Uchaguzi 2020 Kwa hali hii Watanzania wacha tuwachague wapinzani inatosha

Uchaguzi 2020 Kwa hali hii Watanzania wacha tuwachague wapinzani inatosha

Tumrudishe Kikwete tulikuwa tunapiga hela na maisha yalikuwa mazuri, tumchague mtu ambaye tuna hakika kitu gani kitatokea kwa kuwa alikwisha kutuonyesha.
Lissu akishinda atamfanya Mzee Kikwete awe mshauri wake namba moja
Mzee Kikwete ana kipaji adimu sana
 
Uchumi wa kati , serikali ya viwanda my foot , CCM wapo kwenye goleni katika moja ya viwanda vya awamu ya tano .
IMG_20201010_000320.jpg
 
Mnaokoteza okoteza vipicha vya mtandaoni ! Acheni propaganda za kipumbavu !. Tuambie hapo ni wapi Tanzania?. Mmeishiwa hoja mnaanza kuweweseka !. Tafuteni hoja za maana za kuitoa ccm madarakani sio viroja kama hivi!.
Ccm mwaka huu mjiandae kuungana na wenzenu kina KANU na UPC
 
Watanzania wanafahamu kuwa wapinzani ni wachimia tumbo na wameshawakataa kitambo sana
Wapinzani ni watanzania kama we we,wana haki sawa na wewe,ila nyie ccm mnawaona wapinzani sio watanzania.
Hii nchi iko chini ya mfumo Wa vyama vingi.mataga mkubwa we we.
 
Mnaokoteza okoteza vipicha vya mtandaoni ! Acheni propaganda za kipumbavu !. Tuambie hapo ni wapi Tanzania?. Mmeishiwa hoja mnaanza kuweweseka !. Tafuteni hoja za maana za kuitoa ccm madarakani sio viroja kama hivi!.
Kitambulisho cha machinga hakina jina hakina picha yako, utaombeaje mkopo? Stukaaaa
 
Back
Top Bottom