Nkungulume
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,987
- 1,209
Maisha ya kuishi kwa masharti nani anayaweza mkuu? Wengine tunapenda uhuru sana, dawa ya ukimwi ni kuupotezea tu wala sio hayo ma ARV's yenu, hata ukienda kupima ukakutwa unao kula vizuri, Fanya Mazoezi, kunywa maji ya kutosha Lakin achana na madawa yaoNyie acheni mambo yenu. Ukimwi kwa sasa is no longer a threat yaan kama kisukari ama magonjwa mengine tu. Maana mtu una miaka 30 ukiambukizwa leo unakuwa na miaka hadi 30 mbele ya kuishi endapo tu utafuata masharit. So sio ugonjwa ukiupata ndo unaanza kujiuliza kufakufa. Inshort mm siogopi kupima yaan hata nikiupata ni sawa na maralia vile
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe Ndio umetema points achana na hao wa ma ARV'sMi huwa napima hata siogopi aisee coz najua ni ugonjwa tu kama maralia. Naogopa vitu kamankansa, kipindupindu, maralia nk. Ilanukimwi sio ugonjwa ndugu. Tena unaweza usimeze irv ukaishinmuda mrefu sana. Maana ukimwi ninupungufu wa kingabmwilini. So unaweza ukamantain cd4 kwankutumia lishe tu bass na ukafanikiwa kuishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaa..usiogope pima tu ili ucheze kwa stepKuna wengine kila baada ya miezi mitatu wanapima HIV. Hawa nawaambia kile wanachokitafuta ipo siku watakipata ndani ya hiyo miezi mitatu mitatu
Hongera sana mkuu kwa ujasiri na kukubaliana na hali yakoMkuu huyo jamaa yako inshort alishindwa kukubaliana na matokeo aliyokutana nayo baada ya vipimo btw we are not safe in this unsafe world untill we are not here anymore
Mi nilipima july nakubainika nina VVU kiukweli iliniumiza sana for like two weeks and i was like getting confused lakini mwisho wa siku niliishinda nafsi na kujiona sijabadilika kitu and i still have chance to complete my goals
Hata hivyo hakuna jambo jema na zuri kama kujua status ya afya yako maana utapata ushauri mzuri wa kitabibu wa namna ya kudeal nayo , mi nahisi watu wengi ni waathirika na kwa kuwa tuna kasumba ya woga wa kujua afya zetu tunajiona tu wazima na mwisho wa siku tunapelekea maambukizi kwa wengine zaidi na zaidi
na ndyo maana unaona baada ya hii straregy ya wagonjwa wengi kama si wote waendao kwenye goverment hospital kupimwa vvu kumekuwa na ongezeko kiasi la watu wenye vvu siyo kama mwanzo mpaka mtu azidiwe ndyo apimwe
PIMA UJUE AFYA YAKO VVU SIYO UGONJWA HATARI KAMA UNAVYOCHUKULIWA NA JAMII KAMA UKIZINGATIA KUNYWA DAWA NA MASHARTI YA MADAKTARI
NB; Sijawahi mwambia ndugu yangu yoyote tangu nijifahamu hivi , napambana na hali yangu mwenyewe
Also kuna information nilipata from ctc insider he told me kwamba dawa za kutibu kabisa zishapatikana nd zitaanzaa kugawiwa TZ 2022 but aint really sure about this kama kuna mwenye maelezo ya hili kwa kina tafadhali atujuze cc Sky Eclat
Huyu amepata matumaini ya dawa mkuu. Ndio maana hana wasix2.Hongera sana mkuu kwa ujasiri na kukubaliana na hali yako
Hii pia itasaidia kuwapa moyo wengine waliokuwa na woga na kukata tamaa
Haaaa haaaa...Ukiendelea na mchezo wa kupima kupima mara kwa mara unachokitafuta utakipata.
Ahaaaaaa haaaa....mkuu kuna ubaya kwaniKuna wengine kila baada ya miezi mitatu wanapima HIV. Hawa nawaambia kile wanachokitafuta ipo siku watakipata ndani ya hiyo miezi mitatu mitatu
Mkuu kuna mtu kaniambia hicho kipimo ni fake?Majuzi niliamua kupima HIV mwenyewe kwenye SD bioline nikiwa kichakani ila kwa njia nizilizopita na Haya majibu ya negative nimeamini Yesu anaponya...na mungu ni jehova Rapha...mungu ni mponyaji. Loh! Sina ukimwi!? Sidhini tena hovyo hovyo.
Pia tatizo huwa lina nguvu ukiwa unalitazama na kulipa nafasi just ignore it and live your life, we will all die someday, ndege haanguki akiwa angani sababu yuko comfortable lakini mtu akigundua yuko angani lazma ataanguka maana anapanick na kupoteza comfortability...if you are positive stay positive.
View attachment 566563
Sent using Jamii Forums mobile app
Amekudanganya SD Bioline hiki ni miongoni mwa vipimo accurate and efficient kuwahi kutumika kina uwezo wa kudetect maambukizi ndani ya siku 28 baada ya virusi kuingia mwilini kwa asilimia 96%. Tofauti na vipimo vya hapo awali ambavyo vinaweza kudetect HIV baada ya siku 90 kwa asilimia 95%.Mkuu kuna mtu kaniambia hicho kipimo ni fake?
Yaani hakitoi taarifa kamili!
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah asante mkuu!Amekudanganya SD Bioline hiki ni miongoni mwa vipimo accurate and efficient kuwahi kutumika kina uwezo wa kudetect maambukizi ndani ya siku 28 baada ya virusi kuingia mwilini kwa asilimia 96%. Tofauti na vipimo vya hapo awali ambavyo vinaweza kudetect HIV baada ya siku 90 kwa asilimia 95%.
Hopefully umenielewa! Ignore excuse za jamaa nenda hospital kacheki afya mater of fact almost hospitali zote za umma na binafsi zina vipimo hivi hivi kwa sasa.
"Ni hatari kupima ukimwi, ila ni hatari zaidi kutopima ukimwi "
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu baby boo!! Ila its its midnight..lala upate starehe ya bure.
Wengine mda wa starehe ndo tuko kazini we acha tuu...life's not fair at all!Karibu baby boo!! Ila its its midnight..lala upate starehe ya bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamaniiiWengine mda wa starehe ndo tuko kazini we acha tuu...life's not fair at all!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto mzuri nakuhitaji nikubadilishie maishaWengine mda wa starehe ndo tuko kazini we acha tuu...life's not fair at all!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwee!Jamaniii
Mmmh wee si ndo ulikuwa unalia lia kule kwenye uzi eti demu kakuomba 15,000 chaaa!Mtoto mzuri nakuhitaji nikubadilishie maisha
Mmmh wee si ndo ulikuwa unalia lia kule kwenye uzi eti demu kakuomba 15,000 chaaa!Mtoto mzuri nakuhitaji nikubadilishie maisha
Ha