Kwa hali hii Lissu kweli ana msimamo?

Kwa hali hii Lissu kweli ana msimamo?

Mbowe alifanya maridhiano, ruzuku inapatikana na chama kikaendelea kujitangaza. Lakini Lissu na watu wake wanamuita msaliti na mnafiki.

Leo humu Jamiiforums kunapita thread ya kumpongeza Lissu kwa mara ya kwanza ruzuku ya chama imepita kwenye akaunti ya chama. Mimi nilitegemea, kwa kuwa Lissu hayatambui yale maridhiano ya Mbowe yaliyozaa ruzuku, basi aikatae.

Kwa kuwa Lissu hawatambui Covid-19, ambayo ndiyo sababu ya ruzuku, ilibidi iwe haramu kwenye akaunti ya CHADEMA ya Lissu.

Kwa kuwa Lissu ule uchaguzi uliozaa hiyo ruzuku hautambui, sasa iweje aikubali ruzuku hali ya kuwa uchaguzi wala maridhiano havitambui?

Kwa hali hii, kweli Lissu ana msimamo?
Ruzuku kwa vyama vya Siasa nchini Tanzania hazitokani na maridhiano bali zinatokana na wingi wa Kura katika Uchaguzi Mkuu wa nchi.
 
sasa ruzuku aliyochukua Mbowe na maridhiano aliyoingia vilisaidia vipi CHADEMA isiibiwe uchaguzi wa 2024?. Je hayo maridhiano yamesaidia vipi kupatikana kwa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi?
 
Naendelea kukupiga spana we bichwa box ruzuku haitokani na maridhiano bali idadi ya kura alizopata mgombea urais wa chadema ambaye ni tundu lisu, tulia kijana utaloweshwa.
Sass mbona hapo mwanzo hio ruzuku ilikua haaingii? Au kwa sababu lissu alikua Belgium?
 
Back
Top Bottom