Francis Jr
Senior Member
- Oct 18, 2010
- 146
- 21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha udin Nyerere alishakataa
redio imam idhaa ya imani
IDHAATU IMAAN
''ELIMU BILA MIPAKA''
104.4 fm dar es salaam na zanzibar
Mtambo wa kurekebisha tabia ---- naipendaaaaaaaa
Kweli hii redio kiboko
Nilisikiliza siku moja waislam wanahimizwa wasishabikie vilabu vya manchesta na senali na epl na ligi zote za ulaya wala brazili kwa ujumla maana ni za makafiri
Tena wakadai eti unakuta brazili inacheza na saudia unakuta muislam mzima anashabikia brazili wakati karibu wote ni rc na makafiri unaacha kushabikia saudia wakati wote ni umati wa mohd
Yaani hakuna kushabikia nba wa roger federal maana ni makafiri
Hakuna kushabika usain bolt wala tyson gay maana ni makfiri
Hakuna kushabikia man paciao wala mywhether maana ni makafiri
Yaani nilichoka, ndio maana nasema hii radio ni kiboko
Hii redio sizani kama watangazaji wake wanataaluma ya habari!wanakurupuka tu kila kikicha,kazi kweli kweli
Saizi Radio Imaan wanampango wa kujitanua zaidi mpaka Kenya, Uganda, Burundi, Rwanda, Congo, hii radio ndio mkombozi wetu sisi Waislam.
Hii redio ni chochezi!!:confused2:
Kweli hii redio kiboko
Nilisikiliza siku moja waislam wanahimizwa wasishabikie vilabu vya manchesta na senali na epl na ligi zote za ulaya wala brazili kwa ujumla maana ni za makafiri
Tena wakadai eti unakuta brazili inacheza na saudia unakuta muislam mzima anashabikia brazili wakati karibu wote ni rc na makafiri unaacha kushabikia saudia wakati wote ni umati wa mohd
Yaani hakuna kushabikia nba wa roger federal maana ni makafiri
Hakuna kushabika usain bolt wala tyson gay maana ni makfiri
Hakuna kushabikia man paciao wala mywhether maana ni makafiri
Yaani nilichoka, ndio maana nasema hii radio ni kiboko
Radio Imani Mola iwezeshe idumu hata mwisho wa dahari kwani ni msaada mkubwa kwa jamii na inatupatia habari zakweli kabisa na uhakika. Radio Iman ldhaatul Iman( tunawatoa watu katika kiza na kuwapeleka katika nuru kwa idhini ya Mwenyezi Mungu).
Kweli hii redio kiboko
Nilisikiliza siku moja waislam wanahimizwa wasishabikie vilabu vya manchesta na senali na epl na ligi zote za ulaya wala brazili kwa ujumla maana ni za makafiri
Tena wakadai eti unakuta brazili inacheza na saudia unakuta muislam mzima anashabikia brazili wakati karibu wote ni rc na makafiri unaacha kushabikia saudia wakati wote ni umati wa mohd
Yaani hakuna kushabikia nba wa roger federal maana ni makafiri
Hakuna kushabika usain bolt wala tyson gay maana ni makfiri
Hakuna kushabikia man paciao wala mywhether maana ni makafiri
Yaani nilichoka, ndio maana nasema hii radio ni kiboko
Radio imaan na watangazaji wake ni wachonganishi na wapotosha jamii.