Kwa haya ya Dkt. Mandari, kesi nyingi za kubakwa tusiamini madaktari. Poleni wahanga

Kwa haya ya Dkt. Mandari, kesi nyingi za kubakwa tusiamini madaktari. Poleni wahanga

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Dah inasikitisha sana sanaa

Leoo nimekumbuka mbali sana sana

Mwaka 2017. KUNA mzee MMOJA Arusha alimkatalia Binti yake kuolewa na mfanyabiashara MMOJA


Baadae Binti akapata mimba akaenda MAHAKAMAN akasema baba yake kampa mimba ana 67

Familia airlewe a Wala z

Mzee akabebwa akafunguliwa mashatka wakamfunga 30

WAPENDWA taasisi kadhaa xikaingilia kati zikafanya uhakiki WA mzee na maelezo yake

Ndugu wakamhoji sana mtoto una HAKIKA ndio alinibaka

Vipimo hospital vikaonyeshwa Binti alibakwa

BAADA ya Mwaka yule mzee akashinda rufaa akatoka

Aliporudi akamkuta mwanae ana mjukuuuu

Akaitwa NDUGU familia wakaita mbuzi na ngombe MMOJA wakamchinja..wakati wanachinja mwanamke alitonywa wahi ukamwombe msamaha babayako bahati mbaya msamaha hutoka kabla ya kuchinja

Baba alipomwona mwanae aliomba aondokee eneo lile NDUGU wakamtoa resi sana kwa viboko akakimbia

Kazi ikafanyika...ndani ya mwezi MMOJA mjukuu kaenda

Ndugu WA mwanaume wakaenda na ngombe kadhaa KUOMBA radhi na mtoto WA kike mzee anaendlea kusali tu hataki kuona sura ya mtu


Mtoto akiwa ANAKULA Bata na mfanya BIASHARA wakaenda club wakati WA kurudi wakapata ajali mbaya sana pale ngarinaro..

Mtoto WA kike akafa jamaa WAKAKATA miguu yote.............

Baba Akaombwa ahudhurie mazishi akaweka antenna kama kawaida

JAMAN Mungu fundi fundi kweli

Nini maana yake hii ya Dk MANDARI mkurugenzi kuandika ripoti mbili tofauti kesi ya muuwaji Hamisi

Hii n kumaanisha kumbe Hawa madk HATA kesi za KUBAKWA huwa wanahongwa pesa na kuandika ripoti mtuhumiwa amebakwa kumbe siooooo


HAKIKA hii DHAMBI haitaawaacha ma dk wote WA aina hii na walaaniwe milele na milele ktk maisha yaooo

Imagine unaandika mtu ana ugonjwa akili baadae unaandika n mzimaa we sio chizii??

Huyu angekutana na kesi ya KUBAKWA si anajaza dk 0 anapewa hongo watu wanaumia

Inahuzunisha sana serikali iwe na hospt MAALUM kukagua mambo ya ubakaji na wenye shida ya akili

Hii Hosp anayofanya huyu dk naiogopaa Tena na tenaaa

Dk kama huyu akipewa helà mpige sindano ya miezi sita ya sumu anakumiminia vizuri tu kama ak47

Ee Mungu TUSAIDIE

Poleni wahanga wote mliowekwa NDAN kwa ripoti feki za ma dk
 
Dah inasikitisha sana sanaa

Leoo nimemkumbuka mbali sana sana

Mwaka 2017. KUNA mzee MMOJA Arusha alimkatalia Binti yake kuolewa na mfanyabiashara MMOJA


Baadae Binti akapata mimba akaenda MAHAKAMAN akasema baba yake kampa mimba ana 67

Familia airlewe a Wala z

Mzee akabebwa akafunguliwa mashatka wakamfunga 30

WAPENDWA taasisi kadhaa xikaingilia kati zikafanya uhakiki WA mzee na maelezo yake

Ndugu wakamhoji sana mtoto una HAKIKA ndio alinibaka

Vipimo hospital vikaonyeshwa Binti alibakwa

BAADA ya Mwaka yule mzee akashinda rufaa akatoka

Aliporudi akamkuta mwanae ana mjukuuuu

Akaitwa NDUGU familia wakaita mbuzi na ngombe MMOJA wakamchinja..wakati wanachinja mwanamke alitonywa wahi ukamwombe msamaha babayako bahati mbaya msamaha hutoka kabla ya kuchinja

Baba alipomwona mwanae aliombwa aondokee eneo lile NDUGU wakamtoa resi sana kwa viboko akakimbia

Kazi ikafanyika...ndani ya mwezi MMOJA mjukuu kaenda

Ndugu WA mwanaume wakaenda na ngombe kadhaa KUOMBA radhi na mtoto WA kike mzee anaendlea kusali tu hataki kuona sura ya mtu


Mtoto akiwa ANAKULA Bata na mfanya BIASHARA wakaenda club wakati WA kurudi wakapata ajali mbaya sana pale ngarinaro..

Mtoto WA kike akafa jamaa WAKAKATA miguu yote.............

Baba Akaonbwa ahudhurie mazishi akaweka antenna kama kawaida

JAMAN Mungu fundi fundi kweli

Nini maana yake hii ya Dk MANDARI mkurugenzi kuandika ripoti mbili tofauti kesi ya muuwaji Hamisi

Hii n kumaanisha kumbe Hawa madk HATA kesi za KUBAKWA huwa wanahongwa pesa na kuandika ripoti mtuhumiwa amebakwa kumbe siooooo


HAKIKA hii DHAMBI haitaawaacha ma dk wote WA aina hii na walaaniwe milele na milele ktk maisha yaooo

Imagine unaandika mtu ana ugonjwa akili baadae unaandika n mzimaa we sio chizii??

Huyu angekutana na kesi ya KUBAKWA si anajaza dk 0 anapewa hongo watu wanaumia

Inahuzunisha sana serikali iwe na hospt MAALUM kukagua mambo ya ubakaji na wenye shida ya akili

Hii Hosp anayofanya huyu dk naiogopaa Tena na tenaaa

Dk kama huyu akipewa helà mpigie sindano ya amiezi sita ya sumu anakumiminia vizuri tu kama ak47

Ee Mungu TUSAIDIE

Polenei waganga wote mliowekwa NDAN kwa ripoti feki za ma dk
Daktari wa vichaa lazima uwe kichaa
 
Allah tusaidie hii DUNIA IMEJAA mengi sana sanaa
 

Attachments

  • IMG_1580.png
    IMG_1580.png
    618.6 KB · Views: 1
  • IMG_1576.png
    IMG_1576.png
    1 MB · Views: 1
Sio wote walioko magerezani wana makosa... Wengine wapo huko kwa kusingiziwa
 
Nduguu

Yule Babu WA Arusha alinifungua macho sana

Zamani nilikuwa nampenda kuandika humu kesi za KUBAKWA nikaona namkosea Allah

Hawa sio WATU mkuu MASHETANI

Imagine soma HAPO attachment bila AIBU ati NDUGU walimwambia aende akatetee ripotiyake

GAFLA KAJA na ya Pili

Huyu kilichotokea MAKUBALIANO yalivunjika....inaonekana alihaidiwa pesa ndefu hawakutimixa zote

Mwisho akaamua kuja na part two

Imagine kesi ya KUBAKWA NDUGUYO unakutana na mwehu ANAKUJA na ripoti mbili si unampiga risasi tu myamalize
 
Dah inasikitisha sana sanaa

Leoo nimekumbuka mbali sana sana

Mwaka 2017. KUNA mzee MMOJA Arusha alimkatalia Binti yake kuolewa na mfanyabiashara MMOJA


Baadae Binti akapata mimba akaenda MAHAKAMAN akasema baba yake kampa mimba ana 67

Familia airlewe a Wala z

Mzee akabebwa akafunguliwa mashatka wakamfunga 30

WAPENDWA taasisi kadhaa xikaingilia kati zikafanya uhakiki WA mzee na maelezo yake

Ndugu wakamhoji sana mtoto una HAKIKA ndio alinibaka

Vipimo hospital vikaonyeshwa Binti alibakwa

BAADA ya Mwaka yule mzee akashinda rufaa akatoka

Aliporudi akamkuta mwanae ana mjukuuuu

Akaitwa NDUGU familia wakaita mbuzi na ngombe MMOJA wakamchinja..wakati wanachinja mwanamke alitonywa wahi ukamwombe msamaha babayako bahati mbaya msamaha hutoka kabla ya kuchinja

Baba alipomwona mwanae aliomba aondokee eneo lile NDUGU wakamtoa resi sana kwa viboko akakimbia

Kazi ikafanyika...ndani ya mwezi MMOJA mjukuu kaenda

Ndugu WA mwanaume wakaenda na ngombe kadhaa KUOMBA radhi na mtoto WA kike mzee anaendlea kusali tu hataki kuona sura ya mtu


Mtoto akiwa ANAKULA Bata na mfanya BIASHARA wakaenda club wakati WA kurudi wakapata ajali mbaya sana pale ngarinaro..

Mtoto WA kike akafa jamaa WAKAKATA miguu yote.............

Baba Akaombwa ahudhurie mazishi akaweka antenna kama kawaida

JAMAN Mungu fundi fundi kweli

Nini maana yake hii ya Dk MANDARI mkurugenzi kuandika ripoti mbili tofauti kesi ya muuwaji Hamisi

Hii n kumaanisha kumbe Hawa madk HATA kesi za KUBAKWA huwa wanahongwa pesa na kuandika ripoti mtuhumiwa amebakwa kumbe siooooo


HAKIKA hii DHAMBI haitaawaacha ma dk wote WA aina hii na walaaniwe milele na milele ktk maisha yaooo

Imagine unaandika mtu ana ugonjwa akili baadae unaandika n mzimaa we sio chizii??

Huyu angekutana na kesi ya KUBAKWA si anajaza dk 0 anapewa hongo watu wanaumia

Inahuzunisha sana serikali iwe na hospt MAALUM kukagua mambo ya ubakaji na wenye shida ya akili

Hii Hosp anayofanya huyu dk naiogopaa Tena na tenaaa

Dk kama huyu akipewa helà mpige sindano ya miezi sita ya sumu anakumiminia vizuri tu kama ak47

Ee Mungu TUSAIDIE

Poleni wahanga wote mliowekwa NDAN kwa ripoti feki za ma dk
Mtu kapigwa hadi mimba? Sasa tusiwaamini madr kwa sababu gani? Hizo kesi za kihuni na wahuni wenzenu.
 
Dah inasikitisha sana sanaa

Leoo nimekumbuka mbali sana sana

Mwaka 2017. KUNA mzee MMOJA Arusha alimkatalia Binti yake kuolewa na mfanyabiashara MMOJA


Baadae Binti akapata mimba akaenda MAHAKAMAN akasema baba yake kampa mimba ana 67

Familia airlewe a Wala z

Mzee akabebwa akafunguliwa mashatka wakamfunga 30

WAPENDWA taasisi kadhaa xikaingilia kati zikafanya uhakiki WA mzee na maelezo yake

Ndugu wakamhoji sana mtoto una HAKIKA ndio alinibaka

Vipimo hospital vikaonyeshwa Binti alibakwa

BAADA ya Mwaka yule mzee akashinda rufaa akatoka

Aliporudi akamkuta mwanae ana mjukuuuu

Akaitwa NDUGU familia wakaita mbuzi na ngombe MMOJA wakamchinja..wakati wanachinja mwanamke alitonywa wahi ukamwombe msamaha babayako bahati mbaya msamaha hutoka kabla ya kuchinja

Baba alipomwona mwanae aliomba aondokee eneo lile NDUGU wakamtoa resi sana kwa viboko akakimbia

Kazi ikafanyika...ndani ya mwezi MMOJA mjukuu kaenda

Ndugu WA mwanaume wakaenda na ngombe kadhaa KUOMBA radhi na mtoto WA kike mzee anaendlea kusali tu hataki kuona sura ya mtu


Mtoto akiwa ANAKULA Bata na mfanya BIASHARA wakaenda club wakati WA kurudi wakapata ajali mbaya sana pale ngarinaro..

Mtoto WA kike akafa jamaa WAKAKATA miguu yote.............

Baba Akaombwa ahudhurie mazishi akaweka antenna kama kawaida

JAMAN Mungu fundi fundi kweli

Nini maana yake hii ya Dk MANDARI mkurugenzi kuandika ripoti mbili tofauti kesi ya muuwaji Hamisi

Hii n kumaanisha kumbe Hawa madk HATA kesi za KUBAKWA huwa wanahongwa pesa na kuandika ripoti mtuhumiwa amebakwa kumbe siooooo


HAKIKA hii DHAMBI haitaawaacha ma dk wote WA aina hii na walaaniwe milele na milele ktk maisha yaooo

Imagine unaandika mtu ana ugonjwa akili baadae unaandika n mzimaa we sio chizii??

Huyu angekutana na kesi ya KUBAKWA si anajaza dk 0 anapewa hongo watu wanaumia

Inahuzunisha sana serikali iwe na hospt MAALUM kukagua mambo ya ubakaji na wenye shida ya akili

Hii Hosp anayofanya huyu dk naiogopaa Tena na tenaaa

Dk kama huyu akipewa helà mpige sindano ya miezi sita ya sumu anakumiminia vizuri tu kama ak47

Ee Mungu TUSAIDIE

Poleni wahanga wote mliowekwa NDAN kwa ripoti feki za ma dk
Weka ushahidi wa hiyo story ya huyo mzee aliyefungwa tuihakiki vizuri zaidi. Habari kubwa hiyo lazima itakuwa imeandikwa sehemu.
 
Unamlaumu vipi Dr na yeye anaandika anachokiona? Walaumu polisi na waendesha mashtaka maana ninachojua report ya Dr haisemi ni nani aliyebaka Bali ni mojawapo tu ya kielelezo cha ushahidi.
 
Unamlaumu vipi Dr na yeye anaandika anachokiona? Walaumu polisi na waendesha mashtaka maana ninachojua report ya Dr haisemi ni nani aliyebaka Bali ni mojawapo tu ya kielelezo cha ushahidi.
Yaani Mtu ana mimba zaidi ya miezi kadhaa anakwambia Fulani ndio kanibaka.....unaenda kutafuta ushahidi Hospitali?

🤣🤣🤣🤣.

Kule Dr anachoweza kuthibitisha ni Kama Binti ana mimba au La. Nothing else.
 
Dah inasikitisha sana sanaa

Leoo nimekumbuka mbali sana sana

Mwaka 2017. KUNA mzee MMOJA Arusha alimkatalia Binti yake kuolewa na mfanyabiashara MMOJA


Baadae Binti akapata mimba akaenda MAHAKAMAN akasema baba yake kampa mimba ana 67

Familia airlewe a Wala z

Mzee akabebwa akafunguliwa mashatka wakamfunga 30

WAPENDWA taasisi kadhaa xikaingilia kati zikafanya uhakiki WA mzee na maelezo yake

Ndugu wakamhoji sana mtoto una HAKIKA ndio alinibaka

Vipimo hospital vikaonyeshwa Binti alibakwa

BAADA ya Mwaka yule mzee akashinda rufaa akatoka

Aliporudi akamkuta mwanae ana mjukuuuu

Akaitwa NDUGU familia wakaita mbuzi na ngombe MMOJA wakamchinja..wakati wanachinja mwanamke alitonywa wahi ukamwombe msamaha babayako bahati mbaya msamaha hutoka kabla ya kuchinja

Baba alipomwona mwanae aliomba aondokee eneo lile NDUGU wakamtoa resi sana kwa viboko akakimbia

Kazi ikafanyika...ndani ya mwezi MMOJA mjukuu kaenda

Ndugu WA mwanaume wakaenda na ngombe kadhaa KUOMBA radhi na mtoto WA kike mzee anaendlea kusali tu hataki kuona sura ya mtu


Mtoto akiwa ANAKULA Bata na mfanya BIASHARA wakaenda club wakati WA kurudi wakapata ajali mbaya sana pale ngarinaro..

Mtoto WA kike akafa jamaa WAKAKATA miguu yote.............

Baba Akaombwa ahudhurie mazishi akaweka antenna kama kawaida

JAMAN Mungu fundi fundi kweli

Nini maana yake hii ya Dk MANDARI mkurugenzi kuandika ripoti mbili tofauti kesi ya muuwaji Hamisi

Hii n kumaanisha kumbe Hawa madk HATA kesi za KUBAKWA huwa wanahongwa pesa na kuandika ripoti mtuhumiwa amebakwa kumbe siooooo


HAKIKA hii DHAMBI haitaawaacha ma dk wote WA aina hii na walaaniwe milele na milele ktk maisha yaooo

Imagine unaandika mtu ana ugonjwa akili baadae unaandika n mzimaa we sio chizii??

Huyu angekutana na kesi ya KUBAKWA si anajaza dk 0 anapewa hongo watu wanaumia

Inahuzunisha sana serikali iwe na hospt MAALUM kukagua mambo ya ubakaji na wenye shida ya akili

Hii Hosp anayofanya huyu dk naiogopaa Tena na tenaaa

Dk kama huyu akipewa helà mpige sindano ya miezi sita ya sumu anakumiminia vizuri tu kama ak47

Ee Mungu TUSAIDIE

Poleni wahanga wote mliowekwa NDAN kwa ripoti feki za ma dk
Huyu daktari ni kama kaongwa ,sababu mara ya kwanza kaja na ripoti kusema Mtuhumiwa alitenda kosa akiwa na mental disorder , baadae anageuka tena ,

Mahakama imeona kama anadhalilisha Taaluma na taasisi aliyotoka
 
Wanahongwa kutoa mimba sembuse kuhongwa ili waandike report za Uongo?
MI NDIO MAANA NAWAASA WATU HUMU HATA DNA ACHANENI NAZO ENDELEEN KULEA WATOTO AMA WENU AMA WA WENZENU

WAKATI UKIWAZA KUPIMA MWENZIO ASHAKUWAHI KUFIKA VIPIMO WAKO

SIJUI MNARUDI NYUMBAN AMA LAH..SI WEWE WALA MKE AMFANANI NAE

MWISHO MNARUDI CHUMBA KIMOJA
 
Back
Top Bottom