FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Hii ni kweli, unazalisha nini? Hili ndilo la msingiLogically malipo hayapaswi kuwa proportional to msoto ila outputs.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni kweli, unazalisha nini? Hili ndilo la msingiLogically malipo hayapaswi kuwa proportional to msoto ila outputs.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Nafasi za kuteuliwa hizoPhD 2.5m? Ina maana mm na haka digilii kangu nawaacha mbaaali madokta kumbe on my takehome
Niliwahi kupendekeza waondoe mfumo wa Posha badala yake wapandishe mishahara kama mfumo wa private sectorKwani kiongozi, mshahara mzuri unaanzia sh ngapi?
Lakin pia, Tanzania kwa ujumla hatujawekeza sana katika Research and Development! ndio mana wengi wa watu hawa wanategemea sana donor funded project.
Kuhusu misharaha, inategemea na mtu anafanyia wapi! upande wa taasis binafsi mara nyingi wanalipa mtu kutokana na output yake, ila serikalin wame Standardize mishahara kwa watumishi wa Umma kwa level zao za Elimu.
Sasa unaposema 2.5 ni kidogo, kulingana na Elimu, ungekuja na pendekezo iwe sh ngapi, lakini pia huwezi kumlipa mtu fedha nyingi wakati, nchi hatujawekeza katika tafiti.
Tukipunguza siasa na nchi ikawekeza katika wataalamu, naamin watu hawa watakuwa muhim na hakika itafaa walipwe pesa nyingi.