Kwa hali ya Ngorongoro; Dola fanyeni jambo msichelewe kabla ya maafa makubwa!

NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2019
Posts
9,863
Reaction score
20,806
Wakuu,

Najua mpo na milango yote ya fahamu inafanya KAZI!

Mimi ninawaamini nyie Ndio Taasisi pekee kimbilio isiyotiliwa shaka!nyie Ndio tumaini pekee lililobaki hapa nchini!

Ujumbe wangu ni kwenu nyie na wala sio KWA CCM wala Rais aliepo madarakani kwasababu nimepoteza imani nao kabisa !

Nawaomba mchukue hatua za haraka kama hizo ripoti za huko ngoro ngoro Ndio uhalisia wa mambo yalivyo!!

Fanyeni jambo Hiyo damu inayomwagika isije kuwalilia nyie na kizazi chenu!!

Najua tuna Rais wa katiba na hamkumuandaa kushika hatamu!mliemuandaa kaenda KWA baba aliepo hakuwa na maono na NCHI yetu Ndio màana anaendeshwa na watu wengine walio nje ya mfumo!

Mabadiliko ya Baraza la mawaziri yaliyoleta sintofahamu hasa migogoro ya ardhi na kupanda bei ya mafuta yanasadifu kuwa hakujiandaa kushika hatamu!!

Naombeni mmsaidie kuendesha SERIKALI Ili kuokoa kizazi chetu dhidi ya dhahma zinazo endelea nchini!

Kuna Genge la wahuni linamzunguka na ameshindwa kabisa KUONGIZA SERIKALI YAKE!

Wako wapi kina Lukuvi!!?kina kalemani Hadi wahuni wamepewa wizara na kuleta migogoro!!?

Hizo clips za damu na vidonda za watanzania wenzetu huko ngoro ngoro kama ni za kweli tunaomba ziwe chachu kwenu kufanya mabadiliko ya haraka inapobidi

Rais ameshindwa na wahuni wanamzunguka na kumharibia uongozi wake

MSAIDIENI
 
 
Kaenda kwa Baba?

Ben Saanane Azory nk
 
Picha zingine zilikuwa za siku za nyuma za mapigano ya wafugaji na wakulima pia wafugaji wao kwa wao wakigombea maeneo ya malisho na maeneo ya kunyweshea mifugo leo watu wamerusha kwamba za ngorongoro,huo ni uchonganishi.
 
Picha zingine zilikuwa za siku za nyuma za mapigano ya wafugaji na wakulima pia wafugaji wao kwa wao wakigombea maeneo ya malisho na maeneo ya kunyweshea mifugo leo watu wamerusha kwamba za ngorongoro,huo ni uchonganishi.
Eti eeh!!
Haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…