Kwa hali hii ya kugombania madaraka, muda si mrefu Msumbiji inakuwa kama Somalia

Kwa hali hii ya kugombania madaraka, muda si mrefu Msumbiji inakuwa kama Somalia

chala41

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2024
Posts
300
Reaction score
606
Leo napitia habari za kimataifa naona Rais alieshindwa mwenye box la kura wa chama cha Podemos anaye itwa VENANCIO MONDLANE amerudi kutoka uhamishoni alipokuwa akihutubia wananchi kwa njia ya YouTube na wananchi wana fuata kila alichokuwa akisema.

Huyu jamaa sijui nani yupo nyuma yake anajiamini kupitiliza nadhani hii Dhana yake chadema wangeifutilia vya kutosha.

Jamaa hana wasiwasi na kifo kutoka chama tawala cha FRELIMO. Jamaa anawafuasi loyal sana hawajawai kupinga anachosema.

Mozambique soon inaenda kuwa jangwa kwa njaa inayowakuta. Mafuta yamekuwa shida kupatikana raia wabakimbia nchi jirani. Wageni wengi wamepata hasara kwa vurugu zilizokuwa zinaendelea.

JAMAA ALIVYOKUWA CHENGA KAJIAPISHA MWENYEWE LEO NA AMESEMA IWAPO FRELIMO WATAMUAPISHA CHAPO TAR 15 MWEZI HUU BASI MOZAMBIQUE ITAKUWA NA MARAIS WAWILI

Mimi nilikuwa nadhani kwanini asikubali kushindwa ili nchi iwe salama

Ila wenyewe wanasema hawataki tu rais kutoka frelimo na wapo tayar kwa lolote. Tuwaombeee majirani zetu Mozambique a luta continua.

Lakin kwa nini frelimo (ccm) wasikubali kuwa wamechokwa ili upinzani ushike nchi kwani mpaka kila mwaka wale wao.? Maisha ni kupokezana kila mtu apate.

Yote kwa yote wanao pata madhara zaidi ni wananchi mana ndio wanakufa sana, hali mbaya mno. Waafrica bado tuna laana katika suala la ulaji.
 
Leo napitia habari za kimataifa naona rais alieshindwa mwenye box la kura wa chama cha podemos anaye itwa VENANCIO MONDLANE amerudi kutoka uhamishoni alipokuwa akihutubia wananchi kwa njia ya YouTube na wananchi wana fuata kila alichokuwa akisema

Huyu jamaa sijui nani yupo nyuma yake anajiamini kupitiliza nadhani hii Dhana yake chadema wangeifutilia vya kutosha.

Jamaa hana wasiwasi na kifo kutoka chama tawala cha FRELIMO

Jamaa anawafuasi loyal sana hawajawai kupinga anachosema

Mozambique soon inaenda kuwa jangwa kwa njaa inayowakuta

Mafuta yamekuwa shida kupatikana raia wabakimbia nchi jiran

Wageni wengi wamepata hasara kwa vurugu zilizokuwa zinaendelea

JAMAA ALIVYOKUWA CHENGA KAJIAPISHA MWENYEWE LEO NA AMESEMA IWAPO FRELIMO WATAMUAPISHA CHAPO TAR 15 MWEZI HUU BASI MOZAMBIQUE ITAKUWA NA MARAIS WAWILI

mimi nilikuwa nadhani kwann asikubali kushindwa ili nchi iwe salama ????

Ila wenyewe wanasema hawataki tu rais kutoka frelimo na wapo tayar kwa lolote.

Tuwaombeee majirani zetu Mozambique a luta continua.


Lakin kwa nn frelimo (ccm) wasikubali kuwa wamechokwa ili upinzani ushike nchi kwani mpaka kila mwaka wale wao.? Maisha ni kupokezana kila mtu apate.


Yote kwa yote wanao pata madhara zaidi ni wananchi mana ndio wanakufa sana .hali mbaya mno


Waafrica bado tuna laana katika suala la ulaji
Nimeipenda hii! Inauma sana, ningetegemea nchi ifaidike vipi
 
Watawala kutoka nchi za Afrika hususan nchi zilizopo kusini mwa jangwa la Sahara ndiyo wanafanya Afrika na watu wake waonekane kama Wanyama tu kwa sababu kwa sasa sifa mbaya zote za Afrika kama siyo duniani zipo huku kuanzia magonjwa,watawala madikteta,njaa,vita vya wenyewe kwa wenyewe, majanga ya asili,ving'ang'anizi wa madaraka vyote hivyo vipo huku.
Ingewezekana wazungu waiteketeze labda dunia inaweza kuwa salama kwa kuishi binadamu wanaojielewa.
 
Mozambique, panataka umafia, kuua kwa sumu yenye ugonjwa Tata, hao jamaa wa mondlane na timu yote, sometime haya hayakwepeki katika kuisimamisha nchi yao!
 
Leo napitia habari za kimataifa naona Rais alieshindwa mwenye box la kura wa chama cha Podemos anaye itwa VENANCIO MONDLANE amerudi kutoka uhamishoni alipokuwa akihutubia wananchi kwa njia ya YouTube na wananchi wana fuata kila alichokuwa akisema.

Huyu jamaa sijui nani yupo nyuma yake anajiamini kupitiliza nadhani hii Dhana yake chadema wangeifutilia vya kutosha.

Jamaa hana wasiwasi na kifo kutoka chama tawala cha FRELIMO. Jamaa anawafuasi loyal sana hawajawai kupinga anachosema.

Mozambique soon inaenda kuwa jangwa kwa njaa inayowakuta. Mafuta yamekuwa shida kupatikana raia wabakimbia nchi jirani. Wageni wengi wamepata hasara kwa vurugu zilizokuwa zinaendelea.

JAMAA ALIVYOKUWA CHENGA KAJIAPISHA MWENYEWE LEO NA AMESEMA IWAPO FRELIMO WATAMUAPISHA CHAPO TAR 15 MWEZI HUU BASI MOZAMBIQUE ITAKUWA NA MARAIS WAWILI

Mimi nilikuwa nadhani kwanini asikubali kushindwa ili nchi iwe salama

Ila wenyewe wanasema hawataki tu rais kutoka frelimo na wapo tayar kwa lolote. Tuwaombeee majirani zetu Mozambique a luta continua.

Lakin kwa nini frelimo (ccm) wasikubali kuwa wamechokwa ili upinzani ushike nchi kwani mpaka kila mwaka wale wao.? Maisha ni kupokezana kila mtu apate.

Yote kwa yote wanao pata madhara zaidi ni wananchi mana ndio wanakufa sana, hali mbaya mno. Waafrica bado tuna laana katika suala la ulaji.
Jeshi liko upande wa Serikali,haiwezi kubaki vibaraka kushika Nchi,watafyekwa Hadi waishe.

Veterans wapambanie Nchi harafu waje wajinga wajinga waliokulia Ikulu kushika Dola kizembe zembe tuu? Hakuna kitu kama hicho.

Haiwezekani Egypt,Tanzania, Zimbabwe ,Uganda,Rwanda na Mozambique pia.
 
Jeshi liko upande wa Serikali,haiwezi kubaki vibaraka kushika Nchi,watafyekwa Hadi waishe.

Veterans wapambanie Nchi harafu waje wajinga wajinga waliokulia Ikulu kushika Dola kizembe zembe tuu? Hakuna kitu kama hicho.

Haiwezekani Egypt,Tanzania, Zimbabwe ,Uganda,Rwanda na Mozambique pia.
Kila siku siyo Jumapili
 
Watanzania tunalakujifunza.Tuache uoga wa kudai haki tunazopikonywa na Hawa ccm.2025 tuitoe ccm Kwa nguvu kama wanavyofanya wanamsumbiji.
Haki gani unakosa wewe? Watanzania Haki wanazipata labda nyie Machadema mnaohangaika naadaraka na ndio maana hakuna Mtanzania atajitoa akili Kwa Ajili ya upuuzi wenu.
 
Natural resouces ( Oila nd gas) inawafitinisha! Kama Congo DRC!
Afrika rasilimali za asili ni laana!
 
Leo napitia habari za kimataifa naona Rais alieshindwa mwenye box la kura wa chama cha Podemos anaye itwa VENANCIO MONDLANE amerudi kutoka uhamishoni alipokuwa akihutubia wananchi kwa njia ya YouTube na wananchi wana fuata kila alichokuwa akisema.

Huyu jamaa sijui nani yupo nyuma yake anajiamini kupitiliza nadhani hii Dhana yake chadema wangeifutilia vya kutosha.

Jamaa hana wasiwasi na kifo kutoka chama tawala cha FRELIMO. Jamaa anawafuasi loyal sana hawajawai kupinga anachosema.

Mozambique soon inaenda kuwa jangwa kwa njaa inayowakuta. Mafuta yamekuwa shida kupatikana raia wabakimbia nchi jirani. Wageni wengi wamepata hasara kwa vurugu zilizokuwa zinaendelea.

JAMAA ALIVYOKUWA CHENGA KAJIAPISHA MWENYEWE LEO NA AMESEMA IWAPO FRELIMO WATAMUAPISHA CHAPO TAR 15 MWEZI HUU BASI MOZAMBIQUE ITAKUWA NA MARAIS WAWILI

Mimi nilikuwa nadhani kwanini asikubali kushindwa ili nchi iwe salama

Ila wenyewe wanasema hawataki tu rais kutoka frelimo na wapo tayar kwa lolote. Tuwaombeee majirani zetu Mozambique a luta continua.

Lakin kwa nini frelimo (ccm) wasikubali kuwa wamechokwa ili upinzani ushike nchi kwani mpaka kila mwaka wale wao.? Maisha ni kupokezana kila mtu apate.

Yote kwa yote wanao pata madhara zaidi ni wananchi mana ndio wanakufa sana, hali mbaya mno. Waafrica bado tuna laana katika suala la ulaji.
exactly...wacha wachapane..jshi lipo upande wa nani?
 
Nakumbuka wakati tunaimba changer

Frelimo,,,,, frelimooo,,,, frelimo,,frelimoooo viva ama tumozambiqueeeee

Hakika wajomba wamekiwasha frelimo qushney
 
Jeshi liko upande wa Serikali,haiwezi kubaki vibaraka kushika Nchi,watafyekwa Hadi waishe.

Veterans wapambanie Nchi harafu waje wajinga wajinga waliokulia Ikulu kushika Dola kizembe zembe tuu? Hakuna kitu kama hicho.

Haiwezekani Egypt,Tanzania, Zimbabwe ,Uganda,Rwanda na Mozambique pia.
Kama jeshi lipo upande wa serikali (nadhani uliposema serikali you meant Frelimo ) then uchaguzi ulikua wa nini? Unapotangaza uchaguzi tafsiri yake ni kwamba upo tayari kushinda na kushindwa pia; jeshi linaingiaje hapo? Hilo moja, hivi unafahamu Ureno inafaidi sana matunda ya Msumbiji kuliko wananchi? Kama jeshi linaunga mkono jambo hilo, maanake yake jeshi lao linaunga mkono nchi kuendelea kunyonywa, yaani kuigawa keki ya taifa kwa Ureno and may be one of the reason why wananchi wameikataa Frelimo? Kwa jeshi kuunga mkono hayo, maanake wanawadharau wapigania Uhuru kina Mondlane, Samola Machel nk?
 
Back
Top Bottom