Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu hawajua kwamba bahari za ukanda wa joto zinatema joto usiku.Kuna kitu inaitwa fukuto (humid climate) haina cha msongamano. Sasa kipindi hii fukuto liko juu sana mpaka 84%. Wote tunaisoma namba.
Kwa sasa siendi KG ila ukitembea hukosi vyumba. Kwa kero ya kivuko bado unapataka?
Wengi hawajui hilo 😃 wanadhani ishu ni msongamano. Humidity level kwa sasa iko juu sio poa plus na temperature inacheza 28-30°C. Ni kamzozo kwa kweli.Watu hawajua kwamba bahari za ukanda wa joto zinatema joto usiku.
Unajua we jamaa huwa unafurahisha sana 🤣🤣🤣 sijui huwa unawaza niniUnaweza kukuta mtoa mada kwenye cv yake ameandika anapenda kuogelea
piga mbizi.Hapa ndani kuna umati wa watu wanasubiri kuvuka na boti ndio moja na zile ndogo. Hivi kwanini hapa wasipewe tu wawekezaji, jamani Kigamboni tunateseka sana.
Mlaani Professor Tibsijuka,aliwatspeli kuwa kutakuwa city. Kumbe ni Kijiji Kiko mjiniHapa ndani kuna umati wa watu wanasubiri kuvuka na boti ndio moja na zile ndogo. Hivi kwanini hapa wasipewe tu wawekezaji, jamani Kigamboni tunateseka sana.
Napitia darajani tuKuna kitu inaitwa fukuto (humid climate) haina cha msongamano. Sasa kipindi hii fukuto liko juu sana mpaka 84%. Wote tunaisoma namba.
Kwa sasa siendi KG ila ukitembea hukosi vyumba. Kwa kero ya kivuko bado unapataka?
Nikishaambiwa kwamba huku kuna mradi wa serikali, wahi viwanja, nakuwa makini sana! Kigamboni watu walikimbilia huko kwa Fiksi za mama wa vijisenti. Bagamoyo watu wakaambiwa bandari inakuja ya kimataifa..watu wakanunua viwanja kama hawana akili nzuri. Lindi na Mtwara wakaambiwa kuna uchumi wa gesi, watu wakakimbilia huko kununua viwanja na kujenga mahoteli. Chato mzee mzima akaifungua, watu wakakimbilia kununua plots....mwisho wa siku, kote huko hiyo miradi ni vumbi! Hakuna la maana linaloendelea.Mlaani Professor Tibsijuka,aliwatspeli kuwa kutakuwa city. Kumbe ni Kijiji Kiko mjini
Karibu 😂Unajua we jamaa huwa unafurahisha sana 🤣🤣🤣 sijui huwa unawaza nini
Darajani nako kuna ungese wa malori kuzibiana njia!!mkuu ukiwa na haraka sana plus mishe ya muhimu ni bora ukazunguka darajani
Mkuu pole Ila kwa uzoefu mimi nimepanga nyumba nane tofauti hapo daslam nilichojifunzaHapa ndani kuna umati wa watu wanasubiri kuvuka na boti ndio moja na zile ndogo. Hivi kwanini hapa wasipewe tu wawekezaji, jamani Kigamboni tunateseka sana.
Hivi lile daraja la nyerere halifanyi kaziHapa ndani kuna umati wa watu wanasubiri kuvuka na boti ndio moja na zile ndogo. Hivi kwanini hapa wasipewe tu wawekezaji, jamani Kigamboni tunateseka sana.
Dar hamna joto nenda Pawaga, Iringa ukajioneeMizimbini, Mikwambe, Kisarawe 2.
Dar joto ni lilelile. Fukuto likiwa juu hakuna escape plan. Wote moto.
Afu yupo hivyo sikuzote 🤣Unajua we jamaa huwa unafurahisha sana 🤣🤣🤣 sijui huwa unawaza nini