Elections 2010 Kwa hali ilivyo Bungeni, CCM bye bye 2015!

Mimi niko huku "site" wakinamama hawaelewi kwa nini Serikali yao ipandishe bei ya mafuta ya taa tena kipindi ambacho hakuna umeme; kwa jinsi walivyolipokea hili nadhani CCM wasihangaike kuandaa khanga 2015 maana hawatazihitaji
 
Bye Bye ki vipi, kwani CHADEMA wameshajua jinsi ya kuzuia uwizi wa kura, wakina KIRAVU na species zao si bado wapo. Magamba wanawapenda sana CHADEMA kwa sababu kila ukiwaibia wanamuachia mungu.
 
Hali itakuwa mbaya sana na watu wanamuona SITTA kama ndio mnafiki mkubwa sana na pamoja na mambo yake yote ila naye ni vuvuzela katika kusimamia mambo muhimu sana katika Taifa hili
 
Mwisho wao umefka ndo maana hata hujibuji wao wa maswali haueleweki. Yaan hapo wapinzani wachache wanachanganyikiwa je wangekuwa nusu yao c pacngetosha. Kazen buti CDM hao ni waoga kama makunguru ya zenji. Ucwaogope hawana hoja hao zaidi ya kukimbilia kuwachafua wala msjali cc 2ko nyuma yenu.
 
Hivi wabunge wa ccm mie siwaelewi,!!!!!!! inamaana wote ni mawaziri maana wanajibu vitu vinavyohojiwa na wapinzani
kama vile wenyewe ni mawaziri au hawajui majukumu yao bungeni????
 

Hawa jamaa sijui tutawafanyaje!

Bila kulinda, kura zitachakachuliwa tuu!! Hata kama tukilala kituoni si unaona hata wana uwezo wa kupindisha matokeo kule kule wilayani wanakotangazia matokeo? Nashindwa kupata dawa ya hawa jamaa! Labda kuingia mitaani kwa nguvu zote? Mwanza waliweza lakini, labda hicho kitatusaidia.

Angalia pale Shinyanga wamepindisha matokeo kwa nguvu zao zote. Hawana hata aibu mbwa koko hawa!!
 
Bas na nyie hamfai kuongoza nchi ni wazembe mnakuwa wap mpaka mnaibiwa
 

Kaka kuongea sio kufanya kazi, Magwanda wenzio kazi yao ni kuongea tu na si kufanya kazi.
 

Hawa wetu kwani kilichotokea 2010 kimetufumbua macho we subiria tu hiyo 2015!!
 
thats it. Ufalme umefitinika na soon lile joka kuu yaani chechemee litatupwa gizani! Cant wait to see the day bendera ya magamba ikishuka na ile ya HAKI ikipandishwa!!
 
KIFO CHAMA CHA MAGAMBA- EEH MUNGU NASHUKURU KWA KUSIKIA KILIO CHANGU Amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…