wizara ya elimu wametoa tangazo lao la kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya stashahada na cheti.
Ambapo sijaelewa ni kwa ngazi ya stashada. Hebu ona hapa chini
MAFUNZO MAALUM YA UALIMU TARAJALI NGAZI YA STASHAHADA KWA KIDATO CHA NNE MASOMO YA SAYANSI/ HISABATI NA ENGLISH: MUDA MIAKA 3 Ualimu wa masomo ya Sayansi/Hisabati na English katika vyuo vya Butimba, Morogoro, Korogwe, Songea na Mpwapwa
Mwombaji awe amehitimu: Kidato cha IV kati ya
mwaka 2004 na 2013
na awe na ufaulu wa
Daraja la Kwanza hadi
la Tatu, na Credit mbili
(yaani A, B+, B au C) katika masomo ya Sayansi, Hisabati na Kiingereza.
Ona pia na hapa;
MAFUNZO YA UALIMU TARAJALI STASHAHADA ELIMU YA MSINGI: MUDA MIAKA 3) Ualimu wa Stashahada ya Elimu ya Msingi katika chuo cha Vikindu
Mwombaji awe: Amehitimu Kidato cha
IV kati ya mwaka 2004
na 2013 wenye ufaulu
wa Daraja la I Daraja la
Tatu katika Mtihani
uliofanyika katika kikao kimoja.
Tanbihi: Kipaumbe
le
kitatolew
a kwa
waombaji
waliofaul u
masomo
ya Mathe matics, Biology, Physics, Chemistr y, Agric ulture, Food and Nutrition , English na Kiswahili na
wahitimu
wenye
mahitaji
maalumu.
Swali langu;
je mtu akipata hiyo diploma anaweza kufundisha sekondari na je kama akifundisha msingi atapata mshahara wa ngazi ya diploma?
Ambapo sijaelewa ni kwa ngazi ya stashada. Hebu ona hapa chini
MAFUNZO MAALUM YA UALIMU TARAJALI NGAZI YA STASHAHADA KWA KIDATO CHA NNE MASOMO YA SAYANSI/ HISABATI NA ENGLISH: MUDA MIAKA 3 Ualimu wa masomo ya Sayansi/Hisabati na English katika vyuo vya Butimba, Morogoro, Korogwe, Songea na Mpwapwa
Mwombaji awe amehitimu: Kidato cha IV kati ya
mwaka 2004 na 2013
na awe na ufaulu wa
Daraja la Kwanza hadi
la Tatu, na Credit mbili
(yaani A, B+, B au C) katika masomo ya Sayansi, Hisabati na Kiingereza.
Ona pia na hapa;
MAFUNZO YA UALIMU TARAJALI STASHAHADA ELIMU YA MSINGI: MUDA MIAKA 3) Ualimu wa Stashahada ya Elimu ya Msingi katika chuo cha Vikindu
Mwombaji awe: Amehitimu Kidato cha
IV kati ya mwaka 2004
na 2013 wenye ufaulu
wa Daraja la I Daraja la
Tatu katika Mtihani
uliofanyika katika kikao kimoja.
Tanbihi: Kipaumbe
le
kitatolew
a kwa
waombaji
waliofaul u
masomo
ya Mathe matics, Biology, Physics, Chemistr y, Agric ulture, Food and Nutrition , English na Kiswahili na
wahitimu
wenye
mahitaji
maalumu.
Swali langu;
je mtu akipata hiyo diploma anaweza kufundisha sekondari na je kama akifundisha msingi atapata mshahara wa ngazi ya diploma?