Kwa habari hii (Diamond & Wema) napata picha kwamba Vijana wengi bado hawajajitambua...

Keyser Söze;7546286 said:
Yaani unapoteza muda wako kufuatilia mapenzi ya wema na diamond? For what? Utajifunza chochote kutoka kwao au? Kuna marole model wa kufuatilia bt not these fools!

sidhani kama ni sahihi kuwaita wapenzi '-FOOLS-'
LOVE IS CRAZY...u know
 
Nilichojifunza ni kwamba lau mambo yangu binafsi ya enzi za ujana yangekuwa yanaandikwa, watu wa magazeti wangekuwa ndio Ma-Sonko wa Bongo!

I have far stunning love episodes in comparison to Diamond, shida ni tu kwamba sipati coverage!
 
.wako okay with the love triangle so sioni issue because hawashurutishwa. sidhani kama wanaumia because kila kitu kiko wazi. its a strange concept for 'old fashioned' people lakini ndio vijana wa leo walivyo
 
Last edited by a moderator:
waoh,.............umenisusa halafu umeadimika nakuonaga tu kule kwenye jukwaa la kikubwa

Sio hvo laazizi,
na wala sijakususa.
Si unajua kule nako nina majukumu mengine!
Nipo mpendwa.
 
.wako okay with the love triangle so sioni issue because hawashurutishwa. sidhani kama wanaumia because kila kitu kiko wazi. its a strange concept for 'old fashioned' people lakini ndio vijana wa leo walivyo


ni kweli bhana manake hawalazimishwi kuwa date
 
Lakini Diamond anadate watoto wazuri acheni kabisa....................... cheki hapa na Wema


halafu mcheki Penny hapa
 
Hiyo ndo 'Movie' yenyewe na 'sterling' ndo hao hao labda kama unamsubiri staa mwingine na ushaambiwa kitu 'temptation' bado tu hujaelewa? ushaelewa ama nikuelewesheje mkuu?
 
Diamond alienda HKG kusambaza sembe...
muuza sembe!!
 
hao wapu...mbavu wasiwapotezee muda kuwajadili.

mnavyoweka attention kwao ndipo furaha yao ilipo.
 
Si wema anajifananishaga na rihana halafu ndomo ndio chrisbrown,eti anasema anafanisha mapenz yak na diamond kama rihana na chrisbrown,apo tu nikaamin dada yetu uzi umekatik kichwani

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

Kunashida sana hawa wadogo zetu, cjui ni pepo au nini, yaani hadi kinyaa!
 

There is someone who will come and tell all we say here are the illusions and hallucinations.... Diamond and Wema what we see is movie making called TEMPTATION.... Ha ha haaa!! There is nothing sound like movie there but am sure heaven on desert will come and tell us it's just a movie, upo hapo lara 1 na gfsonwin?
 
Last edited by a moderator:

Bit.ch recognizes bit.ch ....
 
sio hvo laazizi,
na wala sijakususa.
Si unajua kule nako nina majukumu mengine!
Nipo mpendwa.

aisee nimeomba admision kule kwa mod ila cjapata majibu. Hebu nipm vigezo vya huko ukubwani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…