Elections 2010 Kwa hali ilivyo Bungeni, CCM bye bye 2015!

Elections 2010 Kwa hali ilivyo Bungeni, CCM bye bye 2015!

Chigwiyemisi

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2011
Posts
531
Reaction score
228
Kinachotokea kwa hivi sasa bungeni ni dalili za wazi za CCM kuaga uongozi wa Taifa hili. Kwanza kabisa wabunge wa CCM wameshindwa kabisa kufanya kazi yao ya kuisimamia serikali na badala yake wamejipachika jukumu la kuipongeza hata pale isipostahili pongezi. Wamekuwa ni mabingwa wa kupinga hoja zote hata zenye maslahi kwa taifa na wananchi wake ili mradi tu hoja hizo zimetolewa na wabunge wa upinzani hususani CDM. Wabunge wa CCM hawana kabisa uwezo wa kujenga hoja yoyote na kuisimamia isipokuwa kugonga meza na kuomba mwongozo wa spika/mwenyekiti. Wote kwa pamoja wakishirikiana na mawaziri wao wamekuwa wakijaribu kupooza hoja za wapinzani zenye nguvu na maslahi kwa Taifa kwa kutumia vijembe, kebehi na mipasho badala ya kujibu hoja hizo kwa hoja nyingine. Wanajaribu kutumia wingi wao bungeni kuwakandamiza wapinzani ili kuficha udhaifu wao na serikali yao. Hata mzee Sitta ambae kiasi fulani alijijengea heshima, kwa sasa imeshuka mno hasa baada ya kupewa nafasi ya kukaimu nafasi ya kiongozi wa shughuli za serikali bungeni. Majibu aliyoyatoa Sitta dhidi ya Mh. Kafulila na kuwatukana wapinzani kuwa ni wanafiki yameonyesha unafiki mkubwa wa mzee huyu. Inawezekana vita yake haikuwa dhidi ya ufisadi bali "TATIZO NI UWAZIRI MKUU" ndio maana baada ya kukaimishwa pale mjengoni amelewa sifa za Ki-CCM! Spika, naibu wake na wenyeviti wa kamati wote wanapwaya katika nafasi zao kwa ushabiki na upendeleo wa wazi. Mbunge mmoja wa upinzani perfomance yake bungeni ni sawa na wabunge 20 wa CCM. Lakini napenda kuwataarifu kuwa wananchi tunaona na tunapambanua mambo yote yanayoendelea bungeni! Na kwa hili nawatakia safari njema 2015!
Nawasilisha!
 
mwigulu madelu nchemba mp. iramba magharibi tafadhali isome na kuielewa hii mada, unatetea chama siyo wapiga kura wako, jiandae. unanuka rushwa.
 
Kinachotokea kwa hivi sasa bungeni ni dalili za wazi za CCM kuaga uongozi wa Taifa hili. Kwanza kabisa wabunge wa CCM wameshindwa kabisa kufanya kazi yao ya kuisimamia serikali na badala yake wamejipachika jukumu la kuipongeza hata pale isipostahili pongezi. Wamekuwa ni mabingwa wa kupinga hoja zote hata zenye maslahi kwa taifa na wananchi wake ili mradi tu hoja hizo zimetolewa na wabunge wa upinzani hususani CDM. Wabunge wa CCM hawana kabisa uwezo wa kujenga hoja yoyote na kuisimamia isipokuwa kugonga meza na kuomba mwongozo wa spika/mwenyekiti. Wote kwa pamoja wakishirikiana na mawaziri wao wamekuwa wakijaribu kupooza hoja za wapinzani zenye nguvu na maslahi kwa Taifa kwa kutumia vijembe, kebehi na mipasho badala ya kujibu hoja hizo kwa hoja nyingine. Wanajaribu kutumia wingi wao bungeni kuwakandamiza wapinzani ili kuficha udhaifu wao na serikali yao. Hata mzee Sitta ambae kiasi fulani alijijengea heshima, kwa sasa imeshuka mno hasa baada ya kupewa nafasi ya kukaimu nafasi ya kiongozi wa shughuli za serikali bungeni. Majibu aliyoyatoa Sitta dhidi ya Mh. Kafulila na kuwatukana wapinzani kuwa ni wanafiki yameonyesha unafiki mkubwa wa mzee huyu. Inawezekana vita yake haikuwa dhidi ya ufisadi bali "TATIZO NI UWAZIRI MKUU" ndio maana baada ya kukaimishwa pale mjengoni amelewa sifa za Ki-CCM! Spika, naibu wake na wenyeviti wa kamati wote wanapwaya katika nafasi zao kwa ushabiki na upendeleo wa wazi. Mbunge mmoja wa upinzani perfomance yake bungeni ni sawa na wabunge 20 wa CCM. Lakini napenda kuwataarifu kuwa wananchi tunaona na tunapambanua mambo yote yanayoendelea bungeni! Na kwa hili nawatakia safari njema 2015!
Nawasilisha!
Nakubaliana nawe mkuu, BIG up!
 
Kinachotokea kwa hivi sasa bungeni ni dalili za wazi za CCM kuaga uongozi wa Taifa hili. Kwanza kabisa wabunge wa CCM wameshindwa kabisa kufanya kazi yao ya kuisimamia serikali na badala yake wamejipachika jukumu la kuipongeza hata pale isipostahili pongezi. Wamekuwa ni mabingwa wa kupinga hoja zote hata zenye maslahi kwa taifa na wananchi wake ili mradi tu hoja hizo zimetolewa na wabunge wa upinzani hususani CDM. Wabunge wa CCM hawana kabisa uwezo wa kujenga hoja yoyote na kuisimamia isipokuwa kugonga meza na kuomba mwongozo wa spika/mwenyekiti. Wote kwa pamoja wakishirikiana na mawaziri wao wamekuwa wakijaribu kupooza hoja za wapinzani zenye nguvu na maslahi kwa Taifa kwa kutumia vijembe, kebehi na mipasho badala ya kujibu hoja hizo kwa hoja nyingine. Wanajaribu kutumia wingi wao bungeni kuwakandamiza wapinzani ili kuficha udhaifu wao na serikali yao. Hata mzee Sitta ambae kiasi fulani alijijengea heshima, kwa sasa imeshuka mno hasa baada ya kupewa nafasi ya kukaimu nafasi ya kiongozi wa shughuli za serikali bungeni. Majibu aliyoyatoa Sitta dhidi ya Mh. Kafulila na kuwatukana wapinzani kuwa ni wanafiki yameonyesha unafiki mkubwa wa mzee huyu. Inawezekana vita yake haikuwa dhidi ya ufisadi bali "TATIZO NI UWAZIRI MKUU" ndio maana baada ya kukaimishwa pale mjengoni amelewa sifa za Ki-CCM! Spika, naibu wake na wenyeviti wa kamati wote wanapwaya katika nafasi zao kwa ushabiki na upendeleo wa wazi. Mbunge mmoja wa upinzani perfomance yake bungeni ni sawa na wabunge 20 wa CCM. Lakini napenda kuwataarifu kuwa wananchi tunaona na tunapambanua mambo yote yanayoendelea bungeni! Na kwa hili nawatakia safari njema 2015!
Nawasilisha!
Mbowe kakupa shilingi ngapi wewe?
 
alafua anaelekea mvi zimeongezeka siku hizi!?
Kinachotokea kwa hivi sasa bungeni ni dalili za wazi za CCM kuaga uongozi wa Taifa hili. Majibu aliyoyatoa Sitta dhidi ya Mh. Kafulila na kuwatukana wapinzani kuwa ni wanafiki yameonyesha unafiki mkubwa wa mzee huyu. Inawezekana vita yake haikuwa dhidi ya ufisadi bali "TATIZO NI UWAZIRI MKUU" ndio maana baada ya kukaimishwa pale mjengoni amelewa sifa za Ki-CCM! Spika, naibu wake na wenyeviti wa kamati wote wanapwaya katika nafasi zao kwa ushabiki na upendeleo wa wazi. Lakini napenda kuwataarifu kuwa wananchi tunaona na tunapambanua mambo yote yanayoendelea bungeni! Na kwa hili nawatakia safari njema 2015!
Nawasilisha!
 
Ni vema sasa angalau watu mmeanza kuchambua mchele na pumba za kile kinachodaiwa kuwa huyu Sitta ni mpambanaji wa ufisadi na siyo chuki binafsi kutokana na kuzidiwa keti na kundi la mafisadi wenzake huyu jamaa ni mroho wa ufisadi wewe tangu enzi za 47 yupo serikalini na vyeo chungu mzima bado Uaziri Mkuu unataka kumtoa roho licha ya yeye na mkewe kupewa vyeo hakuridhika watu wanajua chuki yake kwa EL NA R.A ni hawa watu kushirikiana kwa kumtumia swahiba wao JK kumpora Uwaziri Mkuu ndipo alinuna na kutumia makoasa yao ya kumpa uspika wakidhani ataridhika pamoja na mkewe kumpa uwaziri lakini yeye hakuridhika akajenga mtandao ndani ya mtandao kupitia wabunge akijidai anatetea maslahi ya wananchi na siyo tumbo lake au binfsi acha kuwafanya watu wajinga nyie kazania CCJ ifufuke.
 
Hadi huku kwenye JF kuna wenye tabia za wabunge wa chama chao! Hoja ya msingi hapa ni kwamba nyoka wameshindwa kuliongoza Taifa hili wamepewa bonus ya miaka mitatu japokuwa sina uhakika sana kama itaisha! sasa Kamanda Mbowe anahusika vipi hapa? Tuache tabia za kimipasho tutoe hoja za kuokoa Taifa letu, nani asijua nyoka wameshindwa kuongoza Taifa?
 
Kinachotokea kwa hivi sasa bungeni ni dalili za wazi za CCM kuaga uongozi wa Taifa hili. Kwanza kabisa wabunge wa CCM wameshindwa kabisa kufanya kazi yao ya kuisimamia serikali na badala yake wamejipachika jukumu la kuipongeza hata pale isipostahili pongezi. Wamekuwa ni mabingwa wa kupinga hoja zote hata zenye maslahi kwa taifa na wananchi wake ili mradi tu hoja hizo zimetolewa na wabunge wa upinzani hususani CDM. Wabunge wa CCM hawana kabisa uwezo wa kujenga hoja yoyote na kuisimamia isipokuwa kugonga meza na kuomba mwongozo wa spika/mwenyekiti. Wote kwa pamoja wakishirikiana na mawaziri wao wamekuwa wakijaribu kupooza hoja za wapinzani zenye nguvu na maslahi kwa Taifa kwa kutumia vijembe, kebehi na mipasho badala ya kujibu hoja hizo kwa hoja nyingine. Wanajaribu kutumia wingi wao bungeni kuwakandamiza wapinzani ili kuficha udhaifu wao na serikali yao. Hata mzee Sitta ambae kiasi fulani alijijengea heshima, kwa sasa imeshuka mno hasa baada ya kupewa nafasi ya kukaimu nafasi ya kiongozi wa shughuli za serikali bungeni. Majibu aliyoyatoa Sitta dhidi ya Mh. Kafulila na kuwatukana wapinzani kuwa ni wanafiki yameonyesha unafiki mkubwa wa mzee huyu. Inawezekana vita yake haikuwa dhidi ya ufisadi bali "TATIZO NI UWAZIRI MKUU" ndio maana baada ya kukaimishwa pale mjengoni amelewa sifa za Ki-CCM! Spika, naibu wake na wenyeviti wa kamati wote wanapwaya katika nafasi zao kwa ushabiki na upendeleo wa wazi. Mbunge mmoja wa upinzani perfomance yake bungeni ni sawa na wabunge 20 wa CCM. Lakini napenda kuwataarifu kuwa wananchi tunaona na tunapambanua mambo yote yanayoendelea bungeni! Na kwa hili nawatakia safari njema 2015!
Nawasilisha!

Mkuu Chigwe umelonga mzee. Lakini hawajui wanajimaliza wenyewe kwa sababu siku hizi watu wengi wanapenda kusikiliza bunge. Kwa hivyo wanapembua chuya na mchele.

Kwenye nyekundu ya kwanza hapo juu, wanapinga posho za vikao zisifutwe halafu hapo hapo mbunge anasema hospitali ya rufaa Singida imepewa hela kidogo wakati waliishaambiwa pesa tutakazo sevu kwenye vikao zitafanya kazi nyingine kama ujenzi wa hiyo hospitali.

Kuhusu mzee Sitta, mimi nilishawahi kumwambia rafiki yangu kwamba hamna rais wa kupambana na rushwa, ufisadi kutoka CCM kwa vile wote wana madhambi. Sita amedhihirisha hilo kwa kutetea utumbo. Hii ni kwa vile amelewa sifa za ki-CCM kama ulivyosema.


"Tutaipigiania haki yetu kwa ajili yetu na vizazi vyetu...Tanzania ni yetu sote sisi na vizazi vyetu na wala si ya CCM na vibaraka wao..Ni heri kufa kishujaa lakini historia mpya ikiwa imeandikwa kuliko kufa kinafki" Ng'illy 8[SUP]th[/SUP] June, 2011
 
Aibu sana kwa wabunge wa ccm' Hata hvyo wananchi wamegundua pumba na mchele na wengi wa wabunge wa ccm wanajua walichakachua hata kufika hapo walipo bahati mbaya kwao njia hiyo imegundulika pia! 2015 tutakuwa na akina Silinde na Kafulila kibao!
 
Mkuu Chigwe umelonga mzee. Lakini hawajui wanajimaliza wenyewe kwa sababu siku hizi watu wengi wanapenda kusikiliza bunge. Kwa hivyo wanapembua chuya na mchele.

Kwenye nyekundu ya kwanza hapo juu, wanapinga posho za vikao zisifutwe halafu hapo hapo mbunge anasema hospitali ya rufaa Singida imepewa hela kidogo wakati waliishaambiwa pesa tutakazo sevu kwenye vikao zitafanya kazi nyingine kama ujenzi wa hiyo hospitali.

Kuhusu mzee Sitta, mimi nilishawahi kumwambia rafiki yangu kwamba hamna rais wa kupambana na rushwa, ufisadi kutoka CCM kwa vile wote wana madhambi. Sita amedhihirisha hilo kwa kutetea utumbo. Hii ni kwa vile amelewa sifa za ki-CCM kama ulivyosema.


"Tutaipigiania haki yetu kwa ajili yetu na vizazi vyetu...Tanzania ni yetu sote sisi na vizazi vyetu na wala si ya CCM na vibaraka wao..Ni heri kufa kishujaa lakini historia mpya ikiwa imeandikwa kuliko kufa kinafki" Ng'illy 8[SUP]th[/SUP] June, 2011
Ni nani ambaye hakuona kile kiganja kilitokea makao makuu ya CC Magamba na Ikulu kwa jaa la kaya kikiandika hivi "MENEMENE TEKELI NA PERESI. Ufalme wa JK na magamba tayari umefitinika. Dalili za kufitinika kama vitabu vitakatifu vilivyoandika ni kugombana wenyewe kwa wenyewe, kugawanyika katika mapande ya kimtandao. Na kikwete aliingia na hilo pepo.
 
Wachakachuaji wakubwa sana hawa, kamwe hawatakubali kuachia madaraka kirahisi rahisi. Itabidi Watanzania nchi nzima tulale katika vituo vya kupigia kura na kuhesabia kura ili kuhakikisha hawapati nafasi ya kuchakachua hata kwa sekunde 1. Vinginevyo ni lazima watashinda tu 🙁
 
Kwisha habari yao magamba..Tupo juu CDM wewe leo hii ungemeamini hili Gamba la igunga angejiuzulu bila presha ya cdm na vyombo vizuri vya habari..
 
Back
Top Bottom