Kwa hasira Waacha gesi ya kwenye mabomba wanunua ya mgando LNG kutoka huko huko

Kwa hasira Waacha gesi ya kwenye mabomba wanunua ya mgando LNG kutoka huko huko

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Katika mwezi Oktoba pekee mauzo ya gesi ya Urusi yamepanda kwa asilimia 1.1 kutoka 4.3 ya kabla yake.

Wateja wakubwa wa gesi ya Urusi ni mataifa ya Ulaya karibu yote. Katika kuiunga mkono Ukraine mataifa hayo isipokuwa Bulgaria yaliamua kutonunua gesi ya Urusi inayotiririka kwenye mtandao mpana wa mabomba na badala yake wakasema watanunua gesi ya mgando LNG ambayo husafirishwa kwa meli.

Sehemu kubwa ya gesi hiyo ni kutoka mataifa ya Algeria na Qattar. Hata hivyo Qattar iliwahi kusema haina gesi ya ziada kuuzia mataifa ya Ulaya na kuacha wateja wake wakubwa wa nchi za Asia.

Katika hali hiyo ya kupanda mauzo ya gesi ya Urusi wataalamu wanahisi gesi ya LNG ya Urusi ikiwa moja ya taifa linalosafirisha nje aina hiyo ya gesi ni kutokana na gesi hiyo kuingia Ulaya kwa njia tofauti na mabomba ya Nard str.1 &2 ambayo ama yamefungwa au yamebomolewa.
 
.....waliamua kutonunua gas ya bomba au bomba lililipuliwa?!
 
Cha msingi super pawer wa mchongo anazidi kuchezea za uso..,hayo mengine ni chai
 
.....waliamua kutonunua gas ya bomba au bomba lililipuliwa?!
Mabomba yalilipuliwa karibuni wakati mkakati wa kutonunua gesi upo zamani.
 
Katika mwezi Oktoba pekee mauzo ya gesi ya Urusi yamepanda kwa asilimia 1.1 kutoka 4.3 ya kabla yake.

Wateja wakubwa wa gesi ya Urusi ni mataifa ya Ulaya karibu yote. Katika kuiunga mkono Ukraine mataifa hayo isipokuwa Bulgaria yaliamua kutonunua gesi ya Urusi inayotiririka kwenye mtandao mpana wa mabomba na badala yake wakasema watanunua gesi ya mgando LNG ambayo husafirishwa kwa meli.

Sehemu kubwa ya gesi hiyo ni kutoka mataifa ya Algeria na Qattar. Hata hivyo Qattar iliwahi kusema haina gesi ya ziada kuuzia mataifa ya Ulaya na kuacha wateja wake wakubwa wa nchi za Asia.

Katika hali hiyo ya kupanda mauzo ya gesi ya Urusi wataalamu wanahisi gesi ya LNG ya Urusi ikiwa moja ya taifa linalosafirisha nje aina hiyo ya gesi ni kutokana na gesi hiyo kuingia Ulaya kwa njia tofauti na mabomba ya Nard str.1 &2 ambayo ama yamefungwa au yamebomolewa.
🤔🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom