Kuna Sheria na Hekima
Hivyo vyote mataifa mengi sana yanavitumia kuongoza jamii!
Migororo mingi hutatuliwa kwa sheria na hekima! Bahati mbaya hekima huwa inaangalia zaidi maslahi ya wengi.
Mtu anaethibitika kumuua binadam mwenzake kwa makusudi kwa mikono yake mwenyewe hafai kabisa kuishi na jamii yoyote hata iwe gerezani hapamfai kufungwa!
Mataifa mengi hutumia HEKIMA ya kuuwa watu wa sampuli hizo ili wasilete taharuki na kuimarisha msawazo wa haki katika jamii husika! Ukweli ndo huo hata kama unauchungu!
Ile kauli ya "tutagawana majengo ya serikali achaneni nayo"
Hivyo vyote mataifa mengi sana yanavitumia kuongoza jamii!
Migororo mingi hutatuliwa kwa sheria na hekima! Bahati mbaya hekima huwa inaangalia zaidi maslahi ya wengi.
Mtu anaethibitika kumuua binadam mwenzake kwa makusudi kwa mikono yake mwenyewe hafai kabisa kuishi na jamii yoyote hata iwe gerezani hapamfai kufungwa!
Mataifa mengi hutumia HEKIMA ya kuuwa watu wa sampuli hizo ili wasilete taharuki na kuimarisha msawazo wa haki katika jamii husika! Ukweli ndo huo hata kama unauchungu!
Ile kauli ya "tutagawana majengo ya serikali achaneni nayo"