Kwa haya mambo 2 natangaza rasmi kuunga mkono January Makamba kukamata kijiti kuongoza Tanzania kuanzia 2030

Kwa haya mambo 2 natangaza rasmi kuunga mkono January Makamba kukamata kijiti kuongoza Tanzania kuanzia 2030

Dunia inakabiliwa na changamoto kuu mbili sasa;

1. Uharibifu wa Mazingira
2. Kujenga uchumi imara katika mazingira magumu

Kwa kuangalia kuanzia mwaka 2030 sioni mwanasiasa mwenye upeo wa kuiongoza Tanzania kupita kwenye changamoto hizi na kushinda zaidi ya January Makamba.

Kwanini January Makamba
1. Akiwa Waziri wa Mazingira alifanikiwa kwa kiwango kikubwa sana kusimamia sera ya kuondosha mifuko ya plastiki ambayo ilikuwa kikwazo kikubwa katika usafi wa Mazingira hapa Tanzania. Akiwa chini ya Rais wa sasa ambaye alikuwa Makamu wa Rais na Msimamizi wa Masuala ya Mazingira January Makamba alifanikiwa kwa asilimia zaidi ya 90 kufanikisha hili. Tanzania ilikuwa safi na ilifanikiwa kuondokana na mifuko ya plastiki chini yake

2. Sasa akiwa Waziri wa Nishati ameanzisha movement ya kuhamasisha nishati mbadala ya Gesi ili kuliokoa Taifa hili ambalo sasa linatishwa kiuchumi kutokana na ukataji mkubwa na uharibifu mkubwa wa misitu unaotokana na matumizi ya kuni na mkaa katika kupikia.

Kwa mambo haya napenda kusema mimi Lord Denning namuunga mkono January Makamba for presidency coming 2030.

Lord Denning
Mwanza
Mkuu, kama hajakutoa kakitu, huwajui wanasiasa.
 
Dunia inakabiliwa na changamoto kuu mbili sasa;

1. Uharibifu wa Mazingira
2. Kujenga uchumi imara katika mazingira magumu

Kwa kuangalia kuanzia mwaka 2030 sioni mwanasiasa mwenye upeo wa kuiongoza Tanzania kupita kwenye changamoto hizi na kushinda zaidi ya January Makamba.

Kwanini January Makamba
1. Akiwa Waziri wa Mazingira alifanikiwa kwa kiwango kikubwa sana kusimamia sera ya kuondosha mifuko ya plastiki ambayo ilikuwa kikwazo kikubwa katika usafi wa Mazingira hapa Tanzania. Akiwa chini ya Rais wa sasa ambaye alikuwa Makamu wa Rais na Msimamizi wa Masuala ya Mazingira January Makamba alifanikiwa kwa asilimia zaidi ya 90 kufanikisha hili. Tanzania ilikuwa safi na ilifanikiwa kuondokana na mifuko ya plastiki chini yake

2. Sasa akiwa Waziri wa Nishati ameanzisha movement ya kuhamasisha nishati mbadala ya Gesi ili kuliokoa Taifa hili ambalo sasa linatishwa kiuchumi kutokana na ukataji mkubwa na uharibifu mkubwa wa misitu unaotokana na matumizi ya kuni na mkaa katika kupikia.

Kwa mambo haya napenda kusema mimi Lord Denning namuunga mkono January Makamba for presidency coming 2030.

Lord Denning
Mwanza
Wewe ni hasara Kwa taifa hili
 
Dunia inakabiliwa na changamoto kuu mbili sasa;

1. Uharibifu wa Mazingira
2. Kujenga uchumi imara katika mazingira magumu

Kwa kuangalia kuanzia mwaka 2030 sioni mwanasiasa mwenye upeo wa kuiongoza Tanzania kupita kwenye changamoto hizi na kushinda zaidi ya January Makamba.

Kwanini January Makamba
1. Akiwa Waziri wa Mazingira alifanikiwa kwa kiwango kikubwa sana kusimamia sera ya kuondosha mifuko ya plastiki ambayo ilikuwa kikwazo kikubwa katika usafi wa Mazingira hapa Tanzania. Akiwa chini ya Rais wa sasa ambaye alikuwa Makamu wa Rais na Msimamizi wa Masuala ya Mazingira January Makamba alifanikiwa kwa asilimia zaidi ya 90 kufanikisha hili. Tanzania ilikuwa safi na ilifanikiwa kuondokana na mifuko ya plastiki chini yake

2. Sasa akiwa Waziri wa Nishati ameanzisha movement ya kuhamasisha nishati mbadala ya Gesi ili kuliokoa Taifa hili ambalo sasa linatishwa kiuchumi kutokana na ukataji mkubwa na uharibifu mkubwa wa misitu unaotokana na matumizi ya kuni na mkaa katika kupikia.

Kwa mambo haya napenda kusema mimi Lord Denning namuunga mkono January Makamba for presidency coming 2030.

Lord Denning
Mwanza
Hivi walikuwa wapi wakati nchi ilipochagua kichaa mmoja akaongoza kampeni ya kukata mamilioni ya miti huko rufiji ili kufanya miradi iliyodublicate gas ya mtwara na lindi ya umeme!
Sasa hivi ni kilio na kusaga meno hakuna maji na umeme utakata Dar siku si nyingi!
 
Hivi walikuwa wapi wakati nchi ilipochagua kichaa mmoja akaongoza kampeni ya kukata mamilioni ya miti huko rufiji ili kufanya miradi iliyodublicate gas ya mtwara na lindi ya umeme!
Sasa hivi ni kilio na kusaga meno hakuna maji na umeme utakata Dar siku si nyingi!
Bado unaugulia maumivu ya cheti feki wewe siyo bure.
 
Mkuu

Hebu jitathmini mbona hata Wewe na Mimi tunafaa!?

Mbona tupo vizuri tu,si tunajua kusoma na kuandika!?

Halafu hatuna historia ya kufungwa gerezani kabisa!!

Mi nashauri tuchukue form ya urais kabisa!!
 
Back
Top Bottom