Kwa hali niliyoiona sitashawishika tena kupima UKIMWI

Kwa hali niliyoiona sitashawishika tena kupima UKIMWI

Ndiyo maana unapopima HIV na kukutwa +ve unatakiwa kupata counselling of life a way forward.
Aslimia kubwa ya watu wanaogunduliwa na huu ugonjwa huwa wanakufa kwa mshituko, mawazo na kukosa matumaini, hasa huwatokea watu waliokuwa na dream kubwa za mbeleni.
 
Aslimia kubwa ya watu wanaogunduliwa na huu ugonjwa huwa wanakufa kwa mshituko, mawazo na kukosa matumaini, hasa huwatokea watu waliokuwa na dream kubwa za mbeleni.
Counselling ni muhimu pia kutokutangaza. Ilianza kunyoshewa vidole inasonobesha sana
 
Ukiwa HIV+ kila unapoonana na daktari ni muhimu kumfahamisha kama hakufahamu. Matatizo yako yanaweza kuwa yanasababishwa na hali yako ni rahisi yeye kukusaidia.
 
Mkuu wiki iliyopita tumemzika baba mdogo wangu baada ya kuishi na mwanamke miaka sita kumbe kaathirika pasipo yeye kujua. Alipoenda hospitali kupima alifariki siku ya pili baada ya majibu kutoka tena bila hata kupungua mwili.
Ohoooo!!!pole sana mkuu.

-Ndumilakuwili-
 
Jamani jaman jaman, HIV hata km umetoka nyumban unajiamin ukifika pale lazma ukalie Nusu kiti, Wakat nipo advance best yangu sijui usiku aliota nn, asubuh akanikurupusha twende tukapime m sikua na wasiwasi kbsa, tukaenda kufika pale yy ndo alitakiwa atangulie yan ile alieko ndani anafungua mlango atoke jamaa kusikia tu mlango unaguswa Akazima, tukaanza kupepea. Alipozinduka akauliza mshanipima tukamwambia bado tunasubiria idhini yako. Akasema mmefanya kosa kubwa sana maaana Huu uamuzi hautokuja kutokea tena maishani, manesi wote hoii. Mm nakujiamin kwangu kwan nilikubali, tukarudi nilikuja kupima siku nyingne kbsaaaa. Asikuambie mtu kupima HIV mm naita ni moja ya kipimo cha ujasiri wa mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi hamfanyi aisee zamani ilikuwa kabla ya kupima unapewa counselling ya maana na kabla ya kupewa majibu unafanyiwa counselling juzi nmeenda hospitali Dr kaniandikia tu kipimo cha HIV kama cha malaria vile simple bila hata kuniuliza kama niko tayari kupima

Sent using Jamii Forums mobile app
True nilpokuwa mjamzito nimeingia kwanza wapo watatu wanaongea zao kanichukua damu kama Malaria hajaniambia chochote nkashangaa hivi huyu ananipima HIV au nin mbona anachukulia poa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani jaman jaman, HIV hata km umetoka nyumban unajiamin ukifika pale lazma ukalie Nusu kiti, Wakat nipo advance best yangu sijui usiku aliota nn, asubuh akanikurupusha twende tukapime m sikua na wasiwasi kbsa, tukaenda kufika pale yy ndo alitakiwa atangulie yan ile alieko ndani anafungua mlango atoke jamaa kusikia tu mlango unaguswa Akazima, tukaanza kupepea. Alipozinduka akauliza mshanipima tukamwambia bado tunasubiria idhini yako. Akasema mmefanya kosa kubwa sana maaana Huu uamuzi hautokuja kutokea tena maishani, manesi wote hoii. Mm nakujiamin kwangu kwan nilikubali, tukarudi nilikuja kupima siku nyingne kbsaaaa. Asikuambie mtu kupima HIV mm naita ni moja ya kipimo cha ujasiri wa mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

-Ndumilakuwili-
 
Ndoto yake kubwa ilikuwa Kwenda Marekani, na Kwa Kuwa ukiwa positive huwezi kupewa Visa ya kwenda Marekani, ndoto imepotea na msongo wa mawazo juu, namshauri abadilishe mazingira Kwa miezi 2 aende mkoa mwingine ili asikutane na watu aliowazoea . Hali yake itarejea kuwa ya kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majuzi niliamua kupima HIV mwenyewe kwenye SD bioline nikiwa kichakani ila kwa njia nizilizopita na Haya majibu ya negative nimeamini Yesu anaponya...na mungu ni jehova Rapha...mungu ni mponyaji. Loh! Sina ukimwi!? Sidhini tena hovyo hovyo.

Pia tatizo huwa lina nguvu ukiwa unalitazama na kulipa nafasi just ignore it and live your life, we will all die someday, ndege haanguki akiwa angani sababu yuko comfortable lakini mtu akigundua yuko angani lazma ataanguka maana anapanick na kupoteza comfortability...if you are positive stay positive.

View attachment 566563

Sent using Jamii Forums mobile app

Zinapatikana wapi hizo SD bioline? naomba ni pm
 
Ilinikuta mkuu, na mfanyakazi mwenzangu tena alitoka mkoa mwingine akaja mkoani na wenzie wawili wakapanga chumba,......

Baada ya kazi kama mwezi tukapanga Party ya pamoja, tukatoka jioni tukachoma Mbuzi na Vinywaji baadae tukaenda Night Club, huku na huku ikawa mda mwingi nipo nae, mara vinywaji mara bolingo na vile aliumbika automaticaly tukajikuta room wawili asubui .......

Nawasha simu watsap nakutana na sms ya mwenzie, ikiambatana na Picha ya kopo la ARV Iikinihasa, niachane nae au nitumie kimba maana wanamjua kaasirika...iyo sms ilitakiwa iingie usiku vile simu yangu ilikua imezima na nilipiga kavu....

Nilipagawa mpaka akastuka ila nkamwambia mambo ya hm, nkamtoa nkaenda Hospital nkapima nkakutwa -ve, nkapewa PEP, mwezi mzima ziliniendasha vibaya nwezi mzima, nkaenda kupima tena mara 2 nkaambiwa sina.... .

Dah, nkajifunza na mbinu mbali mbali juu ya kuepuka na UKIMWI, Ata hivyo skumwambia, alibaki kua friend japo mara kwa mara alikua anataka tena nkawa nampiga kalend tu......

UKIMWI UPO UKITAKA KUAMINI NENDA AU ULIZA WATU WA CTC....

Sent using Jamii Forums mobile app

Hizo PEP zinapatikana hospitali zipi?
 
Hizo PEP zinapatikana hospitali zipi?
Ukienda hospital yeyote ambayo kuna CTC basi ukijieleza na pia iwe masaa 72 hayajapita tangu upate exposure watakupima wakikukuta negative watakupa pep za kumeza kwa siku 28
 
Back
Top Bottom