Kwa haya, Nyerere alitawaliwa na ubinafsi

Kwa haya, Nyerere alitawaliwa na ubinafsi

DARKMAN

Senior Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
122
Reaction score
85
Nyerere alikuwa anajua katiba haijakaa vizuri inampa madaraka makubwa raisi kiasi anaweza kuwa dictator lakini hakutaka kubadilisha katiba ambayo ingewapa madaraka wananchi ili raisi yoyote atakayeingia asiwe dictator.

Nyerere kwa kuiacha katiba ambayo yeye mwenyewe alijuwa ni ya kidictator, Nyerere alikuwa DICTATOR na alipenda udictator period (hana sifa za kuitwa baba wa taifa)

Nyerere alijuwa umuhimu wa elimu lakini hakupenda wasomi wawe wengi ndio maana haku invest sana kwenye elimu ya juu.

Hili linaelezwa na wengi kuwa wasomi wengi waliokuwepo wakati huo walikuwa wanamchallengi nyerere katika mitazamo na itikadi zake kama akina kambona.

Nyerere aliwaogopa wasomi kwa sababu tu ya kupenda madaraka na kutopenda mawazo tofauti na yake ndio maana wakati wake kulikuwa na usemi wa zidumu fikra zake.

Nyerere alijua kuwa ili nchi iendelee inahitaji kuwekeza kwenye elimu ili wasomi waje walete mapinduzi kwenye kilimo viwanda na sector nyingine kama madini lakini alijua riski ya kuwa na wasomi wengi wangemchallengi kwenye sera na utawala wake.

kwa hiyo alipopima maslahi yake against maslahi ya nchi, akaona afadhali alinde maslahi yake, na ndio maana alitawala miaka 23. yeye mwenyewe alisema madini yasichimbwe mpaka tutakapokuwa na uwezo wa kuchimba wenyewe, mbona huo uwezo hakuujenga mpaka anaondoka.

alitegemea nani aje ajenge huo uwezo aweke mamlaka yake mashakani.

bottom line is this: Nyerere naye ni mbinafsi kama wengine ila watu wengi kwa sababu ya uelewa mdogo na kipimo kikubwa cha ubinafsi kinachojulikana na jamii ni kuhodhi mali, nyerere alifanikiwa kupenya kwenye chujio la ubinafsi kwa sababu ya kutojilimbikizia mali.

KUTOKUWA MBINAFSI NI ZAIDI YA KUTOJILIMBIKIZIA MALI, kujilimbikizia madaraka ya wewe kuteua mawaziri,wakuu wa majeshi,mikoa,wilaya,mashirika ya uma, nk ni ubinafisi mbaya kuliko wa mali.

Jana wenzetu kenya walikuwa wanawafanyia televised interview watu walioomba nafasi ya IGP na deputies wa polisi. hii ni level nyingine, IGP atakayepita hapa kwenye interview hawezi kumpigia simu eti kamuhanda awakatalie chadema kufanya mikutano. Yaani hadi natamani kuhamia kenya.
 
mkuu nimeisoma vzur thread yako, i may not b perfect, bt lets examine the facts.. kuhusu elimu ya juu.. hao waliowekeza huko, ultimate end yake ni nini? joblec? poor edu? watu waliosoma kipind chake hil wanaweza lieleza vzur. 2. suala la katiba, angekuwa rais DHAIF wala asingesema maneno hayo, wala wengi we2 tusingejua hayo., tujiulize ni kiongoz gani anaesomesha watoto wake shule za kata?? ni kiongoz gani mbinafsi kama unavosema nyerere hakuwataftia wanae na nduguze ulaj wa maana ikulu, bot nk, ni kiongoz gani aliyetoa elimu bure? tuelezane tu mkuu! na ni kiongoz gan mbinafs hajeng kwao?? hata vijisent? af kuhusu ku2mia..wasomi., me naona jamaa aliona majamaa waliosoma sana wanakuwaga na vurugu za maono, mf. kina bana na wengine.. , hata hivyo wabobez weng wanakuwaga mo theoretical.., easier said than done, hata hivyo mwal alituachia vwanda, kahawa na pamba! em jiulize huyo mbnafs mzur hvo nani? huko kenya unakotaka kwenda 2\3 ya kenya ni ya kina kenyata, raila na kina kibak, iliyobk jangwa..., im sory.
 
Umeshindwa kujenga hoja zenye uzito...
Kwa kawaida mwalimu anayemfundisha mtoto kuanza kusoma na kuandika ni bora kuliko professor anayekutunuku degree...
 
Nyerere alikuwa anajua katiba haijakaa vizuri inampa madaraka makubwa raisi kiasi anaweza kuwa dictator lakini hakutaka kubadilisha katiba ambayo ingewapa madaraka wananchi ili raisi yoyote atakayeingia asiwe dictator. Nyerere kwa kuiacha katiba ambayo yeye mwenyewe alijuwa ni ya kidictator, Nyerere alikuwa DICTATOR na alipenda udictator period (hana sifa za kuitwa baba wa taifa)

Nyerere alijuwa umuhimu wa elimu lakini hakupenda wasomi wawe wengi ndio maana haku invest sana kwenye elimu ya juu. Hili linaelezwa na wengi kuwa wasomi wengi waliokuwepo wakati huo walikuwa wanamchallengi nyerere katika mitazamo na itikadi zake kama akina kambona. Nyerere aliwaogopa wasomi kwa sababu tu ya kupenda madaraka na kutopenda mawazo tofauti na yake ndio maana wakati wake kulikuwa na usemi wa zidumu fikra zake. Nyerere alijua kuwa ili nchi iendelee inahitaji kuwekeza kwenye elimu ili wasomi waje walete mapinduzi kwenye kilimo viwanda na sector nyingine kama madini lakini alijua riski ya kuwa na wasomi wengi wangemchallengi kwenye sera na utawala wake. kwa hiyo alipopima maslahi yake against maslahi ya nchi, akaona afadhali alinde maslahi yake, na ndio maana alitawala miaka 23. yeye mwenyewe alisema madini yasichimbwe mpaka tutakapokuwa na uwezo wa kuchimba wenyewe, mbona huo uwezo hakuujenga mpaka anaondoka. alitegemea nani aje ajenge huo uwezo aweke mamlaka yake mashakani.

bottom line is this: Nyerere naye ni mbinafsi kama wengine ila watu wengi kwa sababu ya uelewa mdogo na kipimo kikubwa cha ubinafsi kinachojulikana na jamii ni kuhodhi mali, nyerere alifanikiwa kupenya kwenye chujio la ubinafsi kwa sababu ya kutojilimbikizia mali. KUTOKUWA MBINAFSI NI ZAIDI YA KUTOJILIMBIKIZIA MALI, kujilimbikizia madaraka ya wewe kuteua mawaziri,wakuu wa majeshi,mikoa,wilaya,mashirika ya uma, nk ni ubinafisi mbaya kuliko wa mali.

Jana wenzetu kenya walikuwa wanawafanyia televised interview watu walioomba nafasi ya IGP na deputies wa polisi. hii ni level nyingine, IGP atakayepita hapa kwenye interview hawezi kumpigia simu eti kamuhanda awakatalie chadema kufanya mikutano. Yaani hadi natamani kuhamia kenya.

He has been died for a significant number of years now, what's your point? Assuming ulichosema ni kweli, unataka arudi ku-rectify "makosa" yake? Bearing in mind kuwa aliacha uraisi kwa hiari yake ili kupisha wengine wa-improve his shortcomings (and remember he admitted that he was'nt perfect), so what have been done with his successors to rectify all those said shortcomings?
 
Tuoneshe mali ya nyerere iliyotokana na ubinafsi wake, unasema alihodhi madaraka, hivi ni wewe ulimtoa madarakani? Si alitoka mwenyewe! Au kulikuwa na uchaguzi akashindwa?

Unasema hakutaka tuchimbe madini hadi tuwe na uwezo ambao mpaka leo hatuna, ina maana mlitakaje? Nyerere awatawale milele kwa sababu hamna uwezo wa kuanzia alipoishia,

Tengeneza makala nyingine kuthibitisha nyerere alikuwa mbinafsi.
 
Boke Mnanka, Joseph Warioba, Joseph Butiku ndani ya state house at per. Jiulize huo sio undugunization? lkn bado alikuwa imara na hakuna mtu aliyemzingua kwahiyo sikubaliani nawewe.
 
mkuu nimeisoma vzur thread yako, i may not b perfect, bt lets examine the facts.. kuhusu elimu ya juu.. hao waliowekeza huko, ultimate end yake ni nini? joblec? poor edu? watu waliosoma kipind chake hil wanaweza lieleza vzur. 2. suala la katiba, angekuwa rais DHAIF wala asingesema maneno hayo, wala wengi we2 tusingejua hayo., tujiulize ni kiongoz gani anaesomesha watoto wake shule za kata?? ni kiongoz gani mbinafsi kama unavosema nyerere hakuwataftia wanae na nduguze ulaj wa maana ikulu, bot nk, ni kiongoz gani aliyetoa elimu bure? tuelezane tu mkuu! na ni kiongoz gan mbinafs hajeng kwao?? hata vijisent? af kuhusu ku2mia..wasomi., me naona jamaa aliona majamaa waliosoma sana wanakuwaga na vurugu za maono, mf. kina bana na wengine.. , hata hivyo wabobez weng wanakuwaga mo theoretical.., easier said than done, hata hivyo mwal alituachia vwanda, kahawa na pamba! em jiulize huyo mbnafs mzur hvo nani? huko kenya unakotaka kwenda 2\3 ya kenya ni ya kina kenyata, raila na kina kibak, iliyobk jangwa..., im sory.

Mkuu, this guy is pathetically hopeless mentally! He is guided by emotions against certain sections of our communities, hata umueleweshe vipi hataelewa by choice!
 
Kuna msemo mmoja huwa unasema kuwa, TUSIWASIMANGE NA KUWASEMA WALIOKWISHKUFA! RIP NYERERE
 
Your body is alive but your head is dead.
Rip-big but dully thinker
 
Nyerere alikuwa anajua katiba haijakaa vizuri inampa madaraka makubwa raisi kiasi anaweza kuwa dictator lakini hakutaka kubadilisha katiba ambayo ingewapa madaraka wananchi ili raisi yoyote atakayeingia asiwe dictator. Nyerere kwa kuiacha katiba ambayo yeye mwenyewe alijuwa ni ya kidictator, Nyerere alikuwa DICTATOR na alipenda udictator period (hana sifa za kuitwa baba wa taifa)

Nyerere alijuwa umuhimu wa elimu lakini hakupenda wasomi wawe wengi ndio maana haku invest sana kwenye elimu ya juu. Hili linaelezwa na wengi kuwa wasomi wengi waliokuwepo wakati huo walikuwa wanamchallengi nyerere katika mitazamo na itikadi zake kama akina kambona. Nyerere aliwaogopa wasomi kwa sababu tu ya kupenda madaraka na kutopenda mawazo tofauti na yake ndio maana wakati wake kulikuwa na usemi wa zidumu fikra zake. Nyerere alijua kuwa ili nchi iendelee inahitaji kuwekeza kwenye elimu ili wasomi waje walete mapinduzi kwenye kilimo viwanda na sector nyingine kama madini lakini alijua riski ya kuwa na wasomi wengi wangemchallengi kwenye sera na utawala wake. kwa hiyo alipopima maslahi yake against maslahi ya nchi, akaona afadhali alinde maslahi yake, na ndio maana alitawala miaka 23. yeye mwenyewe alisema madini yasichimbwe mpaka tutakapokuwa na uwezo wa kuchimba wenyewe, mbona huo uwezo hakuujenga mpaka anaondoka. alitegemea nani aje ajenge huo uwezo aweke mamlaka yake mashakani.

bottom line is this: Nyerere naye ni mbinafsi kama wengine ila watu wengi kwa sababu ya uelewa mdogo na kipimo kikubwa cha ubinafsi kinachojulikana na jamii ni kuhodhi mali, nyerere alifanikiwa kupenya kwenye chujio la ubinafsi kwa sababu ya kutojilimbikizia mali. KUTOKUWA MBINAFSI NI ZAIDI YA KUTOJILIMBIKIZIA MALI, kujilimbikizia madaraka ya wewe kuteua mawaziri,wakuu wa majeshi,mikoa,wilaya,mashirika ya uma, nk ni ubinafisi mbaya kuliko wa mali.

Jana wenzetu kenya walikuwa wanawafanyia televised interview watu walioomba nafasi ya IGP na deputies wa polisi. hii ni level nyingine, IGP atakayepita hapa kwenye interview hawezi kumpigia simu eti kamuhanda awakatalie chadema kufanya mikutano. Yaani hadi natamani kuhamia kenya.
Kuhusu Elimu nadhani wewe si Mtanzania labda hii Nchi umeingia Juzi na huna hata Ndugu yako Au hats Jirani yako aliyesomeshwa bure Kutoka darasa la kwanza hadi Chuo Kikuu. Enzi hizo Nyerere anaingia madarakani Shule zilikuwa chache sana na hata mwamko wa Shule ulikuwa mdogo. La Elimu unamlaumu bure.
 
umetumwa na Ridhiwan nini au umepotea njia ulikua unawatumia sms wadogo zako ikaja huku Mwl Nyerere atabaki kuwa baba wa taifa wivu unakusumbua kwa sababu baba yako hakupata hii chance.R.I.P mwl
 
Nyerere alikuwa anajua katiba haijakaa vizuri inampa madaraka makubwa raisi kiasi anaweza kuwa dictator lakini hakutaka kubadilisha katiba ambayo ingewapa madaraka wananchi ili raisi yoyote atakayeingia asiwe dictator. Nyerere kwa kuiacha katiba ambayo yeye mwenyewe alijuwa ni ya kidictator, Nyerere alikuwa DICTATOR na alipenda udictator period (hana sifa za kuitwa baba wa taifa)

Nyerere alijuwa umuhimu wa elimu lakini hakupenda wasomi wawe wengi ndio maana haku invest sana kwenye elimu ya juu. Hili linaelezwa na wengi kuwa wasomi wengi waliokuwepo wakati huo walikuwa wanamchallengi nyerere katika mitazamo na itikadi zake kama akina kambona. Nyerere aliwaogopa wasomi kwa sababu tu ya kupenda madaraka na kutopenda mawazo tofauti na yake ndio maana wakati wake kulikuwa na usemi wa zidumu fikra zake. Nyerere alijua kuwa ili nchi iendelee inahitaji kuwekeza kwenye elimu ili wasomi waje walete mapinduzi kwenye kilimo viwanda na sector nyingine kama madini lakini alijua riski ya kuwa na wasomi wengi wangemchallengi kwenye sera na utawala wake. kwa hiyo alipopima maslahi yake against maslahi ya nchi, akaona afadhali alinde maslahi yake, na ndio maana alitawala miaka 23. yeye mwenyewe alisema madini yasichimbwe mpaka tutakapokuwa na uwezo wa kuchimba wenyewe, mbona huo uwezo hakuujenga mpaka anaondoka. alitegemea nani aje ajenge huo uwezo aweke mamlaka yake mashakani.

bottom line is this: Nyerere naye ni mbinafsi kama wengine ila watu wengi kwa sababu ya uelewa mdogo na kipimo kikubwa cha ubinafsi kinachojulikana na jamii ni kuhodhi mali, nyerere alifanikiwa kupenya kwenye chujio la ubinafsi kwa sababu ya kutojilimbikizia mali. KUTOKUWA MBINAFSI NI ZAIDI YA KUTOJILIMBIKIZIA MALI, kujilimbikizia madaraka ya wewe kuteua mawaziri,wakuu wa majeshi,mikoa,wilaya,mashirika ya uma, nk ni ubinafisi mbaya kuliko wa mali.

Jana wenzetu kenya walikuwa wanawafanyia televised interview watu walioomba nafasi ya IGP na deputies wa polisi. hii ni level nyingine, IGP atakayepita hapa kwenye interview hawezi kumpigia simu eti kamuhanda awakatalie chadema kufanya mikutano. Yaani hadi natamani kuhamia kenya.

Hiyo ya Kenya kuwahoji wanaowania u IGP Ni wakati wa Nyerere Au wa nani. Kenya unaongelea ya leo ya Nyerere unaongelea Enzi hizo. Linganisha nyakati vinginevyo utakuwa unaonekana Kama umetoka Mirembe
 
Nyerere alikuwa anajua katiba haijakaa vizuri inampa madaraka makubwa raisi kiasi anaweza kuwa dictator lakini hakutaka kubadilisha katiba ambayo ingewapa madaraka wananchi ili raisi yoyote atakayeingia asiwe dictator. Nyerere kwa kuiacha katiba ambayo yeye mwenyewe alijuwa ni ya kidictator, Nyerere alikuwa DICTATOR na alipenda udictator period (hana sifa za kuitwa baba wa taifa)

Nyerere alijuwa umuhimu wa elimu lakini hakupenda wasomi wawe wengi ndio maana haku invest sana kwenye elimu ya juu. Hili linaelezwa na wengi kuwa wasomi wengi waliokuwepo wakati huo walikuwa wanamchallengi nyerere katika mitazamo na itikadi zake kama akina kambona. Nyerere aliwaogopa wasomi kwa sababu tu ya kupenda madaraka na kutopenda mawazo tofauti na yake ndio maana wakati wake kulikuwa na usemi wa zidumu fikra zake. Nyerere alijua kuwa ili nchi iendelee inahitaji kuwekeza kwenye elimu ili wasomi waje walete mapinduzi kwenye kilimo viwanda na sector nyingine kama madini lakini alijua riski ya kuwa na wasomi wengi wangemchallengi kwenye sera na utawala wake. kwa hiyo alipopima maslahi yake against maslahi ya nchi, akaona afadhali alinde maslahi yake, na ndio maana alitawala miaka 23. yeye mwenyewe alisema madini yasichimbwe mpaka tutakapokuwa na uwezo wa kuchimba wenyewe, mbona huo uwezo hakuujenga mpaka anaondoka. alitegemea nani aje ajenge huo uwezo aweke mamlaka yake mashakani.

bottom line is this: Nyerere naye ni mbinafsi kama wengine ila watu wengi kwa sababu ya uelewa mdogo na kipimo kikubwa cha ubinafsi kinachojulikana na jamii ni kuhodhi mali, nyerere alifanikiwa kupenya kwenye chujio la ubinafsi kwa sababu ya kutojilimbikizia mali. KUTOKUWA MBINAFSI NI ZAIDI YA KUTOJILIMBIKIZIA MALI, kujilimbikizia madaraka ya wewe kuteua mawaziri,wakuu wa majeshi,mikoa,wilaya,mashirika ya uma, nk ni ubinafisi mbaya kuliko wa mali.

Jana wenzetu kenya walikuwa wanawafanyia televised interview watu walioomba nafasi ya IGP na deputies wa polisi. hii ni level nyingine, IGP atakayepita hapa kwenye interview hawezi kumpigia simu eti kamuhanda awakatalie chadema kufanya mikutano. Yaani hadi natamani kuhamia kenya.

Na kweli hata jina lako linakueleza wewe ni mtu wa namna gani darkman aka mtu wa giza
 
2na viongoz waxom weng hapa nchn,je wamefanya nin.?wameleta mapinduz gan.?
 
Nyerere alikuwa anajua katiba haijakaa vizuri inampa madaraka makubwa raisi kiasi anaweza kuwa dictator lakini hakutaka kubadilisha katiba ambayo ingewapa madaraka wananchi ili raisi yoyote atakayeingia asiwe dictator. Nyerere kwa kuiacha katiba ambayo yeye mwenyewe alijuwa ni ya kidictator, Nyerere alikuwa DICTATOR na alipenda udictator period (hana sifa za kuitwa baba wa taifa)

Nyerere alijuwa umuhimu wa elimu lakini hakupenda wasomi wawe wengi ndio maana haku invest sana kwenye elimu ya juu. Hili linaelezwa na wengi kuwa wasomi wengi waliokuwepo wakati huo walikuwa wanamchallengi nyerere katika mitazamo na itikadi zake kama akina kambona. Nyerere aliwaogopa wasomi kwa sababu tu ya kupenda madaraka na kutopenda mawazo tofauti na yake ndio maana wakati wake kulikuwa na usemi wa zidumu fikra zake. Nyerere alijua kuwa ili nchi iendelee inahitaji kuwekeza kwenye elimu ili wasomi waje walete mapinduzi kwenye kilimo viwanda na sector nyingine kama madini lakini alijua riski ya kuwa na wasomi wengi wangemchallengi kwenye sera na utawala wake. kwa hiyo alipopima maslahi yake against maslahi ya nchi, akaona afadhali alinde maslahi yake, na ndio maana alitawala miaka 23. yeye mwenyewe alisema madini yasichimbwe mpaka tutakapokuwa na uwezo wa kuchimba wenyewe, mbona huo uwezo hakuujenga mpaka anaondoka. alitegemea nani aje ajenge huo uwezo aweke mamlaka yake mashakani.

bottom line is this: Nyerere naye ni mbinafsi kama wengine ila watu wengi kwa sababu ya uelewa mdogo na kipimo kikubwa cha ubinafsi kinachojulikana na jamii ni kuhodhi mali, nyerere alifanikiwa kupenya kwenye chujio la ubinafsi kwa sababu ya kutojilimbikizia mali. KUTOKUWA MBINAFSI NI ZAIDI YA KUTOJILIMBIKIZIA MALI, kujilimbikizia madaraka ya wewe kuteua mawaziri,wakuu wa majeshi,mikoa,wilaya,mashirika ya uma, nk ni ubinafisi mbaya kuliko wa mali.

Jana wenzetu kenya walikuwa wanawafanyia televised interview watu walioomba nafasi ya IGP na deputies wa polisi. hii ni level nyingine, IGP atakayepita hapa kwenye interview hawezi kumpigia simu eti kamuhanda awakatalie chadema kufanya mikutano. Yaani hadi natamani kuhamia kenya.


Yeah, NDIO MAANA alikimbiza PESA USWISI...
Na kuhakikisha FAMILIA yake yoote IKO NDANI YA CCM-NEC
Na PIA kusafiri nje ya nchi bila SABABU za MSINGI... na PIA kuvunja NGUZO za VIONGOZi na kubakisha wawe MAFISADI
Na PIA KULIVUNJA JKT kusaidia WANAE waingie kwenye SIASA za CCM
Na PIA kuuza VIWANDA vyote vya SERIKALI vilivyokuwa VINAAJIRI wananchi wake...

HUYO NDIO DIKTETA kwako Hakuendekeza UDINI; UKAILA; UBINAFSI; UDINI - VIONGOZI wa SASA ndio sio MADIKTETA?


 
Kuhusu Elimu nadhani wewe si Mtanzania labda hii Nchi umeingia Juzi na huna hata Ndugu yako Au hats Jirani yako aliyesomeshwa bure Kutoka darasa la kwanza hadi Chuo Kikuu. Enzi hizo Nyerere anaingia madarakani Shule zilikuwa chache sana na hata mwamko wa Shule ulikuwa mdogo. La Elimu unamlaumu bure.

mkuu wangu huyu ***** ni products za vyuo uchwara ambavyo vimeibuka kama uyoga miaka ya karibuni.
 
Umeshindwa kujenga hoja zenye uzito...
Kwa kawaida mwalimu anayemfundisha mtoto kuanza kusoma na kuandika ni bora kuliko professor anayekutunuku degree...



Kha ha ha ha ha ha ha ha haaaaa!
 
uhuru wa kutoa maoni unawafanya watu waje na porojo rahisi kwenye majukwaa ya watu wenye high thinking... Hizi ni porojo za vijiweni na ndio maana umeshindwa kuleta hoja nzito za kutuaminisha angalau kwa muda kile unachodhani.... Kajipange uje upya...
 
Nyerere alikuwa anajua katiba haijakaa vizuri inampa madaraka makubwa raisi kiasi anaweza kuwa dictator lakini hakutaka kubadilisha katiba ambayo ingewapa madaraka wananchi ili raisi yoyote atakayeingia asiwe dictator. Nyerere kwa kuiacha katiba ambayo yeye mwenyewe alijuwa ni ya kidictator, Nyerere alikuwa DICTATOR na alipenda udictator period (hana sifa za kuitwa baba wa taifa)

Nyerere alijuwa umuhimu wa elimu lakini hakupenda wasomi wawe wengi ndio maana haku invest sana kwenye elimu ya juu. Hili linaelezwa na wengi kuwa wasomi wengi waliokuwepo wakati huo walikuwa wanamchallengi nyerere katika mitazamo na itikadi zake kama akina kambona. Nyerere aliwaogopa wasomi kwa sababu tu ya kupenda madaraka na kutopenda mawazo tofauti na yake ndio maana wakati wake kulikuwa na usemi wa zidumu fikra zake. Nyerere alijua kuwa ili nchi iendelee inahitaji kuwekeza kwenye elimu ili wasomi waje walete mapinduzi kwenye kilimo viwanda na sector nyingine kama madini lakini alijua riski ya kuwa na wasomi wengi wangemchallengi kwenye sera na utawala wake. kwa hiyo alipopima maslahi yake against maslahi ya nchi, akaona afadhali alinde maslahi yake, na ndio maana alitawala miaka 23. yeye mwenyewe alisema madini yasichimbwe mpaka tutakapokuwa na uwezo wa kuchimba wenyewe, mbona huo uwezo hakuujenga mpaka anaondoka. alitegemea nani aje ajenge huo uwezo aweke mamlaka yake mashakani.

bottom line is this: Nyerere naye ni mbinafsi kama wengine ila watu wengi kwa sababu ya uelewa mdogo na kipimo kikubwa cha ubinafsi kinachojulikana na jamii ni kuhodhi mali, nyerere alifanikiwa kupenya kwenye chujio la ubinafsi kwa sababu ya kutojilimbikizia mali. KUTOKUWA MBINAFSI NI ZAIDI YA KUTOJILIMBIKIZIA MALI, kujilimbikizia madaraka ya wewe kuteua mawaziri,wakuu wa majeshi,mikoa,wilaya,mashirika ya uma, nk ni ubinafisi mbaya kuliko wa mali.

Jana wenzetu kenya walikuwa wanawafanyia televised interview watu walioomba nafasi ya IGP na deputies wa polisi. hii ni level nyingine, IGP atakayepita hapa kwenye interview hawezi kumpigia simu eti kamuhanda awakatalie chadema kufanya mikutano. Yaani hadi natamani kuhamia kenya.

Sikumbuki ni hotuba gani ila nakumbuka Nyerere yeye mwenyewe alitamka kwa kinywa chake namnukuu...." KATIKA AWAMU YANGU YAPO NILIYOFANYA YA MAANA YA NA YA KIJINGA,UTAKUWA WA AJABU KAMA UTACHUKUA YALE YA KIJINGA UKAACHA YA MAANA"( Mwisho wa kunukuu) kama kuna mdau atanisahihisha na kuweka vizuri zaidi ikiwa anakumbuka zaidi yangu nitafurahi.


Hapo kwenye nyekundu sina uhakika kama mwanzisha uzi huu amefanya utafiti bayana kwa kuongozwa na hadidu za rejea (Terms of reference). Kwanza, mara zote mimi binafsi nilishakatishwa tamaa na wasomi wetu walio wengi katika kulisaidia Taifa hili, maana wasomi wetu wametekwa nyala na siasa kama sio wanasiasa wenyewe, siku hizi kila kitu kimefanywa kuwa ni bidhaa (commercialized) wasomi wetu wanatumika kisiasa, wasomi wetu wamechangia kwa kiasi kikubwa kulingiiza Taifa hili katika migogoro ama mitafaruku mingi ya kiuchumi, hawa hawa ndo huwa wanafanya tafiti nyingi zenye matokeo ya kuwafurahisha watawala, hawa hawa ndo huangalia mikataba mbalimbali ambayo kimsingi serikali inaingia kwa niaba ya watanzania na hatimaye inaishia kuwa ya kinyonyaji, hawa hawa ndo wameacha majukumu yao ya msingi ya kutoa elimu na matokeo yake wanafanya kazi zao binafsi katika NGO'S zao au wangi wao wamejikita katika ufugaji wa kuku, nguruwe na ng'ombe nenda pale Mlimani, SUA au Mzumbe utakuta mabanda kibao.

Pili, hao hao wasomi waliosomeshwa kwa gharama kubwa na serikali katika awamu ya JK Nyerere, wengi wao leo ndo vinara kwenye tuhuma ya kukwapua mabilioni ya watanzania, wamejilimbikizia mali balaaa! Tulipofikia sasa katika nchi hii hatuoni umuhimu wa msomi aliyebobea katika elimu ya juu kutokana na mambo yanavyofanyika, mikataba yote inasainiwa na wasomi wanasheria lakini mwisho wa siku inafahamika kuna makosa ya kiufundi au ndo kusema wasomi wetu wa sheria ni mbumbumbu?
 
Back
Top Bottom