Kwani kiongozi, mshahara mzuri unaanzia sh ngapi?
Lakin pia, Tanzania kwa ujumla hatujawekeza sana katika Research and Development! ndio mana wengi wa watu hawa wanategemea sana donor funded project.
Kuhusu misharaha, inategemea na mtu anafanyia wapi! upande wa taasis binafsi mara nyingi wanalipa mtu kutokana na output yake, ila serikalin wame Standardize mishahara kwa watumishi wa Umma kwa level zao za Elimu.
Sasa unaposema 2.5 ni kidogo, kulingana na Elimu, ungekuja na pendekezo iwe sh ngapi, lakini pia huwezi kumlipa mtu fedha nyingi wakati, nchi hatujawekeza katika tafiti.
Tukipunguza siasa na nchi ikawekeza katika wataalamu, naamin watu hawa watakuwa muhim na hakika itafaa walipwe pesa nyingi.