Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Wewe NATO unaijua unaisikia?- Ikiingiza mtiti hapo Ukraine, hakuna kifaru wala baisketi ya Mrusi itakayokatiza katika barabara yoyote ya Ukraine.Vita sio 'kidali poo'...kuna kusukuma na kusukumwa pia(Vuta nikuvute).
Russia kuachia hiyo miji haina maana ya moja kwa moja kwamba ameshindwa. Kuna kuiachia kimkakati.
Btw, kumbuka mrusi anapigana na NATO sio Ukraine/Marekani pekee.
Yanayoendelea huko Ukraine na Russia nilifikiri ni mihemko na ujuaji mwingi tu wa wabongo.......kumbe ni kweli mzee mzima putin anakutana na wakati mgumu;
- vyombo vyote ninavyoangalia sasa, hata vile visivyo rafiki wa marekani, vinatangaza tu sasa kuyumba kwa urusi.
-Nikikumbuka jinsi dunia 'yetu sisi wengine' ilivyokuwa inamuogopa putin hadi akawa anaitwa 'the most powerful person in the world', nachoka kabisa.
-Nikifikiria jinsi 'babu' Joe Biden alivyokuwa anaongea huku anasinzia kuhusu nini wanaenda kuifanyia Russia, nilikuwa nacheka tu kipindi kile kwa kudhani kuwa hawa marekani wameishiwa. Leo yanatimia yaleyale aliyoyaongea 'the sleepy' Joe.
-Nikifikiria jinsi nchi za ulaya zilivyoamrishwa na marekani kukata mahusiano haraka na urusi nilishangaa sana kwanini zote zinafuata tu hata zile zinazoathirika moja kwa moja kwenye uchumi wake; kumbe walijua aisee nini kingewapata kama wangeenda against. Aisee tumwache tu mmarekani aitwe mmarekani!!
Nikiangalia yaliyomkuta macho madogo mchina, ya kupelekewa vifaa vya kijeshi barazani kwake huku akiwa anafokafoka tu asijue la kufanya, nimechoka. Ikumbukwe kuwa, kama ilivyo kwa mrusi, mchina nae alikuwa anatukuzwa mno humu. Lakini kumbukumbu zangu kama ziko sawa, nakumbuka mwaka fulani kama sio 2001 basi 2002 marekani hii iliwahi kuiingia ndege yake ya kijeshi huko anga la China. China akatuma ndege na yeye kwenda kuifukuzia, kilichotokea ziligongana zile ndege na ya China kuanguka huku askari wake kadhaa wakifariki huku ile ya marekani ikipata hitilafu na wakaishia kukamatwa. Mgogoro ulikuwa mkubwa wa kutaka kuachiwa hao askari lakini mwishowe mchina aliufyata na kuwaachia hao makomandoo. Walipokelewa kwa sherehe kubwa sana na Bush. Miaka 20 baadae leo, nilijua mchina ameshajidhatiti vya kutosha kuweza kumkabili mmarekani kumbe wapi!!! Tumwache tu mmarekani aitwe mmarekani!
Kwa hali hii, na kwakuwa huyu mtemi anahusudu na kupambania ndoa za jinsia moja; wadau jiandaeni tu kuolewa!!
PorojoUjue kuna Aliens wako Ukraine, siri yako nakupa usimwambie mtu, kuna invisible aliens kibao Ukraine wanawapiga Russia.. Ila Ukraine wenyewe hawawaoni, hao invisible Aliens wanatoka kule Area 51, Groom Lake in southern Nevada, USA, hao ndio wanawamaliza Warusi, ila msiseme nimewaambia. US mchawi sana aisee, invisible aliens ndio uchawi wao na wana piga balaa, speed hakuna kiumbe chochote kinakuta na kinapotelea hewani na hakionekani..! Hii sio conspiracy theory..!!
Na hata hao Nato pia wanajua mrusi hajaweka mziki wote hapo........kila mtu anamvizia mwenzieWewe NATO unaijua unaisikia?- Ikiingiza mtiti hapo Ukraine, hakuna kifaru wala baisketi ya Mrusi itakayokatiza katika barabara yoyote ya Ukraine.
Unaijua F-35 wewe?, Unazijua Tomahawks cruise missiles wewe?, Unazijua Bunker buster?-Hakijatumika chochote katika hizo lakini Urusi ulimi nje!
Sasa hivi Urusi anapigana na Ukraine inayosaidiwa dilaha na nchi za NATO, Urusi haipigani na NATO, mziki wa NATO si wa kitoto
Mvamizi anapata tabu Sana haamini macho yake.Hii mbinu inaweza ikafanikiwa kwa kiasi kikubwa kwasababu najua hata mrusi mwenyewe aamini hii vita ingeweza kuchukua zaidi ya miezi 6 sasa.alafu wenzake shughuli zao zinaendelea kama kawaida.Sasa hivi kabakia kutishia tishia mambo ya gas bila kujua ndo anafilisika ivyo.
kama hawajamega eneo la urusi, bado sana. usiwashangilia kwa kuwa ijapokuwa wanampiga mrusi lakini wanaharibu miundo mbinu ya Ukraine. Siku wakivuka mpaka wakaingia Urusi, hapo ndipo tutaweza kumpima mrusiYanayoendelea huko Ukraine na Russia nilifikiri ni mihemko na ujuaji mwingi tu wa wabongo.......kumbe ni kweli mzee mzima putin anakutana na wakati mgumu;
- vyombo vyote ninavyoangalia sasa, hata vile visivyo rafiki wa marekani, vinatangaza tu sasa kuyumba kwa urusi.
-Nikikumbuka jinsi dunia 'yetu sisi wengine' ilivyokuwa inamuogopa putin hadi akawa anaitwa 'the most powerful person in the world', nachoka kabisa.
-Nikifikiria jinsi 'babu' Joe Biden alivyokuwa anaongea huku anasinzia kuhusu nini wanaenda kuifanyia Russia, nilikuwa nacheka tu kipindi kile kwa kudhani kuwa hawa marekani wameishiwa. Leo yanatimia yaleyale aliyoyaongea 'the sleepy' Joe.
-Nikifikiria jinsi nchi za ulaya zilivyoamrishwa na marekani kukata mahusiano haraka na urusi nilishangaa sana kwanini zote zinafuata tu hata zile zinazoathirika moja kwa moja kwenye uchumi wake; kumbe walijua aisee nini kingewapata kama wangeenda against. Aisee tumwache tu mmarekani aitwe mmarekani!!
Nikiangalia yaliyomkuta macho madogo mchina, ya kupelekewa vifaa vya kijeshi barazani kwake huku akiwa anafokafoka tu asijue la kufanya, nimechoka. Ikumbukwe kuwa, kama ilivyo kwa mrusi, mchina nae alikuwa anatukuzwa mno humu. Lakini kumbukumbu zangu kama ziko sawa, nakumbuka mwaka fulani kama sio 2001 basi 2002 marekani hii iliwahi kuiingia ndege yake ya kijeshi huko anga la China. China akatuma ndege na yeye kwenda kuifukuzia, kilichotokea ziligongana zile ndege na ya China kuanguka huku askari wake kadhaa wakifariki huku ile ya marekani ikipata hitilafu na wakaishia kukamatwa. Mgogoro ulikuwa mkubwa wa kutaka kuachiwa hao askari lakini mwishowe mchina aliufyata na kuwaachia hao makomandoo. Walipokelewa kwa sherehe kubwa sana na Bush. Miaka 20 baadae leo, nilijua mchina ameshajidhatiti vya kutosha kuweza kumkabili mmarekani kumbe wapi!!! Tumwache tu mmarekani aitwe mmarekani!
Kwa hali hii, na kwakuwa huyu mtemi anahusudu na kupambania ndoa za jinsia moja; wadau jiandaeni tu kuolewa!!
Na mrusi bado hajatuma jeshi kamili zaidi ya hio kampuni ya wagner inayopeleka wafungwa huko kupigana na wale jamaa wa Chechnya
Yanayoendelea huko Ukraine na Russia nilifikiri ni mihemko na ujuaji mwingi tu wa wabongo.......kumbe ni kweli mzee mzima putin anakutana na wakati mgumu;
- vyombo vyote ninavyoangalia sasa, hata vile visivyo rafiki wa marekani, vinatangaza tu sasa kuyumba kwa urusi.
-Nikikumbuka jinsi dunia 'yetu sisi wengine' ilivyokuwa inamuogopa putin hadi akawa anaitwa 'the most powerful person in the world', nachoka kabisa.
-Nikifikiria jinsi 'babu' Joe Biden alivyokuwa anaongea huku anasinzia kuhusu nini wanaenda kuifanyia Russia, nilikuwa nacheka tu kipindi kile kwa kudhani kuwa hawa marekani wameishiwa. Leo yanatimia yaleyale aliyoyaongea 'the sleepy' Joe.
-Nikifikiria jinsi nchi za ulaya zilivyoamrishwa na marekani kukata mahusiano haraka na urusi nilishangaa sana kwanini zote zinafuata tu hata zile zinazoathirika moja kwa moja kwenye uchumi wake; kumbe walijua aisee nini kingewapata kama wangeenda against. Aisee tumwache tu mmarekani aitwe mmarekani!!
Nikiangalia yaliyomkuta macho madogo mchina, ya kupelekewa vifaa vya kijeshi barazani kwake huku akiwa anafokafoka tu asijue la kufanya, nimechoka. Ikumbukwe kuwa, kama ilivyo kwa mrusi, mchina nae alikuwa anatukuzwa mno humu. Lakini kumbukumbu zangu kama ziko sawa, nakumbuka mwaka fulani kama sio 2001 basi 2002 marekani hii iliwahi kuiingia ndege yake ya kijeshi huko anga la China. China akatuma ndege na yeye kwenda kuifukuzia, kilichotokea ziligongana zile ndege na ya China kuanguka huku askari wake kadhaa wakifariki huku ile ya marekani ikipata hitilafu na wakaishia kukamatwa. Mgogoro ulikuwa mkubwa wa kutaka kuachiwa hao askari lakini mwishowe mchina aliufyata na kuwaachia hao makomandoo. Walipokelewa kwa sherehe kubwa sana na Bush. Miaka 20 baadae leo, nilijua mchina ameshajidhatiti vya kutosha kuweza kumkabili mmarekani kumbe wapi!!! Tumwache tu mmarekani aitwe mmarekani!
Kwa hali hii, na kwakuwa huyu mtemi anahusudu na kupambania ndoa za jinsia moja; wadau jiandaeni tu kuolewa!!
Mkuu punguza porojo Putin anachakazwa na wanadamu kabisa tena ukraine sio NATO. Siku wakiingia NATO Putin atatafuta pa kukimbilia.Ujue kuna Aliens wako Ukraine, siri yako nakupa usimwambie mtu, kuna invisible aliens kibao Ukraine wanawapiga Russia.. Ila Ukraine wenyewe hawawaoni, hao invisible Aliens wanatoka kule Area 51, Groom Lake in southern Nevada, USA, hao ndio wanawamaliza Warusi, ila msiseme nimewaambia. US mchawi sana aisee, invisible aliens ndio uchawi wao na wana piga balaa, speed hakuna kiumbe chochote kinakuta na kinapotelea hewani na hakionekani..! Hii sio conspiracy theory..!!
Wewe NATO unaijua unaisikia?- Ikiingiza mtiti hapo Ukraine, hakuna kifaru wala baisketi ya Mrusi itakayokatiza katika barabara yoyote ya Ukraine.
Unaijua F-35 wewe?, Unazijua Tomahawks cruise missiles wewe?, Unazijua Bunker buster?-Hakijatumika chochote katika hizo lakini Urusi ulimi nje!
Sasa hivi Urusi anapigana na Ukraine inayosaidiwa dilaha na nchi za NATO, Urusi haipigani na NATO, mziki wa NATO si wa kitoto
Marekani asingekua anamuwekea vikwazo vya biashara maana angepoteza tu soko na bidhaa fekiMchina hana lolote vitu vyake vyote feki ysle mabomu ya nuclear ni fake sio ya kweli.
Sawa Biden wa Buza...nimekupata 'loud and clear'. Over..😅Wewe NATO unaijua unaisikia?- Ikiingiza mtiti hapo Ukraine, hakuna kifaru wala baisketi ya Mrusi itakayokatiza katika barabara yoyote ya Ukraine.
Unaijua F-35 wewe?, Unazijua Tomahawks cruise missiles wewe?, Unazijua Bunker buster?-Hakijatumika chochote katika hizo lakini Urusi ulimi nje!
Sasa hivi Urusi anapigana na Ukraine inayosaidiwa dilaha na nchi za NATO, Urusi haipigani na NATO, mziki wa NATO si wa kitoto
Ukijisikia kuolewa olewa tu
Duniani hakuna nchi ya kuipiga Urusi ata moja au ziki ungana kwa sababu ya siraha ya nyukria ingekuwa kama Libya tungeongea mengine na hakuna nchi ya kuipiga Marekani China Ufaransa India Israel Uingereza Germany kwa sababu tu ya hizo siraha na hakuna teknolojia ya kuzuia Nyukria duniani hiyo ndio jeuri ya Warusi then mrusi atabilikiWewe NATO unaijua unaisikia?- Ikiingiza mtiti hapo Ukraine, hakuna kifaru wala baisketi ya Mrusi itakayokatiza katika barabara yoyote ya Ukraine.
Unaijua F-35 wewe?, Unazijua Tomahawks cruise missiles wewe?, Unazijua Bunker buster?-Hakijatumika chochote katika hizo lakini Urusi ulimi nje!
Sasa hivi Urusi anapigana na Ukraine inayosaidiwa dilaha na nchi za NATO, Urusi haipigani na NATO, mziki wa NATO si wa kitoto
Nimecheka eti umesoma waraka wa Siri.Hii nchi watu wake waingizwe kwenye maajabu ya Dunia.Niliwahi sema huko nyuma hasa baada ya kusoma waraka wa siri, wa NATU,Kwa kuwa mrusi ndio aliyeanza watahakikisha wanapigana vita vya muda mrefu wakiamini watamchosha babu Putin na malengo yanakwenda kutimia mwishowe atachoka tu na kukata pumzi hilo litakapotimia "tutaivunja vunja urusi.
Kama gadafi aliruka nao muda mrefu tuu hata putini anaweza kuwavuruga kwanza Ana ardhi kubwa yeye anachofanya ni kuachia manyuklia iwe Vita ya hayo madude wafe woteWewe NATO unaijua unaisikia?- Ikiingiza mtiti hapo Ukraine, hakuna kifaru wala baisketi ya Mrusi itakayokatiza katika barabara yoyote ya Ukraine.
Unaijua F-35 wewe?, Unazijua Tomahawks cruise missiles wewe?, Unazijua Bunker buster?-Hakijatumika chochote katika hizo lakini Urusi ulimi nje!
Sasa hivi Urusi anapigana na Ukraine inayosaidiwa dilaha na nchi za NATO, Urusi haipigani na NATO, mziki wa NATO si wa kitoto