Kwa hali ilivyo, unamshauri nini Luhaga Mpina mbunge wa Jimbo la Kisesa CCM?

Wamehamisha malengo na kuyaelekeza kwenye uelekeo wao. Kila baada ya awamu fulani huja kundi la wahuni wengine.
inamaana hakuna alternative kabisa? πŸ’

au alternatives zenyewe ndio hivyo tena halfaholela holela, zipo kama hazipo na wala hazieleweki?🀣
 
Nasisitiza,

Haya majizi Bashe na Mwigulu yashushulikiwe ipasavyo .
maskini comrade Mpina, watu wameanza kumruka na kupita kimya kama wahamuoni vile dah! πŸ’
 
alinyanyasa sana wafugaji enzi zile za giza
hana lolote
 
Ushauri wangu kwa Mpina.....

1) Awe makini na vinywaji na vyakula hasa anapokuwa kwenye viwanja vya bunge na vikao vya chama.....

2) Awe anakagua sana gari lake kabla ya kupanda au kuendesha......

3)Abadilishe dereva haraka iwezekavyo kama anaye.......

4) Afanye Sana maombi kwa imani yake na ajikite kwenye ibada........
 
Aendelee kuwapiga spana
Ila awe anakaa mguu sawa
Maana kagusa maslahi ya majizi

Ova
 
ushauri safi na makini sana wa kiufundi kisiasa gentleman πŸ‘ŠπŸ’ͺ

kwamba he must be very careful.

and he must take full control and outhority over each and everything belongs to him, right?πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…