Kwa haya mazingira ya pre match, Coastal vs Simba sio ya kukalia kimya katika mpira wetu

Kwa haya mazingira ya pre match, Coastal vs Simba sio ya kukalia kimya katika mpira wetu

NITAKUKAMATA TU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2021
Posts
347
Reaction score
432
Kiukweli tunapokuwa tunajinasibu kuwa mpira wetu umekua, tujitahidi kuendana na maneno yetu kiuhalisia, kiukweli mazingira kama haya ya pre match meeting ni aibu na kushangaza TFF na bodi ya ligi msilikalie kimya, ni aibu.


FB_IMG_16493445530716682.jpg
 
Kumbe raba over size bado zipo[emoji23][emoji28]
 
Ni kutudhalilisha kimataifa sisi mabilionea wa Simba. Hiyo sio hadhi yetu bana.
 
Meza ya mwl mkuu sm kwamalamba .🏃🏃🏃🏃🏃
 
Back
Top Bottom