Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #21
Kampeni gani?January Makamba huyuhuyu? Nani kama idhini ya kuanza kampeni mapema hivi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kampeni gani?January Makamba huyuhuyu? Nani kama idhini ya kuanza kampeni mapema hivi?
Hongera kwa kufauluHicho hicho
Nilifaulu tangu mwaka 2009Hongera kwa kufaulu
Mkuu, kama hajakutoa kakitu, huwajui wanasiasa.Dunia inakabiliwa na changamoto kuu mbili sasa;
1. Uharibifu wa Mazingira
2. Kujenga uchumi imara katika mazingira magumu
Kwa kuangalia kuanzia mwaka 2030 sioni mwanasiasa mwenye upeo wa kuiongoza Tanzania kupita kwenye changamoto hizi na kushinda zaidi ya January Makamba.
Kwanini January Makamba
1. Akiwa Waziri wa Mazingira alifanikiwa kwa kiwango kikubwa sana kusimamia sera ya kuondosha mifuko ya plastiki ambayo ilikuwa kikwazo kikubwa katika usafi wa Mazingira hapa Tanzania. Akiwa chini ya Rais wa sasa ambaye alikuwa Makamu wa Rais na Msimamizi wa Masuala ya Mazingira January Makamba alifanikiwa kwa asilimia zaidi ya 90 kufanikisha hili. Tanzania ilikuwa safi na ilifanikiwa kuondokana na mifuko ya plastiki chini yake
2. Sasa akiwa Waziri wa Nishati ameanzisha movement ya kuhamasisha nishati mbadala ya Gesi ili kuliokoa Taifa hili ambalo sasa linatishwa kiuchumi kutokana na ukataji mkubwa na uharibifu mkubwa wa misitu unaotokana na matumizi ya kuni na mkaa katika kupikia.
Kwa mambo haya napenda kusema mimi Lord Denning namuunga mkono January Makamba for presidency coming 2030.
Lord Denning
Mwanza
Wewe ni hasara Kwa taifa hiliDunia inakabiliwa na changamoto kuu mbili sasa;
1. Uharibifu wa Mazingira
2. Kujenga uchumi imara katika mazingira magumu
Kwa kuangalia kuanzia mwaka 2030 sioni mwanasiasa mwenye upeo wa kuiongoza Tanzania kupita kwenye changamoto hizi na kushinda zaidi ya January Makamba.
Kwanini January Makamba
1. Akiwa Waziri wa Mazingira alifanikiwa kwa kiwango kikubwa sana kusimamia sera ya kuondosha mifuko ya plastiki ambayo ilikuwa kikwazo kikubwa katika usafi wa Mazingira hapa Tanzania. Akiwa chini ya Rais wa sasa ambaye alikuwa Makamu wa Rais na Msimamizi wa Masuala ya Mazingira January Makamba alifanikiwa kwa asilimia zaidi ya 90 kufanikisha hili. Tanzania ilikuwa safi na ilifanikiwa kuondokana na mifuko ya plastiki chini yake
2. Sasa akiwa Waziri wa Nishati ameanzisha movement ya kuhamasisha nishati mbadala ya Gesi ili kuliokoa Taifa hili ambalo sasa linatishwa kiuchumi kutokana na ukataji mkubwa na uharibifu mkubwa wa misitu unaotokana na matumizi ya kuni na mkaa katika kupikia.
Kwa mambo haya napenda kusema mimi Lord Denning namuunga mkono January Makamba for presidency coming 2030.
Lord Denning
Mwanza
Sina njaa hizoMkuu, kama hajakutoa kakitu, huwajui wanasiasa.
Wewe ni hasara Kwa taifa hili
HOVYO SANA
HANA MAAJABU YOYOTE CHAWA ULIELETA HUU UZI FUTA HARAKA NA KAMA NI JANU MWENYEWE UNAJIFAGILIA UMECHEMKA HAKUNA ANAEKUTAKA KWA TAARIFA YAKO
Hivi walikuwa wapi wakati nchi ilipochagua kichaa mmoja akaongoza kampeni ya kukata mamilioni ya miti huko rufiji ili kufanya miradi iliyodublicate gas ya mtwara na lindi ya umeme!Dunia inakabiliwa na changamoto kuu mbili sasa;
1. Uharibifu wa Mazingira
2. Kujenga uchumi imara katika mazingira magumu
Kwa kuangalia kuanzia mwaka 2030 sioni mwanasiasa mwenye upeo wa kuiongoza Tanzania kupita kwenye changamoto hizi na kushinda zaidi ya January Makamba.
Kwanini January Makamba
1. Akiwa Waziri wa Mazingira alifanikiwa kwa kiwango kikubwa sana kusimamia sera ya kuondosha mifuko ya plastiki ambayo ilikuwa kikwazo kikubwa katika usafi wa Mazingira hapa Tanzania. Akiwa chini ya Rais wa sasa ambaye alikuwa Makamu wa Rais na Msimamizi wa Masuala ya Mazingira January Makamba alifanikiwa kwa asilimia zaidi ya 90 kufanikisha hili. Tanzania ilikuwa safi na ilifanikiwa kuondokana na mifuko ya plastiki chini yake
2. Sasa akiwa Waziri wa Nishati ameanzisha movement ya kuhamasisha nishati mbadala ya Gesi ili kuliokoa Taifa hili ambalo sasa linatishwa kiuchumi kutokana na ukataji mkubwa na uharibifu mkubwa wa misitu unaotokana na matumizi ya kuni na mkaa katika kupikia.
Kwa mambo haya napenda kusema mimi Lord Denning namuunga mkono January Makamba for presidency coming 2030.
Lord Denning
Mwanza
Bado unaugulia maumivu ya cheti feki wewe siyo bure.Hivi walikuwa wapi wakati nchi ilipochagua kichaa mmoja akaongoza kampeni ya kukata mamilioni ya miti huko rufiji ili kufanya miradi iliyodublicate gas ya mtwara na lindi ya umeme!
Sasa hivi ni kilio na kusaga meno hakuna maji na umeme utakata Dar siku si nyingi!
Sijatumwa na mtu. Ni uhuru wa mawazo tuSidhani kama hata kakutuma.
Acha kuwanga mchana cheo chake cha mwisho ni hicho alichopewa na Rais Samia ....muda utaongeaAcha makasiriko
Acha makasiriko
Nimekuzidi wewe ukichanganya na huyo shaba wako aliyetumbukizwa kwenye mchanga!Bado unaugulia maumivu ya cheti feki wewe siyo bure.
Ok, ila bado unaugulia maumivu😅😅Nimekuzidi wewe ukichanganya na huyo shaba wako aliyetumbukizwa kwenye mchanga!
Mfuate ukajichimbie pembeni labda ataendelea kukuondolea huo muwashoOk, ila bado unaugulia maumivu😅😅
Depression mbaya mkuu.Mfuate ukajichimbie pembeni labda ataendelea kukuondolea huo muwasho