FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,567
- 4,683
Usijidanganye aise, kuna Watu wanaishi humu duniani kama vile akili wameziazima.Mimi nawashangaaga wadada wanaoshawishika kirahisi wakati jibu rahisi ni kumwambia tu mwanaume nimeathirika uone kama atakufata tena?
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiniambie hujawahi kuwasikia Wanaume wanaoshawishi Changudoa amkubalie bila condom? na wapo tayari kulipa zaidi wakubaliwe.
Kuna siku nilikuwa nakatiza kwenye moja ya vijiwe vyao Arusha, nikakuta Changudoa wawili wanagombana na kuporomosheana matusi ya nguoni....mmoja akamwambia mwenzake "njaa itakuuwa mse.. wewe, umet.....bwa kavu kwa elfu thelathini unajiona mjanja"