Ilinikuta mkuu, na mfanyakazi mwenzangu tena alitoka mkoa mwingine akaja mkoani na wenzie wawili wakapanga chumba,......
Baada ya kazi kama mwezi tukapanga Party ya pamoja, tukatoka jioni tukachoma Mbuzi na Vinywaji baadae tukaenda Night Club, huku na huku ikawa mda mwingi nipo nae, mara vinywaji mara bolingo na vile aliumbika automaticaly tukajikuta room wawili asubui .......
Nawasha simu watsap nakutana na sms ya mwenzie, ikiambatana na Picha ya kopo la ARV Iikinihasa, niachane nae au nitumie kimba maana wanamjua kaasirika...iyo sms ilitakiwa iingie usiku vile simu yangu ilikua imezima na nilipiga kavu....
Nilipagawa mpaka akastuka ila nkamwambia mambo ya hm, nkamtoa nkaenda Hospital nkapima nkakutwa -ve, nkapewa PEP, mwezi mzima ziliniendasha vibaya nwezi mzima, nkaenda kupima tena mara 2 nkaambiwa sina.... .
Dah, nkajifunza na mbinu mbali mbali juu ya kuepuka na UKIMWI, Ata hivyo skumwambia, alibaki kua friend japo mara kwa mara alikua anataka tena nkawa nampiga kalend tu......
UKIMWI UPO UKITAKA KUAMINI NENDA AU ULIZA WATU WA CTC....
Sent using
Jamii Forums mobile app