Kwa hali ilivyo sasa;TUNDU LISSU ni Mkubwa kuliko ata CHADEMA yenyewe!!!!

Kwa hali ilivyo sasa;TUNDU LISSU ni Mkubwa kuliko ata CHADEMA yenyewe!!!!

Kinjekitile Jr

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
566
Reaction score
1,583
Siasa ni sayansi na sayansi inategemea siasa;

CHADEMA wameondoka Vigogo wakubwa sana tena wenye profile kubwa na nzito kweli kweli kama vile Dkt Wilbroad Slaa,Zitto Kabwe,Kitila Mkumbo etc……

Ila Wanachama na wananchi wa kawaida waliona tu kuwa huo ni wakati wa kawaida chama chao kinapitia

Lakini hali ya kushangaza toka TAL aanze kuonesha madudu yaliyopo CHADEMA na baadae kuchukua form ya Uenyekiti upepo umegeuka ghafla………yaani hali kwa ground ni mbaya sana kwa FAM na genge lake

Popote pale linapotajwa jina TUNDU LISSU iwe kwenye daladala,vijiweni,redioni,runingani au mitandaoni kote ata ile ambayo uwa inajulikana ina contents za umbeya umbeya………watu husimama na TAL kuwa anafaa kuwa chairman pale Mikocheni na wanaenda mbali wanasema kuwa kama wasipompa kiti basi wao hawatokaa kushabikia tena upumbavu wa CHADEMA ata iweje na wanamuomba aanzishe ata Chama chake ikibidi

CHADEMA inamuhitaji sana LISSU kuliko LISSU anavyofanana ihitaji CHADEMA na ili iweze kupata attention kutoka kwa umma basi inawabidi wampe nafasi na si vinginevyo
 
Wajumbe wa Mkutano Mkuu ambao ndiyo wapigakura wanapaswa kufikiwa wote na kuelimishwa kwa nini Taifa sasa linamuhitaji Tundu Lisu kuliko wakati wowote.

Tusidhani ushindi utapatikana mitandaoni kwa kusifiana
Sawa......kikubwa tumejua nani mkweli nani sio mkweli.

Tulikuwa tunatekwa na kuteswa bure kumbe wenzetu wanakutana kwenye matafrija
 
Sawa......kikubwa tumejua nani mkweli nani sio mkweli.

Tulikuwa tunatekwa na kuteswa bure kumbe wenzetu wanakutana kwenye matafrija
Mbowe anabeba damu zote zilizomwagika kwa ajili ya CHADEMA katika wwkati wake wote.

Kumbukeni kupotea kwa Ben Saanane na ukimya wa Mbowe hadi familia ilipoanza kupiga kelele? Kumbukeni majibu ya viongozi wa CHADEMA kuwa Ben ameenda S.A. kusoma alipoanza kuuliziwa kutokuwepo kwake.

Angalieni issue ya kukamatwa kwa Mwabukusi, Mdude na Dkt. Slaa.... mazingira ya kina Soka na wenzake yote yanamuelemea Mbowe...
 
Mbowe anabeba damu zote zilizomwagika kwa ajili ya CHADEMA katika wwkati wake wote.

Kumbukeni kupotea kwa Ben Saanane na ukimya wa Mbowe hadi familia ilipoanza kupiga kelele? Kumbukeni majibu ya viongozi wa CHADEMA kuwa Ben ameenda S.A. kusoma alipoanza kuuliziwa kutokuwepo kwake.

Angalieni issue ya kukamatwa kwa Mwabukusi, Mdude na Dkt. Slaa.... mazingira ya kina Soka na wenzake yote yanamuelemea Mbowe...
Yaani huyu mwamba hata kama hahusiki lakini kuna mashaka makubwa sana juu yake.
 
Shida hawa viongozi hutakaa kukaa madarakani hata kwa njia ambazo sio sawa.
 
Back
Top Bottom