Kwa Hali Hii Makange Lazima Yagande Makete Sio Kwa Baridi Hil

Kwa Hali Hii Makange Lazima Yagande Makete Sio Kwa Baridi Hil

Niko Njombe mda huu jamani acheni huu mkoa unabaridi hatari

Balaa lingine ni kwamba mkoa una mdudu

sasa sijui itakuaje nani anisaidie ili ifike hata kesho niende ninapoenda!

Ndo maana watu wa huku wanakufa na majiko ndani acheni tu ni balaa
Ndom huzijui mkuu?
 
Nitakua Makete tarehe 16 June 2022. Mbona mnanikatisha tamaa ndugu zangu? Natakiwa kufika Kitulo- Makete kwa siku 14.....nibebe "blanket"?
Mkuu uliache blanketi Tena? USILIACHE,na sio blanketi tu unatakiwa uwe na koti zito soksi na mzura, pia kama ww ni malaini laini sana beba na gloves kabisa.

Mimi ni mwenyeji wa matamba na mapangala jirani na hifadhi ya kitulo karibu Sana ulaya ndogo.

Pia Nawashauri hata wale wanaopataga nafasi za kwenda nchi za ulaya kwa Mara ya kwanza wawe wakizulu haya maeneo yetu ya huku makete kwanza ili wajue hali ya hewa watakayoenda kukutana nayo huko ughaibuni....[emoji23][emoji23]
 
Tatizo la njombe jamaa kuna mdudu kama wote
Huku gridi ya taifa ipo ya kutosha kuunganishwa ni kugusa tu, huku ukitokea msiba wa mtu aliyeingiliwa na yule mdudu majonzi huwa ni mengi mno kwani hata waliodhani kuwa ni wazima wanaweza jijua afya zao baada ya chain ya mahusiano ya marehemu kuwekwa wazi na zile stori stori za msibani....unaweza jikuta umeunganishwa kupitia mnyororo wa watu wengine ambao kutokea kwa marehemu. Kwahiyo na ww unaweza jikuta ukiangua kilio kwa uchungu msibani Tena katikati ya kundi la watu ikiwa hata huna undugu Wala ukaribu wowote na marehemu huku waombolezaji wakijua una uchungu sana na marehemu kumbe ww uko na maumivu yako mengine kabisa.
 
Huku gridi ya taifa ipo ya kutosha kuunganishwa ni kugusa tu, huku ukitokea msiba wa mtu aliyeingiliwa na yule mdudu majonzi huwa ni mengi mno kwani hata waliodhani kuwa ni wazima wanaweza jijua afya zao baada ya chain ya mahusiano ya marehemu kuwekwa wazi na zile stori stori za msibani....unaweza jikuta umeunganishwa kupitia mnyororo wa watu wengine ambao kutokea kwa marehemu. Kwahiyo na ww unaweza jikuta ukiangua kilio kwa uchungu msibani Tena katikati ya watu ikiwa hata huna undugu Wala ukaribu wowote na marehemu huku waombolezaji wakijua uko na uchungu na marehemu kumbe ww uko na maumivu yako.
Umetisha mkuu....ngoja nihamie huko kwa ndugu zangu wa hiv+
 
IMG_0465.png


Leo Kazi ipo Mzigo Umeenda Mpaka 6 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hii hali ya hewa ya dar ya Leo muda huu inanifurahisha mnoo
 
Back
Top Bottom