Kwa haya ya bandari, ni wazi serikali Tatu ni muhimu

Kwa haya ya bandari, ni wazi serikali Tatu ni muhimu

Serikali tatu haziepukiki, tume ya jaji Nyalali na Tume ya Jaji Warioba zote zilithibitisha,
 
Kwa sasa hii sintofahamu iko hivi : Tanzania= zanzibar +jamhuri wa muungano ya Tanzania🙆🙆🙆 hata mwendawazimu anashangaa
 
Ni haki yetu watanganyika kuwa na taifa letu, tuhakikishe tunaliweka juu litambulike kimataifa.
 
Back
Top Bottom