Kuhusu ububu mkuu nafkiri kihospitali sijawai kusikia mtu katibiwa na kupona. Na pia sijui kama hata cause yake inajulikana kitabibu. Kwasabbu unakuta mtu mwingine anatoa anatoa sauti Fulani lakini hazina maana. Nafkiri hata ugugumizi pia huwa kitabibu hauleweki sana. Au ngoja waje watalaam
Jibu rahisi ni kupitia katk maombezi nenda ktk makanisa yanayofanya maombezi atapona