kwa hali, ni wazi vyombo vingi vya habari vitaichukia Redio Imaan na watangazaji wake

kwa hali, ni wazi vyombo vingi vya habari vitaichukia Redio Imaan na watangazaji wake

Malaria Sugu

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2009
Posts
2,653
Reaction score
266
nani aliekuwa anajuwa kama Picha iliobandikwa ktk magazeti ya TANZANIA DAIMA, NIPASHE NA UHURU kuhusu macahfuko ya Zanzibar ni propaganda?
Mara tu baada ya picha hiyo kubandikwa, nilifungua redio imaan kusikiliza msimamo wao.mara nikasikia Anahojiwa ustadh aliehusishwa picha hiyo kwamba yupo Zanzibar au Morogoro? Ukweli ukajulikana mara 1
Pia siku hizi nikisoma habari ninayoitilia shaka hufungua redio imaan kusikiliza jinsi wanavyoiffatilia kwa kina kwa wahusika na kuwajuza wananchi ukweli ulivyo.Tofouti na mwanzao likiandikwa limeandikwa tu, hakuna opposite side kusikia
Naamini kazi hii haipendwi na vyombo vya habari vini vinavyokurupuka na kuandika zaidi hisia badala ya ukweli.lkn ujio wa redio hii kunaweka mambo mengi sawa
Uji wa redio tayari kumeifanya baadhi ya vyombo vya habarikushuka uaminifu mbele ya jamii. tofauti na zamani sukuma twendwe hakuna anehoji ukweli wa habari na wananchi kulishwa sumu
 
Hii redio sizani kama watangazaji wake wanataaluma ya habari!wanakurupuka tu kila kikicha,kazi kweli kweli
 
Hii redio sizani kama watangazaji wake wanataaluma ya habari!wanakurupuka tu kila kikicha,kazi kweli kweli

Wana taaluma ya ilmu akhera mkuu,...wamesoma chuo toka wakiwa wadogo saaaana,....ahahahahaaaaaaaaaaaaa
 
hahahaha,wanachachafya maagzeti yenu, wakipotosha umma wanaumbuka migazeti yenu

Radio Imman is a worst radio ever..........sema labda kama unataka malumbano yasiyo na maana mkuu.
 
Hata vyombo vyenu vikaichukia kwetu ss ni muhimu kuliko Gazeti la Mwananchi, Nipashe, Uhuru, TzDaima na vijalada vyengine.

Nani hakujua kama ile picha ilikuwa si ya Z'bar na kama Redio Iyman hawakuyasemea ni nani anapaswa kuyasemea, na hayo magazeti yenu kila moja lilikazana na kuchomwa makanisa makanisa makanisa kama Z'bar kuna wakristu wa maana.

Mtaumwa sana kwa hii Radio yetu na hata bado Ndugu.

Poleni sana. :glasses-nerdy:
 
hata vyombo vyenu vikaichukia kwetu ss ni muhimu kuliko gazeti la mwananchi, nipashe, uhuru, tzdaima na vijalada vyengine.

Nani hakujua kama ile picha ilikuwa si ya z'bar na kama redio iyman hawakuyasemea ni nani anapaswa kuyasemea, na hayo magazeti yenu kila moja lilikazana na kuchomwa makanisa makanisa makanisa kama z'bar kuna wakristu wa maana.

Mtaumwa sana kwa hii radio yetu na hata bado ndugu.

Poleni sana. :glasses-nerdy:
wanaumbuka, sasa wakiandika ja,maa wapo wanachambua
 
awa ndg zetu vitu wanavyoliliaga aibu kwa kweli.
Ivi serikali ina woga gani kuipa ban i radio.
 
redio imam idhaa ya imani
IDHAATU IMAAN
''ELIMU BILA MIPAKA''
104.4 fm dar es salaam na zanzibar


Mtambo wa kurekebisha tabia
---- naipendaaaaaaaa
 
Ni muda mrefu sana jamii imekuwa ikilishwa sumu na hivi vyombo vya habari uchwara. Sasa ni muda muafaka wa jamii kupata muangaza, kupitia radio imaan.
 
Redio muhimu na ni msaada mkubwa sana kwa waislamu
 
Wana taaluma ya ilmu akhera mkuu,...wamesoma chuo toka wakiwa wadogo saaaana,....ahahahahaaaaaaaaaaaaa

Wenzio wanapiga chuo toka wana miaka minne,chezea
 
Hata vyombo vyenu vikaichukia kwetu ss ni muhimu kuliko Gazeti la Mwananchi, Nipashe, Uhuru, TzDaima na vijalada vyengine.

Nani hakujua kama ile picha ilikuwa si ya Z'bar na kama Redio Iyman hawakuyasemea ni nani anapaswa kuyasemea, na hayo magazeti yenu kila moja lilikazana na kuchomwa makanisa makanisa makanisa kama Z'bar kuna wakristu wa maana.

Mtaumwa sana kwa hii Radio yetu na hata bado Ndugu.

Poleni sana. :glasses-nerdy:

Acha udin Nyerere alishakataa
 
Radio Imani Mola iwezeshe idumu hata mwisho wa dahari kwani ni msaada mkubwa kwa jamii na inatupatia habari zakweli kabisa na uhakika. Radio Iman ldhaatul Iman( tunawatoa watu katika kiza na kuwapeleka katika nuru kwa idhini ya Mwenyezi Mungu).
 
Back
Top Bottom