Kwa hali hii ya kugombania madaraka, muda si mrefu Msumbiji inakuwa kama Somalia

Kwa hali hii ya kugombania madaraka, muda si mrefu Msumbiji inakuwa kama Somalia

Kama jeshi lipo upande wa serikali (nadhani uliposema serikali you meant Frelimo ) then uchaguzi ulikua wa nini? Unapotangaza uchaguzi tafsiri yake ni kwamba upo tayari kushinda na kushindwa pia; jeshi linaingiaje hapo? Hilo moja, hivi unafahamu Ureno inafaidi sana matunda ya Msumbiji kuliko wananchi? Kama jeshi linaunga mkono jambo hilo, maanake yake jeshi lao linaunga mkono nchi kuendelea kunyonywa, yaani kuigawa keki ya taifa kwa Ureno and may be one of the reason why wananchi wameikataa Frelimo? Kwa jeshi kuunga mkono hayo, maanake wanawadharau wapigania Uhuru kina Mondlane, Samola Machel nk?
Hata hilo jeshi nadhani kuna baadhi yao wanaona kama frelimo wanazingua tu. Alafu watu wa kule wameaumbwa kutiii mamlaka kwa wanaemtaka
 
Leo napitia habari za kimataifa naona Rais alieshindwa mwenye box la kura wa chama cha Podemos anaye itwa VENANCIO MONDLANE amerudi kutoka uhamishoni alipokuwa akihutubia wananchi kwa njia ya YouTube na wananchi wana fuata kila alichokuwa akisema.

Huyu jamaa sijui nani yupo nyuma yake anajiamini kupitiliza nadhani hii Dhana yake chadema wangeifutilia vya kutosha.

Jamaa hana wasiwasi na kifo kutoka chama tawala cha FRELIMO. Jamaa anawafuasi loyal sana hawajawai kupinga anachosema.

Mozambique soon inaenda kuwa jangwa kwa njaa inayowakuta. Mafuta yamekuwa shida kupatikana raia wabakimbia nchi jirani. Wageni wengi wamepata hasara kwa vurugu zilizokuwa zinaendelea.

JAMAA ALIVYOKUWA CHENGA KAJIAPISHA MWENYEWE LEO NA AMESEMA IWAPO FRELIMO WATAMUAPISHA CHAPO TAR 15 MWEZI HUU BASI MOZAMBIQUE ITAKUWA NA MARAIS WAWILI

Mimi nilikuwa nadhani kwanini asikubali kushindwa ili nchi iwe salama

Ila wenyewe wanasema hawataki tu rais kutoka frelimo na wapo tayar kwa lolote. Tuwaombeee majirani zetu Mozambique a luta continua.

Lakin kwa nini frelimo (ccm) wasikubali kuwa wamechokwa ili upinzani ushike nchi kwani mpaka kila mwaka wale wao.? Maisha ni kupokezana kila mtu apate.

Yote kwa yote wanao pata madhara zaidi ni wananchi mana ndio wanakufa sana, hali mbaya mno. Waafrica bado tuna laana katika suala la ulaji.
Bora angeendelea kukaa huko mafichoni kama kweli karudi basi ni suala la muda tu Kwa akili za viongozi wetu wa Africa zilivyo chenga watamuua tu
 
Watanzania tunalakujifunza.Tuache uoga wa kudai haki tunazopikonywa na Hawa ccm.2025 tuitoe ccm Kwa nguvu kama wanavyofanya wanamsumbiji.
Hao wenzako kupigana ndio asili yao, mreno katolewa kwa bunduki hapo maelfu ya watu walikufa acha wew uliepewa uhuru wenzko waliupigania,hvo hawaogopi kupigana.

Nchi yyte iliyopata uhuru kwa kupigana wanaheshimiana sn ukizngua wanakuzingua na ndio nchi zilizoendelea kwa hapa africa. Ona Angola,s, Afrika, Algeria,kenya, n.k
 
Jeshi liko upande wa Serikali,haiwezi kubaki vibaraka kushika Nchi,watafyekwa Hadi waishe.

Veterans wapambanie Nchi harafu waje wajinga wajinga waliokulia Ikulu kushika Dola kizembe zembe tuu? Hakuna kitu kama hicho.

Haiwezekani Egypt,Tanzania, Zimbabwe ,Uganda,Rwanda na Mozambique pia.
Ukisema hvo unakosea mbna tunaona nchi zingine vyama ambavyo ni pinzani vinachukua nchi kwa aman tu. Ona Amerika hata uingereza.

Tatzo sisi waafrika waroho wa madaraka na umaskini ndio unaotutesa zaidi,tumegeuza ofisi km mashamba ya kuchukua utajjr
 
Hao wenzako kupigana ndio asili yao, mreno katolewa kwa bunduki hapo maelfu ya watu walikufa acha wew uliepewa uhuru wenzko waliupigania,hvo hawaogopi kupigana.

Nchi yyte iliyopata uhuru kwa kupigana wanaheshimiana sn ukizngua wanakuzingua na ndio nchi zilizoendelea kwa hapa africa. Ona Angola,s, Afrika, Algeria,kenya, n.k
Nyerere alisababisha watanzania kuwa waoga.maana alipewa uhuru Kwa kuonewa huruma na siyo kuwalazimisha na kutumia nguvu dhidi ya wazungu.Inabidi tuwe majasiri ili kuuondoa huo uoga.
 
Yote tisa Mimi ninachotaka waturudishie KYONGA TRIANGLE (Rasi ya Kionga kusini mwa maingilio ya Mto Ruvuma upande wa kusini).
 
Nyie ndo mnaitwa keyboard warriors..mkiambiwa muandame mnaogopa utageuzwa Deus soka 🤣
 
kwani mpaka kila mwaka wale wao.? Maisha ni kupokezana kila mtu apate.
Upo sahihi sana mkuu. CCM ndio watakaokuja kuiingiza Tanzania katika machafuko makubwa sana wapuuzi wale.

Nchi ni zaidi ya Chama Cha Siasa..
 
Yote kwa yote wanao pata madhara zaidi ni wananchi mana ndio wanakufa sana, hali mbaya mno. Waafrica bado tuna laana katika suala la ulaji.
Wanasiasa wakubwa wa CCM na CHADEMA watakimbiza watoto wao nje ya nchi, kisha balaa litabaki kwetu sisi masikini walalahoi..
 
Huzijui serekali za Africa wew waulize Kenya wale waandamiz wa maandamano wako wap
 
Back
Top Bottom