Kwa haya yanayoendelea, ni dhahiri Rais anapaswa kujiuzulu

Kwa haya yanayoendelea, ni dhahiri Rais anapaswa kujiuzulu

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Haya yanayoendelea yanaonyesha udhaifu na kukosa uwezo wa kiuongozi na kimaono kwa kiongozi. Kama kiongozi makini unatakiwa utumie busara na akili nyingi kudadavua mambo.Kabla ya jambo hili kufika bungeni lilipaswa kumalizwa huko huko.

Hasara ya kufikisha jambo hili bungeni ambapo kuna chawa wengi ni dhahiri kamwe hawawezi kupingana na boss wao! Hivyo ni kama swala hili limeshapitishwa! Kwa kuwa inajulikana hakuna chawa atakayethubutu kumpinga boss! Hata boss akiazimia kuuza ardhi yote ya Tanzania chawa wataunga mkono. Hakuna atakayethubutu kupinga! Nasisitiza hakuna atakayepinga ili kulinda ugali wao!.Sasa ukiwa kama kiongozi unapaswa ulitambue hili.

Ni dhahiri kwa zama hizi hauwezi kupotosha umma wa watanzania na wananchi wakabaki wanatazama pasipo kuchukua hatua.Kwa hali hii na kwa yale yanayoendelea katika mpango huu wa kuikabidhi bandari kwa kampuni ya DP World kutoka Dubai ni wazi kwamba una kila harufu ya rushwa.

Kwanza kabisa mchakato wa kumpata mzabuni ulifanyika lini? Wapi? Ina maana serikali imeshindwa kabisa kusimamia bandari zake mpaka kuwakabidhi waarabu? Hii ni ishara kwamba baada ya miaka 60 ya uhuru CCM haijafanya jambo lolote na inapaswa kuwajibika!
 
Hakuna utaratib huo ndan ya utawala wa CCM!! Mkurugenz au DC na wengine wanafanya madudu, lkn hawajiuzulu wanahamishiwa kwingine!! Ndo ije kua Rais? Thubutu!!
 
Ni dhahiri kwa zama hizi hauwezi kupotosha umma wa watanzania na wananchi wakabaki wanatazama pasipo kuchukua hatua.Kwa hali hii na kwa yale yanayoendelea katika mpango huu wa kuikabidhi bandari kwa kampuni ya DP World kutoka Dubai ni wazi kwamba una kila harufu ya rushwa! Kwanza kabisa mchakato wa kumpata mzabuni ulifanyika lini? Wapi? Ina maana serikali imeshindwa kabisa kusimamia bandari zake mpaka kuwakabidhi waarabu? Hii ni ishara kwamba baada ya miaka 60 ya uhuru CCM haijafanya jambo lolote na inapaswa kuwajibika!
kwa hio tatizo lako kukabidhiwa waarabu ?

wewe hapo unapotosha au unaelimisha ? jee huoni kua unapanda mbegu za ubaguzi ?

TICTS walipokabidhiwa wewe ulisemaje? jee uliwahi kuona makubaliano yao ?
 
Ubaguzi kaanzisha Rais msitulazimishe kuwa wamoja wakati mnatuuzia nchi yetu kwa Waarabu.
kwa hio tatizo lako kukabidhiwa waarabu ?

wewe hapo unapotosha au unaelimisha ? jee huoni kua unapanda mbegu za ubaguzi ?

TICTS walipokabidhiwa wewe ulisemaje? jee uliwahi kuona makubaliano yao ?
 
Haya yanayoendelea yanaonyesha udhaifu na kukosa uwezo wa kiuongozi na kimaono kwa kiongozi.Kama kiongozi makini unatakiwa utumie busara na akili nyingi kudadavua mambo.Kabla ya jambo hili kufika bungeni lilipaswa kumalizwa huko huko! Hasara ya kufikisha jambo hili bungeni ambapo kuna chawa wengi ni dhahiri kamwe hawawezi kupingana na boss wao! Hivyo ni kama swala hili limeshapitishwa! Kwa kuwa inajulikana hakuna chawa atakayethubutu kumpinga boss! Hata boss akiazimia kuuza ardhi yote ya Tanzania chawa wataunga mkono! Hakuna atakayethubutu kupinga! Nasisitiza hakuna atakayepinga ili kulinda ugali wao!.Sasa ukiwa kama kiongozi unapaswa ulitambue hili.

Ni dhahiri kwa zama hizi hauwezi kupotosha umma wa watanzania na wananchi wakabaki wanatazama pasipo kuchukua hatua.Kwa hali hii na kwa yale yanayoendelea katika mpango huu wa kuikabidhi bandari kwa kampuni ya DP World kutoka Dubai ni wazi kwamba una kila harufu ya rushwa! Kwanza kabisa mchakato wa kumpata mzabuni ulifanyika lini? Wapi? Ina maana serikali imeshindwa kabisa kusimamia bandari zake mpaka kuwakabidhi waarabu? Hii ni ishara kwamba baada ya miaka 60 ya uhuru CCM haijafanya jambo lolote na inapaswa kuwajibika!
Sidhani kama umesikiliza hoja za wabunge leo au kama umesikiliza basi hakuna kitu ulikua unaelewa. So sad
 
Mleta huu uzi tumia kiungo kilichohalalishwa kufikiri,kuendelea kutumia makali.o ni upang'aa
 
Haya yanayoendelea yanaonyesha udhaifu na kukosa uwezo wa kiuongozi na kimaono kwa kiongozi.Kama kiongozi makini unatakiwa utumie busara na akili nyingi kudadavua mambo.Kabla ya jambo hili kufika bungeni lilipaswa kumalizwa huko huko! Hasara ya kufikisha jambo hili bungeni ambapo kuna chawa wengi ni dhahiri kamwe hawawezi kupingana na boss wao! Hivyo ni kama swala hili limeshapitishwa! Kwa kuwa inajulikana hakuna chawa atakayethubutu kumpinga boss! Hata boss akiazimia kuuza ardhi yote ya Tanzania chawa wataunga mkono! Hakuna atakayethubutu kupinga! Nasisitiza hakuna atakayepinga ili kulinda ugali wao!.Sasa ukiwa kama kiongozi unapaswa ulitambue hili.

Ni dhahiri kwa zama hizi hauwezi kupotosha umma wa watanzania na wananchi wakabaki wanatazama pasipo kuchukua hatua.Kwa hali hii na kwa yale yanayoendelea katika mpango huu wa kuikabidhi bandari kwa kampuni ya DP World kutoka Dubai ni wazi kwamba una kila harufu ya rushwa! Kwanza kabisa mchakato wa kumpata mzabuni ulifanyika lini? Wapi? Ina maana serikali imeshindwa kabisa kusimamia bandari zake mpaka kuwakabidhi waarabu? Hii ni ishara kwamba baada ya miaka 60 ya uhuru CCM haijafanya jambo lolote na inapaswa kuwajibika!
Hebu ondoa utoto wako hunu
 
Ameuza Ngorongoro kwa Waarabu na sasa anabinafsisha Bandari zote za Tanzania Bara kwa Waarabu,baada ya hapo kitakachofuata ni Ikulu.
Uwanja wa taifa nao unahitajika kukodoshwa ule, maana naona unazidi kuchakaa huku uendeshaji ukiwa mbovu na kuupotezea sifa.
Watanzania hawa wasioweza kuendesha hata uwanja wa taifa ndiyo mnatarajia waendeshe bandari?
 
Back
Top Bottom