Uchaguzi 2020 Kwa hali hii Watanzania wacha tuwachague wapinzani inatosha

Uchaguzi 2020 Kwa hali hii Watanzania wacha tuwachague wapinzani inatosha

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Watanzania tumeendelea kuishi maisha ya kutojua kesho yetu kwa zaidi ya miaka 59 ya uhuru.

Barabara mbovu sana hasa huku kwetu vijijini,maji taabu sana huku vijijini,dawa hakuna, shule ndiyo balaa kabisa ikinyesha mvua watoto wanajuta kwenda shuleni.

Alafu leo tupoteze muda wetu kwenda kuichagua ccm?
Hapana wacha tuichague cdm ili nao tuone uongozi wao na kama nao watatufanyia unyama kama wa ccm nao tunawakataa.
Screenshot_20201011-145557.jpg
FB_IMG_1547797098473.jpg
FB_IMG_1550766064153.jpg
 
Watanzania wanafahamu kuwa wapinzani ni wachimia tumbo na wameshawakataa kitambo sana
 
Hasa hasa hii ya korosho zetu kuozea na kuotea kwenye maghala jiwe siwezi kumsamehe.
Hakuna cha msamaha maana wakulima wamekuwa ni watu wa kilio kila baada ya msimu wa mavuno unapo anza.
 
Ccm walijisahau sana. Korosho zimekaa kwenye magunia mpaka zimeota. Mimi nafikiri magufulu hakujipanga kuomba kura alifikiri atasalia madarakani bila kupigiwa kura/kufanyika uchaguzi. Kwa mtu yoyote mwenye akili timamu anayefahamu kuna kesho yakuomba kura, asingefanya ukorofi wa magufulu
 
Ccm walijisahau sana. Korosho zimekaa kwenye magunia mpaka zimeota. Mimi nafikiri magufulu hakujipanga kuomba kura alifikiri atasalia madarakani bila kupigiwa kura/kufanyika uchaguzi. Kwa mtu yoyote mwenye akili timamu anayefahamu kuna kesho yakuomba kura, asingefanya ukorofi wa magufulu
Inawezekana washauri wake wanamdanganya sana ili mradi mikono yao iende kinywani
 
Mnaokoteza okoteza vipicha vya mtandaoni ! Acheni propaganda za kipumbavu !. Tuambie hapo ni wapi Tanzania?. Mmeishiwa hoja mnaanza kuweweseka !. Tafuteni hoja za maana za kuitoa ccm madarakani sio viroja kama hivi!.
 
Mnaokoteza okoteza vipicha vya mtandaoni ! Acheni propaganda za kipumbavu !. Tuambie hapo ni wapi Tanzania?. Mmeishiwa hoja mnaanza kuweweseka !. Tafuteni hoja za maana za kuitoa ccm madarakani sio viroja kama hivi!.
Kudadadeeki yaani hata korosho hujui ni za kutoka wapi? Kweli mmechanganyikiwa
 
Hatu
Watanzania tumeendelea kuishi maisha ya kutojua kesho yetu kwa zaidi ya miaka 59 ya uhuru.

Barabara mbovu sana hasa huku kwetu vijijini,maji taabu sana huku vijijini,dawa hakuna, shule ndiyo balaa kabisa ikinyesha mvua watoto wanajuta kwenda shuleni.

Alafu leo tupoteze muda wetu kwenda kuichagua ccm?
Hapana wacha tuichague cdm ili nao tuone uongozi wao na kama nao watatufanyia unyama kama wa ccm nao tunawakataa.View attachment 1596855View attachment 1596856View attachment 1596860
Hapendwi mtu ni vision na implementation. Chakusikitisha huku bara wakati chama kikongwe tulichotegemea kufa kifo cha mende miaka ya 2010 hadi 2015,kimetoka ICU na sasa kimegeuka front runner wa mageuzi yaliokuwa yanahubiriwa na Chadema miaka hiyo
Opposition wamekumbwa na kirusi kibaya,kuna walakini wa kutoaminiana ,mifarakano ya mitazamo kati ya wanaharakati wa siasa kali ya kizazi kipya na wale wanaharakati tuliowazoea.
Baada ya Uchaguzi kuna uwezekano wa kuanzishwa vyama vipya vya vijana wa maendeleo .
 
Hatu

Hapendwi mtu ni vision na implementation. Chakusikitisha huku bara wakati chama kikongwe tulichotegemea kufa kifo cha mende miaka ya 2010 hadi 2015,kimetoka ICU na sasa kimegeuka front runner wa mageuzi yaliokuwa yanahubiriwa na Chadema miaka hiyo
Opposition wamekumbwa na kirusi kibaya,kuna walakini wa kutoaminiana ,mifarakano ya mitazamo kati ya wanaharakati wa siasa kali ya kizazi kipya na wale wanaharakati tuliowazoea.
Baada ya Uchaguzi kuna uwezekano wa kuanzishwa vyama vipya vya vijana wa maendeleo .
Hizo ni ngonjera alizokuwa zinaongozwa kuimbwa na Wasira miaka ya 2011,sasa hivi zimesha chuja
 
Wapinzani wapi unaowasema?. Hawa kina Mbowe na genge lake?. Unadhani kuongoza nchi ni sawa na kwenda bafuni kuoga ee, mtakula wa chuya. Kwa taarifa yako tu, hakuna mtu kwenye chama cha Mbowe anaweza kuaminiwa na watanzania hakuna hata mmoja.Wacha tuchague chama chenye weledi wa uongozi, chama kilichofupigania tusiwekwe lockdown, chama kilichotupaisha mpaka uchumi wa kati.Nakuhakikishia watanzania mil 29,watakwenda kutoa dozi nzito na ndio mwisho wa genge lanu na vibaraka wenu.
 
Back
Top Bottom