Kwa habari hii (Diamond & Wema) napata picha kwamba Vijana wengi bado hawajajitambua...

Watakuelewa basi!!!
 
Mi naona wanampotezea tu direction Penny,maana diamond na wema wanafanana kitabia,halafu main aim yao kupata headlines za udaku ili wasishuke kisanaa.Penny aliingia pabaya

Akome kiherehere chake chakutaka hela asizozifanyia kazi....itamcost sana huyu binti
 
U wish I was eh!...sorry,,,I was not insulting you,I was just tryn to describe you...

Hahahaaaaaaaa! No need to appologise! Offense taken NONE! My curiosity just got better of me, I WAS JUST ASKING A CURIOUS QUESTION! WHY ALL THE EXPLANATIONS! YES OR NO COULD HAVE DONE IT! OR SHOULD I BE CURIOUS ON YOUR INVOLVEMENT IN MY CURIOUS QUESTION? Mmmmmmmmmmmmmmh! Somethin is surely FISHY here!

I dont wish you were anything, i just prefere you remain what you are now! NOTHING!!!!!!!!
 
Diamond bwana ajakoma tuu..nlshamwona kwa macho yangu Wema na Julio kocha wa Simba ya sasa pale Tanga beach resort na ilkua week tu baada ya diamond kumvisha pete..ila labda kabadilika...asituimbie tu kua katendwa tena sijui
 
mmh hivyo diamond angekuwa mpiga debe wangemn'gang'ania hivyo?wadada bwana wanajidhalilisha tu.miaka 10 baadae watajutia waliyoyafanya.kwa sasa bado wazuri wanajiona wana soko,haipendezi basi tu.
 
Hamjui,mkijuacho behind the scene..
nawachora tu hapa mnavyojadili vitu msivyo na uhakika navyo.
mnahis his tu.

Sisi ndio tunakuchora wewe hapa maana hata huko China wanakopigana boro wewe haupo umekaria upashkuna tu hapa na nina uhakika Wema na Penny wakiwa kwenye Period wewe nfio substute wao wa kuinamishwa.
 
Mimi nacho weza kusema hapa ni kwamba kunamtu ukidu naye miaka nenda rudi hafutiki kwenye kumbu kumbu kwa namna hiyo hata kama ni mwenye tabia za aje bado utamhitaji tu pindi kunako nafasi!!!!!!!!!!!!1 so siwashangai
Kitu cha pili tabia zao hazina tofauti na binadamu wengine tena wengi tu hasa vijana ni kwa kuwa mambo yao yanafuatiliwa na kujulikana tu! kuna watu wengi tu wana wapenzi wengi na wanawahonga nyumba, magari na kusafiri nao zaidi ya huyo Diamond na wema wala msiwashangae kwa hilo washangaeni kuruhusu kuanika uhusiano wao kihivyo!
Mimi nachoamini naona Wema hataki kukubali kuchuja anajitahidi kutumia kila njia abakie kwenye vichwa vya watu na aonekane ili soko lake lisishuke maana wapo waliokubali kirahisi soko lilishuka wakawa kwenye level hata za kununulika kwa chakula na pombe!
Wema anataka ku- maintain status yake na nampongeza maana toka 2006-sasa ananunulika kwa mamilioni si haba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…