SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Polisi kwenyewe majiko hamna Asije akaja hukuUnakula chakula hadi cha mwenzako unataka yeye akale polisi?
Na ugali wa buku jeroephen_ anafuta kilo mbili za nguruweππ
Ndio maana anakua kama kiroba ππNa ugali wa buku jero
Cha saruji kilivyo kifupiNdio maana anakua kama kiroba ππ
Sasa si mpenzi wako sasaHii ni habari na hoja mchanganyiko mbona umeiweka kwenye jukwaa la mapenzi?
Eti kuna wadada mnakula mnoπ€Mbona huu uandishi na I'd yako ni parallel.π₯π₯ Nimeshtuka mpaka sielewi nichangie nini π₯ a you him? A u he? Him you? His your?
Sawa bhanaNdio maana anakua kama kiroba ππ
Kaokota story saloonDa mau bana πΉπΉ
Nope wa buku3Na ugali wa buku jero