauti Fulani lakini hazina maana. Nafkiri hata ugugumizi pia huwa kitabibu hauleweki sana. Au ngoja waje watalaam
Jibu rahisi ni kupitia katk maombezi nenda ktk makanisa yanayofanya maombezi atapona