Kwa hapa Tanzania mwenye PhD ya ukweli aliyesomea akasota anatakiwa alipwe kiasi gani kama mshahara?

Kwa hapa Tanzania mwenye PhD ya ukweli aliyesomea akasota anatakiwa alipwe kiasi gani kama mshahara?

Kwani kiongozi, mshahara mzuri unaanzia sh ngapi?

Lakin pia, Tanzania kwa ujumla hatujawekeza sana katika Research and Development! ndio mana wengi wa watu hawa wanategemea sana donor funded project.

Kuhusu misharaha, inategemea na mtu anafanyia wapi! upande wa taasis binafsi mara nyingi wanalipa mtu kutokana na output yake, ila serikalin wame Standardize mishahara kwa watumishi wa Umma kwa level zao za Elimu.

Sasa unaposema 2.5 ni kidogo, kulingana na Elimu, ungekuja na pendekezo iwe sh ngapi, lakini pia huwezi kumlipa mtu fedha nyingi wakati, nchi hatujawekeza katika tafiti.

Tukipunguza siasa na nchi ikawekeza katika wataalamu, naamin watu hawa watakuwa muhim na hakika itafaa walipwe pesa nyingi.
Niliwahi kupendekeza waondoe mfumo wa Posha badala yake wapandishe mishahara kama mfumo wa private sector

Ungeshangaa mtu anayelipwa 2.5 anaweza kulipwa 3.5 to 4M bila kuongeza mzigo wowote kwa serikali

pia ingekuwa rahisi kushare cake ya Taifa fairly
 
Back
Top Bottom